Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya.
Na salute anapigiwa.
Alihitimu jkt . NI jeshi la akiba. Anaruhusiwa kuvaa combat kwenye shughuli maalum.
Alipass out. Alipiga gwsride. Alikula kiapo kwa Nchi na kwa amiri jeshi.
Anayo force number.
Hata Halima mdee, zitto kabwe wanaruhusiwa kwani walihitimu mafunzo ya jkt program maalum.
Kumbuka wakati wa Vita ya kagera ,baadhi ya jkt kuruta walienda front.
Usijidanganye na aliyekuroga kafa, hakuna kuruti waliokwenda mstari wa mbele, badala yake walikuwepo polisi magereza na hata jkt na hata mgambo, usiongelee servicemen. Na waliporejea wengi wa magereza na mgambo walipewa namba na kuwa jw.

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Politicization of the military.

Wanamuiga Magu tu.
Kwahiyo hawajui kuwa mh Rais kisheria ameruhusika kwakuwa yeye ni Amirijeshi mkuu?!

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
NB
Hakuna Amirijeshi wa wilaya wala mkoa, kuna Amirijeshi mkuu tu!

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Kwahiyo hawajui kuwa mh Rais kisheria ameruhusika kwakuwa yeye ni Amirijeshi mkuu?!

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
That's not the point.

Rais kisheria anaruhusiwa kugawa ardhi yote ya nchi kwa mjomba wake.

Je, hilo linamaanisha agawe ardhi yote ya nchi kwa mjomba wake?

Unaelewa kwa nini Kikwete, aliyekuwa mwanajeshi, hakuvaa hayo magwanda licha ya kwamba yeye alikuwa mwanajeshi?
 
1:Mkuu wa wilaya anaweza kukagua gwaride na akawapa Askari vyeo kwa niaba ya Amiri Jeshi Mkuu.( Rais)

Kukagua gwaride ni swala la kawaida maana hata jaji kabla ya kuanza mahakama kama kuna gwaride limeandaliwa atakagua. Ila kwenye kuwapa askari vyeo kwa niaba ya Amirijeshi mkuu (Rais) "Hapana" na "Haiwezekani". Vyeo anatoa Amirijeshi mkuu pekee. Kosa lako dogo sana "Sema kuwavesha" sio "Kuwapa"

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
That's not the point.

Rais kisheria anaruhusiwa kugawa ardhi yote ya nchi kwa mjomba wake.

Je, hilo linamaanisha agawe ardhi yote ya nchi kwa mjomba wake?

Unaelewa kwa nini Kikwete, aliyekuwa mwanajeshi, hakuvaa hayo magwanda licha ya kwamba yeye alikuwa mwanajeshi?

1. Hapana
2. Sielewi, nahitaji elimu kutoka kwako

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
1. Hapana
2. Sielewi, nahitaji elimu kutoka kwako

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
Kwa wasomi wa mambo ya siasa kama Kikwete (Kikwete alikuwa Kamisaa wa Siasa kwenye jeshi, kama si msomi wa mambo ya siasa angalau ana mwanga wa elimu ya siasa) kuna hoja moja ambayo kibongobongo si rahisi kuielewa au kuiheshimu.

Inaitwa "civilian control of the military" kwa zaidi soma wiki hapa Civilian control of the military - Wikipedia

Hii dhana inasema kwamba, katika nchi ya kidemokrasia, uongozi wa kiraia ndiyo unaoongoza jeshi. Jeshi ni la wananchi, wananchi wanachagua uongozi wa kiraia, uongozi wa kiraia ndiyo unapanga jeshi lifanye nini. Hii ni tofauti na udikteta wa kijeshi ambao baraza la kijeshi au mwanajeshi mmoja anaongoza mambo kidikteta.

Sisi tunasema tuna uongozi wa kidemokrasia, ndiyo maana hata Amiri Jeshi Mkuu ni mtu anayechaguliwa kiraia, si mwanajeshi, anapata kuongoza jeshi, lakini yeye si mwanajeshi. Hii ni tofauti kubwa na ya muhimu. Amiri Jeshi Mkuu wetu si mwanajeshi, yeye ni raia, anaongoza jeshi.Tuliondoa habari za wanajeshi kuwa kwenye siasa tulivyoanza vyama vingi.

Sasa basi, unaweza kusema, ana haki ya kuvaa magwanda kwa sababu yeye ni Amiri Jeshi Mkuu. Hili ni kweli.

