Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Hongera zake, Jamaa, nashauri kunapotokea mashaka ya aina hii, account ya muhusika isifungwe kabisa kabisa, bali fedha zizuiliwe nusu, na nusu mhusika aendelee na trading zake, nikimaanisha kublock mfanyabiashara total ni hatari sana, maana yapo mambo ambayo yanaweza kumsababishia hasara kubwa ya kutisha, "Stop that amount partial, while seeking way of solving the case.
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Si aeleze alivyotengeza hiyo fedha yaishe badala ya kulalamika lalamika
 
Wengi wamekamatwa na utapeli wa huyu jamaa...

Hii account ni either ya TZS au KES.

Kuna sehemu ametuma 20K kwa MPESA Kenya.

MPESA Kenya limit ya Transactions kwa siku ni KES 300K sawa TZS 7M.

Kama 20K USD means alituma 2.4M KES hii ni zaidi mara 6 ya daily limit.

Kingine Bank Statement haiwezi kuweka kwenye multiple currencies.

Makonda na TRA wanahusiana nini, na why ana expose Financial statement ya kampuni yake, ili apate huruma gani.

Je Hizo biashara zake alizotaja zinasimamiwa na hiyo entertainment company?
Hana biashara yoyote huyo pimbi zaidi ya matako yake ya kirundi huko Dubai.
Wanampakua bila huruma,
Kama ulikuwepo JF 2008 utajua naongea nini
 
Jamaa kajiharibia sana kuandika mtandaoni bora angepenya kimya kimya kutafuta msaada kwa baraza la wazeeee

Unaenda kwa mtu akusaidie yeye mwenyewe na familia yake na kijiji chake hawajawai kushika hiyo hela.??



Then kwann unaweka hiyo hela yote bank moja ???
 
Lkn bado anakula gudtym na deals nyingi kama kawa! Achana na pesa mzeee!

FilleZilla:
Rapa wa Marekani, mwigizaji na mtayarishaji 50 Cent, anasema hivi karibuni atatoa mfululizo wa filamu kulingana na mlaghai wa mtandao wa Nigeria aliyepatikana na hatia, Ramon Abass maarufu kama Hushpuppi.

Katika chapisho la Facebook siku ya Jumatano ambapo aliambatanisha picha za Hushpuppi, 50 Cent alisema alikuwa akifanya kazi kwenye mfululizo wa filamu unaozingatia hadithi ya Hushpuppi.

Aliandika, "Kwa matapeli wangu lazima nifanye hili. Mfululizo wa Hushpuppy unakuja hivi karibuni! GLG, Genge la Mwanga wa Kijani sikosei. #Bransoncognac #lecheminduroi #gunitfilmandtv.”
View attachment 2463816Hushpuppi alikamatwa huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu mwaka 2020 kwa kuwalaghai zaidi ya watu milioni 1.9 kutoka duniani kote wakiwemo Wamarekani.

Kufuatia kukamatwa kwake na polisi wa Dubai ambao walimkabidhi kwa Ofisi ya Shirikisho la Upelelezi, Hushpuppi alirejeshwa Marekani kwa kesi.
Anakula gudtym akiwa mfungwa au raia wa kawaida?

Katika mfululizo wa shows za 50 Cent, Hush ni moja kati ya waigizaji?




Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Wengi wamekamatwa na utapeli wa huyu jamaa...

Hii account ni either ya TZS au KES.

Kuna sehemu ametuma 20K kwa MPESA Kenya.

MPESA Kenya limit ya Transactions kwa siku ni KES 300K sawa TZS 7M.

Kama 20K USD means alituma 2.4M KES hii ni zaidi mara 6 ya daily limit.

Kingine Bank Statement haiwezi kuweka kwenye multiple currencies.

Makonda na TRA wanahusiana nini, na why ana expose Financial statement ya kampuni yake, ili apate huruma gani.

Je Hizo biashara zake alizotaja zinasimamiwa na hiyo entertainment company?
Tapeli huyu, hii statement atawazoa watu wasioelewa financial industry inafanyaje kazi. Kutume pesa nje ya nchi tena kwenye foreign currency sio jambo la mchezo, nchi zinazotoka wanabana, na mchi zinapokwenda wanakuwa na wasiwasi.

Hapa kuna watu either wamepigwa, jamaa anatafuta namna ya kusema "Hela zangu zimefungiwa", au anatengeneza mazingira ya kupiga watu
 
Hii bank statement ni ya kufoji. Angalia font type na size ya “USD” kwa kulinganisha na true font ya statement . Utaona herufi “U”, “S” na “D” font yake siyo sawa na herufi hizo hizo sehemu nyingine kwenye statement. Safe to say, hii ni account ya Tshs.
Kama account ni ya Tshs iweje makato ya benki yawe sh 3, 5, 30? Na tunaishi nchi ya TOZO
 
Mimi sipendagi kabisa wadada wakubwa vile kudate na wadogo zao, hivi mtu kama wema alikosa hata kuchukuwa hata waziri mmoja akakomaa nae? Status yote alokuwa nayo? Siwezi date utitili mimi.
Kwa comment hii nimehisi kutamani kuiona sura yako halisi.

Tatizo la huu ukuta walotujengea Jf kuongea bila kuonana sura, hata kama mtu anatema madini matupu, ubaki tu kufurahi ama kuhuzunika!
 
Tapeli huyu, hii statement atawazoa watu wasioelewa financial industry inafanyaje kazi. Kutume pesa nje ya nchi tena kwenye foreign currency sio jambo la mchezo, nchi zinazotoka wanabana, na mchi zinapokwenda wanakuwa na wasiwasi.

Hapa kuna watu either wamepigwa, jamaa anatafuta namna ya kusema "Hela zangu zimefungiwa", au anatengeneza mazingira ya kupiga watu
Sasa mtu anaedit statement halafu anaomba msaada kwa rais samia? Si utakuwa utoto?

Kwamba mamlaka zikifuatilia zikakuta amefanya huo mchezo si ndo ataingia kwenye matatizo zaidi?
 
Back
Top Bottom