Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Ni jambo la ajabu na kijinga.View attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo la ajabu na kijinga.View attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Kuuliza si ujinga
CCM IMELEWA MADARAKA CHAKARIIIView attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Double G ni mnyenyekevu na mwenye busara sana ila naona kama ameanza kutoka kwenye utu wake na kuanza kujimwambafy. Hawa watu wanaosema anamuwakilisha rais ngazi ya wilaya sijui kama nikiwaita wapumbavu nitakuwa nimekosea sana. Kuna mamlaka na haki ambazo anazo rais haziwezi kukaimishwa kwa mtu mwingine. Huwezi kusema eti huyo ni amiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya,utakuwa mpumbavu tu. Uamiri jeshi mkuu haukaimishwi kwa mwingine yeyote. Nafikiri CDF angewavuta chemba hawa wanasiasa na akawaomba waachie hizi sare watu stahiki. Hali ikienda hivi wenyeviti wa vijiji wataanza kuzitinga sasa. |
Vipi uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa ni lini?View attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
View attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Tatizo kuna watu akili zao hazibadiliki kabisa yaani walitamani kuwa wanajeshi lakini wakashindwa kwa hiyo walipopata vyeo wameona iwe rahisi kuvaa tu.View attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Ukute mtu mwenyewe hata ile JKT ya hiari hakupitia leo anatinga uniform ya JW. Hatari sanaJWTZ wanatakiwa kuchukua hatua hii sasa ni too much.
imesaidia sana kwani sasa JWTZ ndio wanaojenga Madaraja ya muda kuunganisha barabara za Wilaya yakeNa sijui hiyo sare imemsaidia nini Katika kuokoa Maisha ya wahanga wa mafuriko maana watu wanakufa tu, yeye amevaa Ili apige picha za Televisheni
KapitiaUkute mtu mwenyewe hata ile JKT ya hiari hakupitia leo anatinga uniform ya JW. Hatari sana
Kama ndo hivyo avaae zile za utrafffickHuyu ni mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama kiwilaya, sioni kama ni tatizo
Kwahiyo na mwenyekiti wa mtaa nayeye ni ruksa kuvaa sare za jeshi? Maana na yeye ni Mwenketi wa ulinzi na usalama ngazi ya mtaa.Yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani kwake..hivyo kama amepewa kibali cha kuvaa haina shida maadam hakazitumia vibaya..
Hata ww unaweza kuvaa sare za TPDF kwa kibali maalum toka kwa wahusika endapo kama kunaulazima wa kufanya hivyo
#imethibitishwa
Awamu ya kujimwambafy hii
Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Amiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya
Za Magereza weeeee!!! Asimamamie..............., hawatavaa hizo.Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??