Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Kwani huoni kama imepigwa picha?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kupigwa picha hakuna uhusiano wa moja kwa moja kuwa imekatwa. Kama ulipiga wewe, si useme tu nilipiga nikaikata kuliko ku assume kuwa mtu kwa kuiona tu inampasa kujua imekatwa?
 
Kupigwa picha hakuna uhusiano wa moja kwa moja kuwa imekatwa. Kama ulipiga wewe, si useme tu nilipiga nikaikata kuliko ku assume kuwa mtu kwa kuiona tu inampasa kujua imekatwa?
Maelezo mengi ya nini? Nenda Wizara ya habari.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Sio sababu

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
Ni sababu , mbona yupo na makamanda hapo na hawajamkatalia kuvaa ? Hizo ni nguo tu zisiwaumize saaana.waliotufundisha kuvaa hizo nguo mbona wanavaa hata raia wao?hata watoto wanavaa.
 
Ni sababu , mbona yupo na makamanda hapo na hawajamkatalia kuvaa ? Hizo ni nguo tu zisiwaumize saaana.waliotufundisha kuvaa hizo nguo mbona wanavaa hata raia wao?hata watoto wanavaa.
Masikini vijana wa ccm !
 
Masikini vijana wa ccm !
Masikini bavicha,
1161703_sungusungu.jpg
hayo ndio mavazi ya asili ya wapiganaji
 
Wana usalama wetu ni wa hovyo sana, sasa huyu dogo wanampiga kwa sababu gani? Si wampe adhabu stahiki kuliko kumpiga kama mtumwa? Kwanza kawaambia anapenda kazi ya Jeshi ilibidi wamsaidie namna ya kufikia ndoto zake badala ya kumpiga, kupiga ni adhabu ya kitumwa, inaondoa utu na kupunguza kujiamini!
Kuna wakati mkuu unatamani upigwe kama hivyo na kuachiwa kuliko wakufikishe mahakamani unakula kifungo haraka sana.
Jela ni kubaya mkuu, kwa umri wake, na maradhi ya jela acha tu.
Akitoka huko anakuwa kaharibika kabisa.
 
Mwigulu mbona alivaa za Polisi?

Mie mbona huvaa za mgambo?
Usije ukawa unajifanya mgambo wa mtaa ilikukusanya hela za wananchi kinyamela! Wale mnaong'ang'ania kumpeleka mhalifu kituoni ila hatua chache mnaanza kuuliza "unangapi hapo tukuachie?

Bora ya Jeshi kwa sababu hahusiki moja kwa moja na mwananchi wa kawaida kuliko hizo za mgambo ambazo kila mkusanya ushuru anazo
 
Jeshi letu lilinde ethic zake...leo kavaa mkuu wa wilaya, kesho atavaa diwani kesho kutwa Mwenyekiti Serikali ya mtaa.

Ruksa na Jeshi lipo kimyaa...siku nyingine na sisi raia tutatinga..si ruksa.
 
Rais wa Wilaya huyo. Awamu hii, Kila kitu kinawezekana.
Rais wa Kata yetu naye anataka kutinga..(Mtendaji wa Kata)...kila mtu na eneo lake..

Sasa sijui anavaa atutishe...?
 
Ni sababu , mbona yupo na makamanda hapo na hawajamkatalia kuvaa ? Hizo ni nguo tu zisiwaumize saaana.waliotufundisha kuvaa hizo nguo mbona wanavaa hata raia wao?hata watoto wanavaa.
Kila nchi ina sera zake za ulinzi na usalama, na zinatofautiana baina ya nchi na nchi.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Marufuku ipo kwa kuvaa nguo zenyewe za jwtz mpaka zile zinazo fanania.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Back
Top Bottom