Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Chief sidhani kama huelewi madaraka ya umma
Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief sidhani kama huelewi madaraka ya umma
Kupigwa picha hakuna uhusiano wa moja kwa moja kuwa imekatwa. Kama ulipiga wewe, si useme tu nilipiga nikaikata kuliko ku assume kuwa mtu kwa kuiona tu inampasa kujua imekatwa?Kwani huoni kama imepigwa picha?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Maelezo mengi ya nini? Nenda Wizara ya habari.Kupigwa picha hakuna uhusiano wa moja kwa moja kuwa imekatwa. Kama ulipiga wewe, si useme tu nilipiga nikaikata kuliko ku assume kuwa mtu kwa kuiona tu inampasa kujua imekatwa?
kuna namba ya simu chini ya barua hiyo piga simu ujiridhishe .Ntaonaje kama imekatwa?
Ni sababu , mbona yupo na makamanda hapo na hawajamkatalia kuvaa ? Hizo ni nguo tu zisiwaumize saaana.waliotufundisha kuvaa hizo nguo mbona wanavaa hata raia wao?hata watoto wanavaa.Sio sababu
ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
Masikini vijana wa ccm !Ni sababu , mbona yupo na makamanda hapo na hawajamkatalia kuvaa ? Hizo ni nguo tu zisiwaumize saaana.waliotufundisha kuvaa hizo nguo mbona wanavaa hata raia wao?hata watoto wanavaa.
Masikini bavicha,Masikini vijana wa ccm !
Masikini bavicha, View attachment 1315918 hayo ndio mavazi ya asili ya wapiganaji
Kuna wakati mkuu unatamani upigwe kama hivyo na kuachiwa kuliko wakufikishe mahakamani unakula kifungo haraka sana.Wana usalama wetu ni wa hovyo sana, sasa huyu dogo wanampiga kwa sababu gani? Si wampe adhabu stahiki kuliko kumpiga kama mtumwa? Kwanza kawaambia anapenda kazi ya Jeshi ilibidi wamsaidie namna ya kufikia ndoto zake badala ya kumpiga, kupiga ni adhabu ya kitumwa, inaondoa utu na kupunguza kujiamini!
Usije ukawa unajifanya mgambo wa mtaa ilikukusanya hela za wananchi kinyamela! Wale mnaong'ang'ania kumpeleka mhalifu kituoni ila hatua chache mnaanza kuuliza "unangapi hapo tukuachie?Mwigulu mbona alivaa za Polisi?
Mie mbona huvaa za mgambo?
Rais wa Kata yetu naye anataka kutinga..(Mtendaji wa Kata)...kila mtu na eneo lake..Rais wa Wilaya huyo. Awamu hii, Kila kitu kinawezekana.
Kila nchi ina sera zake za ulinzi na usalama, na zinatofautiana baina ya nchi na nchi.Ni sababu , mbona yupo na makamanda hapo na hawajamkatalia kuvaa ? Hizo ni nguo tu zisiwaumize saaana.waliotufundisha kuvaa hizo nguo mbona wanavaa hata raia wao?hata watoto wanavaa.
Marufuku ipo kwa kuvaa nguo zenyewe za jwtz mpaka zile zinazo fanania.Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Miungu watu.....1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
ngoja tufukue makaburiMiungu watu.....