Lakini pia, haliendani na spirit ya "civilian control of the military". Kwa sababu, perception creates its own reality. Kwenye sheria kuna msemo, "Justice must not only be done, it must appear to be done".

Na kwenye "civilian control of the military" ni hivyo hivyo. The military must not only be controlled by civilians, it must appear to be controlled by civilians. Rais akishaanza kuvaa migwanda ya Kijeshi watu wanapata picha kwamba nchi inapelekwa kijeshi, si kidemokrasia.

Marais waliopita, kwa busara za kujua hili, hawakuvaa magwanda ya jeshi. Kikwete ndiyo kabisa, aliacha jeshi ili awe mwanasiasa na hakuvaa magwanda tena tangu alipoacha jeshi. Alijua maana ya hii hoja, ilimuondoa jeshini. Kina mzee Makamba, Chiligati, Nnauye, marehemu Ditopile etc wote walitoka jeshini ili wawe wanasiasa, kwa sababu ya kanuni hii ya "civilian control of the military".

Mkapa ndiyo kabisaaa, hakuvaa. Mwinyi naye hivyo hivyo. Nyerere nimemuona kavaa magwanda ya mgambo kuhamasisha wanajeshi katika vita vya Kagera tu, nje ya vita sijawahi kumuona.

Wote walielewa kanuni za "civilian control of the military".

Huyu rais wetu wa sasa ama haelewi, ama hajali.

Anaona ujiko kuvaa migwanda. Watu wanakosa kuelewa tunaongozwa kiraia au kijeshi?

Sasa hao wakuu wa wialaya na mikoa nao ndio wanaiga hilo, kwa sababu na wao wanajiona wako mkondo ule ule wa uongozi wa ulinzi wa mkoa na wilaya.

Maumivu ya kichwa huanza polepole, mwisho diwani naye anavaa magwanda ya jeshi.

Jeshi linatumika kisiasa.

Ndiyo maana wanajeshi wenyewe wanaona ujinga huu tunadharaulika, wametoa tamko kwa hao wakuu wa wilaya na mikoa waache ujinga huu.
 
Kwa wasomi wa mambo ya siasa kama Kikwete (Kikwete alikuwa Kamisaa wa Siasa kwenye jeshi, kama si msomi wa mambo ya siasa angalau ana mwanga wa elimu ya siasa) kuna hoja moja ambayo kibongobongo si rahisi kuielewa au kuiheshimu.

Inaitwa "civilian control of the military" kwa zaidi soma wiki hapa Civilian control of the military - Wikipedia

Hii dhana inasema kwamba, katika nchi ya kidemokrasia, uongozi wa kiraia ndiyo unaoongoza jeshi. Jeshi ni la wananchi, wananchi wanachagua uongozi wa kiraia, uongozi wa kiraia ndiyo unapanga jeshi lifanye nini. Hii ni tofauti na udikteta wa kijeshi ambao baraza la kijeshi au mwanajeshi mmoja anaongoza mambo kidikteta.

Sisi tunasema tuna uongozi wa kidemokrasia, ndiyo maana hata Amiri Jeshi Mkuu ni mtu anayechaguliwa kiraia, si mwanajeshi, anapata kuongoza jeshi, lakini yeye si mwanajeshi. Hii ni tofauti kubwa na ya muhimu. Amiri Jeshi Mkuu wetu si mwanajeshi, yeye ni raia, anaongoza jeshi.Tuliondoa habari za wanajeshi kuwa kwenye siasa tulivyoanza vyama vingi.

Sasa basi, unaweza kusema, ana haki ya kuvaa magwanda kwa sababu yeye ni Amiri Jeshi Mkuu. Hili ni kweli.

Lakini pia, haliendani na spirit ya "civilian control of the military". Kwa sababu, perception creates its own reality. Kwenye sheria kuna msemo, "Justice must not only be done, it must appear to be done".

Na kwenye "civilian control of the military" ni hivyo hivyo. The military must not only be controlled by civilians, it must appear to be controlled by civilians. Rais akishaanza kuvaa migwanda ya Kijeshi watu wanapata picha kwamba nchi inapelekwa kijeshi, si kidemokrasia.

Marais waliopita, kwa busara za kujua hili, hawakuvaa magwanda ya jeshi. Kikwete ndiyo kabisa, aliacha jeshi ili awe mwanasiasa na hakuvaa magwanda tena tangu alipoacha jeshi. Alijua maana ya hii hoja, ilimuondoa jeshini. Kina mzee Makamba, Chiligati, Nnauye, marehemu Ditopile etc wote walitoka jeshini ili wawe wanasiasa, kwa sababu ya kanuni hii ya "civilian control of the military".

