Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Kwake wale wasiomfahamu bwana mkubwa Gondwe ,mwaka 1997/8 tulikuwa naye kwenye uwanja wa damu nyegezi mwanza tukisaka nafasi ya kwenda jeshi la wananchi, Tukiwa mkoani tukiendelea na mchakato huo Gondwe alikosa furs hiyo na mwisho wake akaangukia radio free Africa kama mtangazaji mwanafunzi, kwa historical hiyo fupi angalau mmepata mwanga kidogo kuwa jamaa Toka zamani ndoto zake zilikuwa kuvaa kombati ikashindikana,so mwacheni ajilizishe tu kuvaa maana ilikuwa tamanio lake Toka siku nyingi ,
asante kwa kufichua siri
 
1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?



Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya.
Na salute anapigiwa.
Alihitimu jkt . NI jeshi la akiba. Anaruhusiwa kuvaa combat kwenye shughuli maalum.
Alipass out. Alipiga gwsride. Alikula kiapo kwa Nchi na kwa amiri jeshi.
Anayo force number.
Hata Halima mdee, zitto kabwe wanaruhusiwa kwani walihitimu mafunzo ya jkt program maalum.
Kumbuka wakati wa Vita ya kagera ,baadhi ya jkt kuruta walienda front.
 
Hii nchi ndani ya utawala huu wa awamu ya tano, kila aliye katika madaraka, hata yawe madogo kama vile Katibu Kata, anajiona yupo juu ya sheria!

Na anajiona ni "untouchable" ambaye hawezi kuguswa na Jeshi la Polisi nchini
 
Unaelewa nini kuhusu utumishi wa umma?
1. Anapigiwa salute kwasababu ni miongoni mwa makamishna walioteuliwa na rais.
2. Kuwa jeshi la akiba hakukufanyi kuvaa kombat kwenye shughuli maalum, vp wale vijana waliomaliza jkt na kurudi nyimbani?
3. Kupass out/kupiga gwaride kula kiapo hata mgambo wanakula.
4. Anayo force number ipi?
5. Wakati wa vita ya kagera hata polisi, magerza na mgambo pia walikwenda front
6. Jua kutofautisha jkt na servicemen?
Unapoongelea jkt elewa ni waajiriwa wa jwtz unapoongelea servicemen ndio vijana wanaopitia jkt, which is which?!
Tatizo watu wameshaifanya kombati sawa na overall la fundi garage!
1:Naongea na civilian.
2: Jkt inasimamiwa na jw. Force number Ni number anayotumia Askari kujitambulusha Kama raia kuwa na Personal file number.
Kombat Ni vazi la kijeshi linalovaliwa wakati wa operation( police wanazo magereza wanazo fire wanazo wanyama pori wanazo.) Jw wanazo na jkt wanazo.
Kwa taarifa yako, Mkuu wa wilaya anaweza kukagua gwaride na akawapa Askari vyeo kwa niaba ya Amiri Jeshi Mkuu.( Rais)
 
Unaelewa nini kuhusu utumishi wa umma?
1. Anapigiwa salute kwasababu ni miongoni mwa makamishna walioteuliwa na rais.
2. Kuwa jeshi la akiba hakukufanyi kuvaa kombat kwenye shughuli maalum, vp wale vijana waliomaliza jkt na kurudi nyimbani?
3. Kupass out/kupiga gwaride kula kiapo hata mgambo wanakula.
4. Anayo force number ipi?
5. Wakati wa vita ya kagera hata polisi, magerza na mgambo pia walikwenda front
6. Jua kutofautisha jkt na servicemen?
Unapoongelea jkt elewa ni waajiriwa wa jwtz unapoongelea servicemen ndio vijana wanaopitia jkt, which is which?!
Tatizo watu wameshaifanya kombati sawa na overall la fundi garage!
Kwa taarifa yako Mgambo wanaitwa Jeshi la Akiba.na Ndio maana linasimamiwa na JWTZ. Mshauri wa Mgambo wa mkoa au wilaya Ni wanajeshi wa jw. Mkuu wa Jeshi la akiba kwa Sasa Ni Maj Gen( aliyekuwa anaongoza Jkt kabla my rais hajamteua Afande Charles mbughe)
 
