Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,060
Mie napendaga zile nyeupe, ukivaa unakuwa kama malaika umetoka kwa Mungu au mjumbe toka Vatican kwa baba mtakatifu.Au zile za kaki, na zile nyeupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie napendaga zile nyeupe, ukivaa unakuwa kama malaika umetoka kwa Mungu au mjumbe toka Vatican kwa baba mtakatifu.Au zile za kaki, na zile nyeupe
Hizo nguo zinanyima mtu uhuru maana ni za kazi haswaa.[emoji23]sakayo,unadhani hata wavaa nyeupe wanazipenda ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie napendaga zile nyeupe, ukivaa unakuwa kama malaika umetoka kwa Mungu au mjumbe toka Vatican kwa baba mtakatifu.
Halafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
Afu kuna zile dark blue skirt, wakivaaga miguu inakuwa inaning'inia kama air hostEGI, zile napenda kuziangalia tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MmmhhhAfu kuna zile dark blue skirt, wakivaaga miguu inakuwa inaning'inia kama air hostEGI, zile napenda kuziangalia tu.
Nini...! 😆😆😆Mmmhhh
Sawa tuuNini...! [emoji38][emoji38][emoji38]
Nakazia,KUZIANGALIA TU.
Sio hivyo, neither leave nor cheat you. Stay cool.Sawa tuu
Umeongea kwa unyonge, hadi nimejihisi vibaya, sorry.Sawa tuu
Okay my King!Sio hivyo, neither leave nor cheat you. Stay cool.
Usijali kabisaa jamani!Umeongea kwa unyonge, hadi nimejihisi vibaya, sorry.
Thank u my ladyUsijali kabisaa jamani!
Enjoy your weekend!Thank u my lady
Same to you princess...let us enjoy weekend together...![emoji8]Enjoy you're weekend!
Always here for you [emoji8]Same to you princess...let us enjoy weekend together...![emoji8]
Nani alikudanganya!!!!amri ngumu ambayo haikaimiwi au kuwa na mbadara ni ya jeshi kuingia vitani.hiyo hatoi mtu mwingine isipokuwa rais pekee.Kikatiba Mkuu wa Wilaya/Mkoa hana mamlaka juu ya JWTZ na ndio maana pindi akitaka kuwatumia katika Wilaya/Mkoa wake lazima aombe ruhusa kutoka Wizara ya Ulinzi, tofauti na anavyowatumia polisi anaweza mpa amri ya utendaji RPC au OCS na akatekeleza ila si kwa JWTZ
Siyo kwa kupokea amri ya Mkuu wa Mkoa/Wilaya, hutuma maombi Wizara ya Ulinzi kupitia Wizara husika, ndio Jeshi hupewa amri. Hakuna mkuu wa mkoa/wilaya mwenye amri juu ya Mkuu wa Kambi aliyepo kwenye eneo lake la utawala. Unaweza nitajia vyeo vya watu wanaoingia kwenye kamati za ulinzi na usalama za wilaya/mikoa?Nani alikudanganya!!!!amri ngumu ambayo haikaimiwi au kuwa na mbadara ni ya jeshi kuingia vitani.hiyo hatoi mtu mwingine isipokuwa rais pekee.
Vinginevyo jeshi linazisaidia taasisi nyingine za kiraia katika majanga ,uokoaji na dharula.ambazo zina wakuu wake.