Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #321
๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi tuna Jeshi?!!!!1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
DC ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, hivyo anaweza kuvaa mavazi hayo kwenye tukio maalum kwa jinsi ile ile Raia No.1, Tanzania, CinC anavyotimba sare za jeshi Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Kwi Kwi KwiDC ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, hivyo anaweza kuvaa mavazi hayo kwenye tukio maalum kwa jinsi ile ile Raia No.1, Tanzania, CinC anavyotimba sare za jeshi Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!
P
Umesoma lile angalizo la JW ?Ni mwenyekiti wa vikosi vya ulinzi na usalama vya wilaya, mwanajeshi yeyote anampigia saluti na ni bosi wake hivo ni halali kabisa kuzivaa sare za jeshi
Siku nyingine wawe wanavaa na za askari mgambo!1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Kama kuna taasisi yenye watu wenye akili ndogo, ni jwstz,hivi hsya msjitu huwa hayaangalii hata tv, duniani kote kuanzia South Afrika kuvaa nguo kama combat ni kitu cha kawaida, wala hsikugsnyi Uwe mwanajeshi, tatizo jeshi letu ni kama debe tupu! Wanawaza vitu vidogo,wengi wao ni dv 4 na zero!1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Akipita jeshini ndio nini ?Unajuaje kama amepita Jeshini ?
Mbona tangazo lako halina tarehe, hata hivyo katazo halirudi kinyumenyume, wewe unalako jambo dhidi ya Gondwe.1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Huyo ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya. Siku nyengine utamuona ametinga Kombati za Magereza! Dadeki!!!1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?