DC ni kamishna (ambae ni mtumishi wa umma) sasa utumishi wa umma na kuvaa mavazi ya vyombo vya ulinzi na usalama wapi na wapi?
Ni tanzania pekee, huwezi kukuta kokote duniani mtumishi wa umma kama huyo.
Ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya .
 
DC ni kamishna (ambae ni mtumishi wa umma) sasa utumishi wa umma na kuvaa mavazi ya vyombo vya ulinzi na usalama wapi na wapi?
Ni tanzania pekee, huwezi kukuta kokote duniani mtumishi wa umma kama huyo.
Mkuu wa takukuru wa Sasa Ni mjeshi. Na Ni mtumishi wa umma.
RC wa kagera Kaguti Ni mjeshi. Nauliza: rc mtumishi wa umma kupiga combat ofcn Ni kosa?
Usichanganye madesa beberu. Mfumo wa utawala tz upo sawa kwa mahitaji ya Watz. Haikuanza Leo. George mkuchika waziri ( mb) ,Rtd Lt yusuph makamba, Maj Anatory Tarimo, nknk walikuwa civil servants na wajeda pia.
Kuruta( recruits) akisha pass out Ni sehemu ya jeshi. Pakitokea OP na akahusishwa kwenye hiyo OP hazuiwi kuvaa combat Wala kupewa bunduki.
Alifundishwa kupiga salute na kofia, pasipo kofia na akiwa na bunduki.
Huyo Ni sehemu ya jeshi.
Sare wasizoruhusiwa kuvaa Ni dress number one. Lakini combat anavaa( haina crown)
 
Jibu hili hapa limemaliza utata, hakuna cha nini wal nini, mengi yamenenwa ila hili limemaliza. Kuna mwenye swali??
IMG-20200103-WA0000.jpeg


ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Mkuu wa takukuru wa Sasa Ni mjeshi. Na Ni mtumishi wa umma.
RC wa kagera Kaguti Ni mjeshi. Nauliza: rc mtumishi wa umma kupiga combat ofcn Ni kosa?
Usichanganye madesa beberu. Mfumo wa utawala tz upo sawa kwa mahitaji ya Watz. Haikuanza Leo. George mkuchika waziri ( mb) ,Rtd Lt yusuph makamba, Maj Anatory Tarimo, nknk walikuwa civil servants na wajeda pia.
Kuruta( recruits) akisha pass out Ni sehemu ya jeshi. Pakitokea OP na akahusishwa kwenye hiyo OP hazuiwi kuvaa combat Wala kupewa bunduki.
Alifundishwa kupiga salute na kofia, pasipo kofia na akiwa na bunduki.
Huyo Ni sehemu ya jeshi.
Sare wasizoruhusiwa kuvaa Ni dress number one. Lakini combat anavaa( haina crown)
Tofautisha vyeo vya kisiasa na vyeo rasmi, maana kuna watu umewataja hapo wenye vyeo vya kisiasa kitu ambacho kwasasa hakipo, pia kuna wale majenerali; kikawaida kuna ngazi ya ukifikia utastaafu kuweko kwenye muundo wa utawala wa chombo husika lakini hustaafu kazi kwa maana cheo chako utatambulika nacho hadi kufa kwako na ndio maana simshangai Gaguti wala Kijuu, kwa maana wale ni majenerali.

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Kama unayaelewa usingehoji Dc gondwe kuvaa nguo zenye mabaka sawa na sare za jwtz.
Soma hapo, kila kitu kina muundo wake
IMG-20200103-WA0000.jpeg


ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Back
Top Bottom