Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Hii ndio changamoto ya kuwa na pesa halafu kichwani hakuna shule alishindwa hata kutafuta washauri?
Usd 18mil unaiweka bank kirahisi hivyo?
Kwani alishindwa kuitakatisha kupitia kuwekeza katika real estate na madini?
Yard 2 na vituo 2 vya watoto yatima ndio apate mipesa mengi hivyo?
Kifupi huyo jamaa hatoboi labda agawane pasu kwa pasu na wakubwa.
Alivyokuwa mpuuzi amemuingiza na makonda,makonda mwenyewe hana power yoyote TRA
 
Hashpuppi in making, ngoja abanwe kende atataja alipozikwapua hizo billion 57, bora angeenda kuziweka uswizi huko sio bongo hii lazima wambane, na mpaka wanamtia komeo inamaana wamemfuatilia vya kutosha kwa kipindi kirefu na mafaili yake wanayo bila yeye kujijua kua anafuatiliwa kimya kimya,

Wabongo akili viazi kweli unaiba na kutapeli alafu pesa unaenda kuziweka bank, chimba kisima futi 12 kwenda chini ndani zipack uko tia password ya maisha hakuna atakaejua wapi umeficha mabillion mpaka siku wezi wakuvamie, get rich or die trying Ila usifuche pesa za wizi na utapeli bank kila senti unayoiweka mamlaka inaziangalia kwa jicho la kuzichukua na kuzitaifisha kisha ikufungulie kesi ya kutakatisha fedha na uhujumu uchumi

Cc: Cyril Ramaphosa
Weka ushahidi kama huna KAA KIMYA
 
PCK ni mpenda kiki dunia nzima hakuna acha liendelee kuwaumiza vichwa
 
Tafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Na asilimia 70 ya misikit imejengwa kwa hela ya unga ngada.
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Ni ngumu sana nchi za kiafrika hususani Tanzania mtu kua na biashara na kumiliki B57 kwenye account, nasema ni ngumu na kama ni kweli basi hazijazuiwa kwa makosa, ana jambo mtambuka sana
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Mods futeni huu uzi, wahusika wamekana
 

Attachments

  • Screenshot_20230101-110933_Instagram.jpg
    Screenshot_20230101-110933_Instagram.jpg
    92.4 KB · Views: 10
Statement ni ya kuforge, hata charges hazimake sense.

  • Balance enquiry charge USD 30 (TZS 70,000 kuuliza salio)???
  • Kuna MPESA withdrawal ya USD 70,000 (TZS 166,000,000)???
  • Card Payment ya USD 100,000 (TZS 237,200,000)??? - Hakuna benki ya Tanzania yenye limit hizi hata kwa Credit cards za juu kabisa. Hata kwa nchi kama US ukiwa na AMEX Black Card huwezi kutumia hii amount bila prior authorization.

Tujifunze basics hata za kusoma statement. Hapo kama ni tapeli ataondoka na wengi maana wengi wanaamini kwamba ana pesa kutokana na miamala hiyo, halafu atafuata watu wamkopeshe wakiamini pesa zimezuiliwa kwa muda kisha atapotea.

KCB Bank wachunguze na watoe statement la sivyo watalia wengi
Kashapotea instagram

Mkuu umeongea ukweli

great thinker
 
Ukiacha Mme wako uliyesota naye , Kwa Mwanamke walu walu na mdangaji thaman yake Kwenye macho ya wanaume maximum ni 45 yrs( na hapo ana vijisent vya kujipodoa) ..... , baada ya hapo Kama ana vijisent atakuwa anajibebisha Kwa wahuni wazee wa hit and run , miez sita mingi wanachora , Ku_ma huwa zinazeeka
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom