Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Erythrocyte,
UNGEANZIA KWA MEKO, ANAVAAGA
UNGEANZIA KWA MEKO, ANAVAAGA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeee bhana eeeee !!Kuna kipindi nilikuwa na mazungumzo na vijana fulani wa ughaibuni, na mnene mmoja aliyetoka serikalini na kwenda kufanya kazi mashirika ya kimataifa ughaibuni.
Nikawa nalalamika habari za Magufuli kujimwambafy.
Mnene yule akasema, sasa hivi tatizo linatoka kwa Magufuli tu, huku chini vinatengenezwa vi Magufuli vingine viingi.
Sasa nilivyoona hili nikakumbuka kauli ile.
Viongozi wa serikali wanatakiwa kujua maana ya "civilian leadership of the military".
Wanatakiwa kujua "perception creates its own reality".
Magufuli ameshindwa kuongoza katika hili.
Kikwete aliyekuwa mwanajeshi, ikambidi aondoke jeshini ili kubaki kwenye siasa, alilielewa hili vizuri sana. Ndiyo maana ni nadra sana kumuona Kikwete kama kiongozi wa serikali kavaa nguo za jeshi.
Mkapa hakuvaa hivyo. Mwinyi hakuvaa hivyo.
Nyerere, rais pekee wa vita Tanzania, nje ya kuhamasisha majeshi vita vya Kagera, hakuvaa magwanda ya jeshi.
Siku hizi mpaka ma DC wanavaa magwanda.
Scratch that, mpaka wanajeshi -si wanajwshi wastaafu, walio active- wanateukiwa kuwa ma DC.
Kwa hivyo haya ya kina Gindwe sishangai.
Kwa sababu wanamuiga mkubwa wao, Magufuli.
Ukiwauliza watakwambia wao ni viongozi wa kamati za ulinzi wilayani!
Na kama umekubali Magufuli kuvaa magwanda, huna sababu ya kuwakatalia hawa.
Wanachotofautiana na Magufuli ni scope tu. Wote ni viongozi wa kiserikali. Wengine wilayani, Magufuli kitaifa.
Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Hapo umeelewa nini!?View attachment 1248671
Toka lini mtoto akalamba pilipili?Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
DC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika wilaya husika!
Kwa hiyo vikosi vyote vya ulinzi katk wilaya husika yy ndo mwenyekiti.
Na huwa DC anapigiwa saluti pia akiwa wilayani kwake sambamba na kupeperusha bendera ya taifa ktk gari yake.
Soma hicho kifungu.
Mimecheka sana,vyombo vya ulinzi vina heshima yake kulingana na majukumu yake,la kwanza kabisa ni JWTZ,Linafuata polisi,magereza,uamiaji na mgamboLabda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Hakuna uniform inayovaliwa bila kuwa na cheo, isipokuwa kwa commander in chief pekee. Hao wengine ni mbwembwe tu na kufanya waonekane.
Wigo ni kitu kibaya sana, yeye amevaa kwa kuiga lakini katika uhalisia hana mandate ya kuvaa, kuongoza vyombo vya dola kimkoa/wilaya sio kuingilia kwenye mavazi/taratibu zao bali ni kuwapa maelezo ya ufanyaji kazi tu.
Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Wewe huwezi kujua mambo ya dola!! Wewe hangaika na Saccos ya Chadema tu! Ukibarehe utayajua tu!Ukishindwa mambo madogo kama haya utaweza nini ?
Dah,mkuu ulokole na mtu kuvaa sare zs jeshi kuna ubaya gani ? Jeshini hakuna walokole ? Mi nahisi humpendi tu jamaaHalafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
😂sakayo,unadhani hata wavaa nyeupe wanazipenda ?Au zile za kaki, na zile nyeupe
MAREKAN MBALI ZIMEVALIWA SANA NA DUKA MOJA LA PALE MLIMANICITY NA UNAKUTA HADI WATOTO WANA FULL JEZINguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Jibuni maswali rahisi yaliyoulizwa badala ya kutetea uozo .MAREKAN MBALI ZIMEVALIWA SANA NA DUKA MOJA LA PALE MLIMANICITY NA UNAKUTA HADI WATOTO WANA FULL JEZI
JAMAA ANA BIFU NA DC KACHEMKA MASIKINI YULE DOGO N MSTAARABU MNYENYEKEVU ANA HOFU YA MUNGU IO KAMA NYIE MAPOYOYO MNAFIA NJAA KUTAKA MWENZENU ATOLEWE MTEULIWE MMECHEMKAA SANA..SOGO YUKO JUU MPAKA MAWINGUNI