Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Wengi wao ni form four failures!
Hata problem solving skills hawajui!
Kitu kidogo maguvu tele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Wengi wao ni form four failures!
Hata problem solving skills hawajui!
Kitu kidogo maguvu tele!
Hujawahi Muona mkuu wa Wilaya ya Hai akiwa na za polisi?Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Sawa mkuu. Uwe unakuja kusalimia ndugu zako mara moja mojasawa, mimi nahamia Comorro kwenye viwanda vya nyama na maziwa lakini ngo'mbe wanategemea Tz na Botswana na hakuna umwambafy
Huo ni moja ya ujinga unaoendelea kwenye hiki kinchi. Ujinga mwingine ni ule wa kusema Usipige picha eneo hili.So wewe una exposure kuliko JW wenyewe sio?haya soma hapo chini:
JWTZ ilisema kuwa wamewasiliana na Jeshi la Polisi ili kuchukua hatua za kisheria dhidi ya ‘Diamond Platnumz’ kutokana na kuvaa nguo za kijeshi akiwa jukwaani.
Katika taarifa hiyo iliyotolewa na jeshi hilo kutoka Makao Makuu yake Upanga, Dar es Salaam, ilieleza kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika.
“Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa taarifa kwa wananchi wote kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika. “Aidha, kumeonekana matukio kadhaa ya baadhi ya vikundi, ama mtu mmoja mmoja kumiliki au kuvaa sare za JWTZ. Inakumbushwa kuwa kwa yeyote atakayeonekana amevaa ama kumiliki sare hizo, sheria itachukua mkondo wake,” ilieleza taarifa hiyo ya JWTZ juzi.
Katika mazungumzo na simu na gazeti hili, Ofisa Habari wa Jeshi hilo, Meja Joseph Masanja, alifafanua kuwa kwa sasa tayari polisi wameombwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya tukio la Diamond na wenzake.
Meja Masanja alisema JWTZ imekuwa ikitoa elimu mara kwa mara ya kupinga uvaaji wa mavazi hayo kwa watu wasiokuwa wahusika, lakini wapo watu wanaoendelea kujivalia kama watakavyo.
Source:Tsn
Wanajeshi walokole wapo wengi tuHalafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
Alikuwa kwenye operesheni inayofanana na ya kisheshi. Yeye ni mkt wa ulinzi na usalama wilaya hivyo vyombo vyote vya ulinzi na usalama wilaya zinamhusu.1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Hapo umeelewa nini!?Huyu ni mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama kiwilaya, sioni kama ni tatizo
1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Watu wanasiri nyingi sana. Yawezekana tunavyomfahamu sivyo alivyo.
Yawezekana ni mwanajeshi, kwani kuna wakuu wa mikoa ambao ni wanajeshi na wanavyaa sare za jeshi.
Pia JPM anavaaga na hakuna aliyeuliza.
Kwa hio ni amiri jesh mkuu wa wilaya?Huyo ni mwakilishi wa Rais ngaz ya wilaya
Amiri jeshi ni mmoja tu, hana NgaziAmiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya
Mwigulu Nchemba alikua anavaa za PolisiLabda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??