Mkapa ndiyo kabisaaa, hakuvaa. Mwinyi naye hivyo hivyo. Nyerere nimemuona kavaa magwanda ya mgambo kuhamasisha wanajeshi katika vita vya Kagera tu, nje ya vita sijawahi kumuona.

Wote walielewa kanuni za "civilian control of the military".

Huyu rais wetu wa sasa ama haelewi, ama hajali.

Anaona ujiko kuvaa migwanda. Watu wanakosa kuelewa tunaongozwa kiraia au kijeshi?

Sasa hao wakuu wa wialaya na mikoa nao ndio wanaiga hilo, kwa sababu na wao wanajiona wako mkondo ule ule wa uongozi wa ulinzi wa mkoa na wilaya.

Maumivu ya kichwa huanza polepole, mwisho diwani naye anavaa magwanda ya jeshi.

Jeshi linatumika kisiasa.

Ndiyo maana wanajeshi wenyewe wanaona ujinga huu tunadharaulika, wametoa tamko kwa hao wakuu wa wilaya na mikoa waache ujinga huu.
[emoji120][emoji120][emoji120]

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Nikikumbuka siku tuna pass out JKT Majibu wa Sheria nilijisikia fahari sana siku ile kwasababu UKURUTA ULISHIA PALE. Baada ya hapo tuliendelea kuwa Askari hadi mwisho wa course yetu. Baada ya hapo tulirejeshq Mavazi yote. Hatukuruhusiwa kuwa hata na kipande cha kitambaa cha nguo ya Jeshi.

KUHUSU GODWIN GONDWE: Sioni tatizo kwake kuvaa mavazi hayo kama Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya je ulitaka AVAE NGUO ZA KIMASAI , AWE NA SIME, KIRUNGU NDIYO UONE YUKO SAHIHI. YAANI NIMEIPENDA SANA HIYO. SAFI SANA GONDWE KWASABABU JWTZ Wilaya wako Chini yake na yeye alivaa haendi kufanya UHALIFU MITAANI.
 
Nikikumbuka siku tuna pass out JKT Majibu wa Sheria nilijisikia fahari sana siku ile kwasababu UKURUTA ULISHIA PALE. Baada ya hapo tuliendelea kuwa Askari hadi mwisho wa course yetu. Baada ya hapo tulirejeshq Mavazi yote. Hatukuruhusiwa kuwa hata na kipande cha kitambaa cha nguo ya Jeshi.

KUHUSU GODWIN GONDWE: Sioni tatizo kwake kuvaa mavazi hayo kama Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya je ulitaka AVAE NGUO ZA KIMASAI , AWE NA SIME, KIRUNGU NDIYO UONE YUKO SAHIHI. YAANI NIMEIPENDA SANA HIYO. SAFI SANA GONDWE KWASABABU JWTZ Wilaya wako Chini yake na yeye alivaa haendi kufanya UHALIFU MITAANI.
[emoji116][emoji116][emoji116]
IMG-20200103-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wasomi wa mambo ya siasa kama Kikwete (Kikwete alikuwa Kamisaa wa Siasa kwenye jeshi, kama si msomi wa mambo ya siasa angalau ana mwanga wa elimu ya siasa) kuna hoja moja ambayo kibongobongo si rahisi kuielewa au kuiheshimu.

Inaitwa "civilian control of the military" kwa zaidi soma wiki hapa Civilian control of the military - Wikipedia

Hii dhana inasema kwamba, katika nchi ya kidemokrasia, uongozi wa kiraia ndiyo unaoongoza jeshi. Jeshi ni la wananchi, wananchi wanachagua uongozi wa kiraia, uongozi wa kiraia ndiyo unapanga jeshi lifanye nini. Hii ni tofauti na udikteta wa kijeshi ambao baraza la kijeshi au mwanajeshi mmoja anaongoza mambo kidikteta.

Sisi tunasema tuna uongozi wa kidemokrasia, ndiyo maana hata Amiri Jeshi Mkuu ni mtu anayechaguliwa kiraia, si mwanajeshi, anapata kuongoza jeshi, lakini yeye si mwanajeshi. Hii ni tofauti kubwa na ya muhimu. Amiri Jeshi Mkuu wetu si mwanajeshi, yeye ni raia, anaongoza jeshi.Tuliondoa habari za wanajeshi kuwa kwenye siasa tulivyoanza vyama vingi.

