DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
unamuiga Nuhu sio ?tunahama wote yaani meli full kujaa kuaniza kuku ,bata,mbuzi, mbwa na sungura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamuiga Nuhu sio ?tunahama wote yaani meli full kujaa kuaniza kuku ,bata,mbuzi, mbwa na sungura
Sheria inasema ivyo sasa sijui labda mm sijaelewa kidhunguNguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Na wale wanao chakazwa kuvaa hata bukta yenye mabaka unawazungumziajeNguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Umenikumbusha enzi zangu JKT. Afande anakuita' We kuruta njoo hapa. Cockroach mende wewe'
Ndiyo hayo ya 'green vest' nyekundu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu wa wilaya ya hai mbona huwa anavaa zle za kaki[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijawahi kumuona
Na wale wanao chakazwa kuvaa hata bukta yenye mabaka unawazungumziaje
Nisaidie mkuu.View attachment 1249052View attachment 1249053 yaani hivi siyo?
Bora angevaa "green vest" nyekundu!
Uongo utakusaidia nini ? mtatetea hadi uharo ili mjikimu wanafiki wakubwa nyie , mbona raia wengine wanadhalilishwa na hukuwahi kuwatetea kwamba hawakuvaa nguo za jeshi ?
hzo sare nyingine ukivaa Raia wanahisi unafanya kazi kampuni ya ulinziLabda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Avae na za trafkiLabda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
skia ww acha kujiona mjuaji.....sheria za marekani na bongo n tofaut kabisa na ndo mana marekan unaweza rekod wimbo/video ukiwa na full combat ya jesh .....unaweza pita madukan na kukuta kombat za jesh full zinauzwa...
je tz kuna duka la kufanya hvyo????
marekan raia wanaruhusiwa kuvaa sare za jeshi ..je tz wanaruhusiwa??
Mimi ninabukta hapa naogopa kuivaa kabisaaa.Wanaonewa, sheria haisemi hivyo!! Sheria inasema kama utavaa nguo hizo na ukajifanya wewe ni askari hilo ni kosa lakini sio kuvaa kama nguo ya kawaida!! Ni pale unapotaka kufanya uhalifu kwa kutumia nguo inayofanana na sare ya askari.
Mimi ninabukta hapa naogopa kuivaa kabisaaa.
Itaozea ndani