Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Acha uzwazwa,wangapi wanakamatwa mtaani kwa kuvaa nguo hizo zisizo za JWTZ.
 
Huyu ni askari wa akiba wa muda mrefu tuu
Alianza kazi kama msafisha vyoo pale mwanza(hii alisema mwenyewe),akaja kutangaza Rfa,akaja IPP akajiendeleza kimasomo akaanza kufundisha chuo cha saut(Dar),huo uaskari aliufanya lini?
 
Licha ya ushamba, lakini pia hiyo siyo sare rasmi ya JWTZ. Ni sare ya kijeshi au mfanano wa nchi nyingine na Tena sidhani kama ni Africa South of Sahara. Hayo mabaka yanaanzia North Africa kuelekea nchi za mabeberu.
Vijana wangapi wanakamatwa mtaani kwa kuvaa nguo hizo zisizo za JWTZ,je umesahau hata Bongo Movie walipigwa beat wasivae nguo hizo?
 
Alianza kazi kama msafisha vyoo pale mwanza(hii alisema mwenyewe),akaja kutangaza Rfa,akaja IPP akajiendeleza kimasomo akaanza kufundisha chuo cha saut(Dar),huo uaskari aliufanya lini?
Haujawahi kuona mtu anajifanya chizi, kumbe usalama!! Ulitegemea atakuambia yeye ni usalama?
 
Vijana wangapi wanakamatwa mtaani kwa kuvaa nguo hizo zisizo za JWTZ,je umesahau hata Bongo Movie walipigwa beat wasivae nguo hizo?
Hata diamond JW walishataka kumdaka kwa kuvaa nguo za jeshi.Habari iko hapo chini:

Juzi, JWTZ ilisema kuwa wamewasiliana na Jeshi la Polisi ili kuchukua hatua za kisheria dhidi ya ‘Diamond Platnumz’ kutokana na kuvaa nguo za kijeshi akiwa jukwaani.

Katika taarifa hiyo iliyotolewa na jeshi hilo kutoka Makao Makuu yake Upanga, Dar es Salaam, ilieleza kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika.

“Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa taarifa kwa wananchi wote kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika. “Aidha, kumeonekana matukio kadhaa ya baadhi ya vikundi, ama mtu mmoja mmoja kumiliki au kuvaa sare za JWTZ. Inakumbushwa kuwa kwa yeyote atakayeonekana amevaa ama kumiliki sare hizo, sheria itachukua mkondo wake,” ilieleza taarifa hiyo ya JWTZ juzi.

Katika mazungumzo na simu na gazeti hili, Ofisa Habari wa Jeshi hilo, Meja Joseph Masanja, alifafanua kuwa kwa sasa tayari polisi wameombwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya tukio la Diamond na wenzake.

Meja Masanja alisema JWTZ imekuwa ikitoa elimu mara kwa mara ya kupinga uvaaji wa mavazi hayo kwa watu wasiokuwa wahusika, lakini wapo watu wanaoendelea kujivalia kama watakavyo.

Source:TSN
 
Haujawahi kuona mtu anajifanya chizi, kumbe usalama!! Ulitegemea atakuambia yeye ni usalama?
So huko ulikofundishwa ndio uliambiwa kwamba Usalama maana yake anakua ndio askari wa akiba?hahah

Rookies bana.
 
Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.

So wewe una exposure kuliko JW wenyewe sio?haya soma hapo chini:

JWTZ ilisema kuwa wamewasiliana na Jeshi la Polisi ili kuchukua hatua za kisheria dhidi ya ‘Diamond Platnumz’ kutokana na kuvaa nguo za kijeshi akiwa jukwaani.

Katika taarifa hiyo iliyotolewa na jeshi hilo kutoka Makao Makuu yake Upanga, Dar es Salaam, ilieleza kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika.

“Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa taarifa kwa wananchi wote kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika. “Aidha, kumeonekana matukio kadhaa ya baadhi ya vikundi, ama mtu mmoja mmoja kumiliki au kuvaa sare za JWTZ. Inakumbushwa kuwa kwa yeyote atakayeonekana amevaa ama kumiliki sare hizo, sheria itachukua mkondo wake,” ilieleza taarifa hiyo ya JWTZ juzi.

Katika mazungumzo na simu na gazeti hili, Ofisa Habari wa Jeshi hilo, Meja Joseph Masanja, alifafanua kuwa kwa sasa tayari polisi wameombwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya tukio la Diamond na wenzake.

Meja Masanja alisema JWTZ imekuwa ikitoa elimu mara kwa mara ya kupinga uvaaji wa mavazi hayo kwa watu wasiokuwa wahusika, lakini wapo watu wanaoendelea kujivalia kama watakavyo.

Source:Tsn
 
Wana usalama wetu ni wa hovyo sana, sasa huyu dogo wanampiga kwa sababu gani? Si wampe adhabu stahiki kuliko kumpiga kama mtumwa? Kwanza kawaambia anapenda kazi ya Jeshi ilibidi wamsaidie namna ya kufikia ndoto zake badala ya kumpiga, kupiga ni adhabu ya kitumwa, inaondoa utu na kupunguza kujiamini!
Wengi wao ni form four failures!

Hata problem solving skills hawajui!

Kitu kidogo maguvu tele!
 
Licha ya ushamba, lakini pia hiyo siyo sare rasmi ya JWTZ. Ni sare ya kijeshi au mfanano wa nchi nyingine na Tena sidhani kama ni Africa South of Sahara. Hayo mabaka yanaanzia North Africa kuelekea nchi za mabeberu.
Hata hivyo ni kosa la jinai kuvaa nguo za jeshi au nguo zinazofanana na nguo za jeshi!
 
Back
Top Bottom