Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?



Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?

Hapo alikuwa kwenye operation ya kijeshi mkuu halafu kavaa t-shirt na siyo kombat
 
1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?



Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?

Huyo ndio mwenyekiti wao wa ulinzi na usalama hivo ni ruksa kuvaa hata za gauni za askari akitaka uniform yeyeto ruksa kwake
 
Rais wa Wilaya huyo. Awamu hii, Kila kitu kinawezekana.
Mbona hata Mkuu JP alipoingia madarakani alikuwa akizivaa sana hizo Uniforms!
Kwa msingi huo labda na yeye kafuata nyayo.
 
Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Hapa ni ulaya? acha ungese
 
Sikuwahi kufikiria kama huyo jamaa naye ni limbukeni kiasi hicho.

Hii ni mara ya pili namuona kavaa hivyo mbele ya camera cha ajabu wajenda walikuwa wanamchekea tu hiyo jana badala ya kumgaragaza hapo mtoni

Combats hazitofautiani sana na batiki,kwa nini wasivae hizo ili wawaunge akina mama wajasiriamali.
 
Hakuna kosa hapo.DC ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya Wilaya na kwa msingi huo yeye ni Amiri jeshi mkuu kwa ngazi ya Wilaya huku Rc akiwa Amiri jeshi kwa ngazi ya mkoa. Tukumbuke kuwa hawa wote wanasimama kwa niaba ya Rais ambaye ni Amiri jeshi mkuu. Majukumuambayo angeweza kuyatimiza Rais wao ndio huyafanya kwa ngazi zao. Hivyo si dhambi na si kosa kisheria kwa RC au DC kuvaa nguo za kijeshi. Na wakati mwingine inapotokea oparesheni yoyote ya kiusalama DC anapaswa kuwa mstari wa mbele, na haendi kama DC anaenda kama Askari wa kwa ngazi ya Wilaya.
Aliyekwambia Uamiri jeshi unakaimishwa nani? Unajua majukumu ya Uamiri jeshi (sio uraia) nyie fisiem msituharibie nchi
 
Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Uongo utakusaidia nini ? mtatetea hadi uharo ili mjikimu wanafiki wakubwa nyie , mbona raia wengine wanadhalilishwa na hukuwahi kuwatetea kwamba hawakuvaa nguo za jeshi ?
 
DC Godwin Gondwe amevaa nguo za jeshi labda lakini ajavaa sare ya jeshi kama mleta hoja anavyosema.
 
Back
Top Bottom