Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Hii ndio changamoto ya kuwa na pesa halafu kichwani hakuna shule alishindwa hata kutafuta washauri?
Usd 18mil unaiweka bank kirahisi hivyo?
Kwani alishindwa kuitakatisha kupitia kuwekeza katika real estate na madini?
Yard 2 na vituo 2 vya watoto yatima ndio apate mipesa mengi hivyo?
Kifupi huyo jamaa hatoboi labda agawane pasu kwa pasu na wakubwa.
Alivyokuwa mpuuzi amemuingiza na makonda,makonda mwenyewe hana power yoyote TRA
Usd 18mil unaiweka bank kirahisi hivyo?
Kwani alishindwa kuitakatisha kupitia kuwekeza katika real estate na madini?
Yard 2 na vituo 2 vya watoto yatima ndio apate mipesa mengi hivyo?
Kifupi huyo jamaa hatoboi labda agawane pasu kwa pasu na wakubwa.
Alivyokuwa mpuuzi amemuingiza na makonda,makonda mwenyewe hana power yoyote TRA