Sasa basi, unaweza kusema, ana haki ya kuvaa magwanda kwa sababu yeye ni Amiri Jeshi Mkuu. Hili ni kweli.

Lakini pia, haliendani na spirit ya "civilian control of the military". Kwa sababu, perception creates its own reality. Kwenye sheria kuna msemo, "Justice must not only be done, it must appear to be done".

Na kwenye "civilian control of the military" ni hivyo hivyo. The military must not only be controlled by civilians, it must appear to be controlled by civilians. Rais akishaanza kuvaa migwanda ya Kijeshi watu wanapata picha kwamba nchi inapelekwa kijeshi, si kidemokrasia.

Marais waliopita, kwa busara za kujua hili, hawakuvaa magwanda ya jeshi. Kikwete ndiyo kabisa, aliacha jeshi ili awe mwanasiasa na hakuvaa magwanda tena tangu alipoacha jeshi. Alijua maana ya hii hoja, ilimuondoa jeshini. Kina mzee Makamba, Chiligati, Nnauye, marehemu Ditopile etc wote walitoka jeshini ili wawe wanasiasa, kwa sababu ya kanuni hii ya "civilian control of the military".

Mkapa ndiyo kabisaaa, hakuvaa. Mwinyi naye hivyo hivyo. Nyerere nimemuona kavaa magwanda ya mgambo kuhamasisha wanajeshi katika vita vya Kagera tu, nje ya vita sijawahi kumuona.

Wote walielewa kanuni za "civilian control of the military".

Huyu rais wetu wa sasa ama haelewi, ama hajali.

Anaona ujiko kuvaa migwanda. Watu wanakosa kuelewa tunaongozwa kiraia au kijeshi?

Sasa hao wakuu wa wialaya na mikoa nao ndio wanaiga hilo, kwa sababu na wao wanajiona wako mkondo ule ule wa uongozi wa ulinzi wa mkoa na wilaya.

Maumivu ya kichwa huanza polepole, mwisho diwani naye anavaa magwanda ya jeshi.

Jeshi linatumika kisiasa.

Ndiyo maana wanajeshi wenyewe wanaona ujinga huu tunadharaulika, wametoa tamko kwa hao wakuu wa wilaya na mikoa waache ujinga huu.
Shukrani kubwa sana mkuu
 
Yule ni m/kiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya/mkoa, vyombe vyote vya ulinzi na usalama ni wajumbe kwenye kikao hicho, katika vyombo hivyo mkuu wa mkoa/wilaya hana mamlaka ya moja kwa moja juu JWTZ na TISS, ila vyombo vyote ana mamlaka navyo kiutendaji. Ndio maana kwenye utendaji wowote maelekezo ya kuwatumia wanajeshi yametajwa kwenye National Defense Act. Ikiwa ni pamoja na kutuma maombi TAMISEMI, then TAMISEMI hutuma maombi Wizara ya Ulinzi. Ila kwa Polisi RC/DC hutoa amri moja kwa moja kwa RPC/OCS bila ya kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule ni m/kiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya/mkoa, vyombe vyote vya ulinzi na usalama ni wajumbe kwenye kikao hicho, katika vyombo hivyo mkuu wa mkoa/wilaya hana mamlaka ya moja kwa moja juu JWTZ na TISS, ila vyombo vyote ana mamlaka navyo kiutendaji. Ndio maana kwenye utendaji wowote maelekezo ya kuwatumia wanajeshi yametajwa kwenye National Defense Act. Ikiwa ni pamoja na kutuma maombi TAMISEMI, then TAMISEMI hutuma maombi Wizara ya Ulinzi. Ila kwa Polisi RC/DC hutoa amri moja kwa moja kwa RPC/OCS bila ya kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii hoja yako ina maanisha nini ? uzi huu umeuelewa ?
 
Jibu hili hapa limemaliza utata, hakuna cha nini wal nini, mengi yamenenwa ila hili limemaliza. Kuna mwenye swali??View attachment 1311418

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
Hii barua mbona haijaandikwa kwenye " headed paper" na haina hata tarehe, kumbukumbu namba?
 
Hii barua mbona haijaandikwa kwenye " headed paper" na haina hata tarehe, kumbukumbu namba?
Kwani huoni kama imekatwa hapo, ili kuondoa baadhi ya vitu visionekane!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Back
Top Bottom