kemashafe
Senior Member
- Mar 25, 2013
- 138
- 59
yaani Nimecheka sana yaani kwa hiyo ukipata 1 billion hata haufanyi tena kaziHuwa nawaza nikipata 1 bil nile nilale tu bila job,sasa mjuba anazo 50 b lakin kila siku anahangaika kufatilia hesabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani Nimecheka sana yaani kwa hiyo ukipata 1 billion hata haufanyi tena kaziHuwa nawaza nikipata 1 bil nile nilale tu bila job,sasa mjuba anazo 50 b lakin kila siku anahangaika kufatilia hesabu
Sasa 1 bil,nifanye kazi ili iweje,hyo pesa siwez kuimaliza kwa kula,matibabu na kununua nguo ndani ya miaka 30yaani Nimecheka sana yaani kwa hiyo ukipata 1 billion hata haufanyi tena kazi
Huyu ni wa Burundi sio kisiwani. Huko amewekeza tuUkute hapo watu wamefukunyua makusudi ili ijulikane pesa anapataje, maana mda wote huo walishindwa kublock km alikua halipi kodi na ana miliki biashara halali, ila kwa kuwa ni wa kisiwani wala asiwe na pressure soon acc ake itakua open.
Ila watu wana pesa khaaaah.
Sent using Jamii Forums mobile app