technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
JWTZ wanatakiwa kuchukua hatua hii sasa ni too much.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuliza si ujingaKwahiyo wewe ndio una akili na ujuaji kuliko hao maafande waliomzunguka hapo huyo Double G?!!
Halafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
Kwani Rais wetu ni wa kijeshi?Mbona mnambebesha mizigo mizito Mkuu wa Nchi kwa mambo ya uvunjifu wa sheria.Hajawatuma kufanya hayo mfanyayo.Huyo ni mwakilishi wa Rais ngaz ya wilaya
Kwa hiyo dc, wala sio mara yake ya kwanza!! Kuna kama wiki mbili hivi zilizopita kuna tukio nilimuona pia amezivaa!! Na leo tena,!!!!View attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Hakuna kitu kama hiki TanzaniaAmiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya
Amiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya
Na za mgambo pia hawazioni kuzivaaLabda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Ukiwa kada hata ukimiliki kifaru hakuna shidaView attachment 1248415
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
View attachment 1248414
Mambo ndio kama hivi..
Ni kweli ni mtu mnyenyekevu kwa kiwango chake...Binafsi ninamkubali...kwa unyenyekevu wake....mzee wetu wa kanisa pale mbezi tangibovu...hivi bado upo ...mkuu wa ulinzi na usalama wilaya ya Handen...ninakubali historia yake kaanzia maisha mbali sana...tafuta stori akipiga na salama...kwenye kipindi chake cha channel five enzi hizo...{sijui kile kipindi kilifia wapi..kilikuwa bomba sana}Halafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
Hayo mabaka ni ya JWTZ kweli?
Kwahiyo na muwakilishi wa Rais ngazi ya kata anaweza kuvaaHuyo ni mwakilishi wa Rais ngaz ya wilaya