BusinessOriented
JF-Expert Member
- Oct 23, 2022
- 259
- 565
Watamu kwa matumizi...lakini sio wa kuwaoaaa..Kumbe mmeshaona single mother's ni watu wa hovyo, wasio na mapenzi ya kweli. Swali kwenu kwanini bado mnawatongoza? Mnawaoa? Kwa akili yangu, kitu kama ni hatari nakiepuka kabisa. Waacheni, mdate na wasiozaa halafu tuone, je hao ni Malaika na hamtalalamika tena? Tuko hapa...
Sasa ndugu yangu labda nikuulize kitu kimoja.Naona nikwambie kitu
Nyinyi wanawake mna kawaida ya kurudi mlipotoka ipo hivi
Niliwahi kua na mahusiano na dada mmoja na mahusiano yetu yalikua km utani tu mara tukaanza kulana, sasa kuna wakati tukawa kila mmoja anaishi mbali na mwenzie mimi nilienda Mbeya kufanya shughuli zangu yeye akawa yuko Kilimanjaro na shughuli zake, kuna kipindi tukapoteana na mimi nilipoteza simu nikapoteza hadi namba zake
Ikapita miaka 3 nikapokea namba ya voda ngeni kumhoji anasema yeye ni fulani nikashtuka sana maana ni mda mrefu umepita, akaanza story nikamhoji hivi na vile tukafika point akaniambia amepata watoto na mtu mwingine amejifungua mapacha, nikampa hongera zake sasa cha kustaajabu ananiambia anahitaji kua na mimi nikamwambia wewe una matatizo gani si umeolewa wewe? Akachukia
Naomba niishie hapo ila unaposema single mother hua hawarudi kwa ma-ex, ukweli ni kwamba hua wanarudi hata kwa wale ambao hawajazaa nao wanarudi kwenda kupigwa mashine
Mkuu, hongera kwa kuandika vizuri. Well narated..Dada ntakujipu line yako moja baada ya nyingine
Hivi unajua kwanin tunawakataa singl m?
Sio sababu amezaa mtoto!
Hakuna mwanaume kamili hapa duniani anaekimbia majukumu
Ukiona mwanaume anakimbia majukumu huyo ni mwenzenu!!
Mwanaume ni kupambana na yaliyo mbele yake
Hi ndio nature harisi ya mwanaume!
Hivi unadhani sisi tunachokwepa ni wew kuzalishwa? Kama unadhani ndio hivyo basi ushakosea
Sisi tunachokimbia ni kukuowa wewe na kisha kuendeleza na mzazi mwenzio..
Ndio maana popote ukiomba ushaul wa kuowa s mother swali utakaloulizwa na ndugu/jamaa na rafiki ni ...Yupo wapi baba wa mtoto?
Hawaulizi jinsia,idadi,elimu,miaka au chochote kuhusu mtoto au mama
Wanauliza uwepo wa mzazi mwenza!!
Kwanini? Kwasababu yakuhofia ukaribu wao baada ya wew kuowa!
Asilia ya mwanaume ni kutamani!
Wewe ulishazakishwa...akakuacha hi inamaana hakuona thamani yako
Me nmekuchukua nmekuowa nmekutunza kama mke wangu mimi
Yeye anakuja tena unamkubalia hiv hili ni tatizo la mwanaume anaekufata au lakwako?
Watakuja wangapi? Kwanini ukubali wakati tayari unajua wewe n mke wa mtu? Kwanini hakuiona thamani yako wakati ule?
Unadhan baada ya kulala na wew tena atakuowa kama anavyokudanganya?
Hilo ni tatizo lako na sio wanaume.
Single mother akimludia kufanya mapenzi na mzazi mwenzie hilo sio tatizo la mwanaume yoyote kati ya hawa wawili [mention]Mshana Jr [/mention] (unaweza ni rekebisha hapa)
Ni lako na uchafu wako
Na ujinga wako
Na upumbavu wako
Kwasababu hawa wote wawili unawajua vizuri
Mtu akiona thamani yako inamaana amekuheshimu pakubwa
Ameweka imani na wewe
Amekupenda
Kiasi ameamua kupigana na fikra mbovu za jamii (ambazo kimsingi umezitengeneza mwenyewe)ili tu wewe ufurahi
Ila bado unarud huko huko
Hapa mwanaume anakosa gani?
Hahaha...usipomteze mwenzio[emoji23]...kama huyo Mwanamke alimfungulia hadi Biashara, yakatokea yaliyotokea...Yani ndo iwe mazima hiyo.Pole sanaa mkuu, ila always give a woman a second chance wana chelewa kujifunza ila akijifunza anakua mke bora wa mfano.
Pole mkuu...Yani hata hiyo Biashara usingemuachia.Single mother nilimpendaga sana yule. Alipigwa mimba akiwa form 2 na jamaa akamkimbia kuogopa kesi. Kaka zake yule binti wakahangaika sana mpaka akajifungua. Nikamkuta amepauka anauza karanga road, huku akiwa na katoto ka miaka 6 kamekonda sana. Binti alinivutia na alikua anaonekana yuko matured sasa kiakili.
Nikajenga nae mahusiano. Tukawa wapenzi. Kutwa kucha hakukosa kutoa lawama kwa mzazi mwenzake kwa kuwakimbia yeye na mwanae. Kwakweli niliguswa na upendo wake na ujuzi wake kitandani. Nikazama mazima. Nikamfungulia biashara kubwa na kuwekeza mtaji wa mil6.
Kilichofuata baada ya kuona ana uhakika wa kupiga pesa na kusimamia biashara kubwa akamtafuta mzazi mwenzake wakaendeleza walipoishia. Jamaa wa kitaa wakanisanua, wakati nipo job kumbe alimuingiza yule jamaa yake chumbani kwangu. Nikaishia kuwafumania na kumfukuza ndani kwangu.
Ile biashara nilimuachia. Matokeo yake bwana ake akaifilisi. Sasa hivi anaishia kunisumbua tu kwenye simu anataka turudiane. Kala block! Sitaki ushauri wowote kuhusu kuoa hawa single mother.
Umemaliza kila kitu mkuu...Dada ntakujipu line yako moja baada ya nyingine
Hivi unajua kwanin tunawakataa singl m?
Sio sababu amezaa mtoto!
Hakuna mwanaume kamili hapa duniani anaekimbia majukumu
Ukiona mwanaume anakimbia majukumu huyo ni mwenzenu!!
Mwanaume ni kupambana na yaliyo mbele yake
Hi ndio nature harisi ya mwanaume!
Hivi unadhani sisi tunachokwepa ni wew kuzalishwa? Kama unadhani ndio hivyo basi ushakosea
Sisi tunachokimbia ni kukuowa wewe na kisha kuendeleza na mzazi mwenzio..
Ndio maana popote ukiomba ushaul wa kuowa s mother swali utakaloulizwa na ndugu/jamaa na rafiki ni ...Yupo wapi baba wa mtoto?
Hawaulizi jinsia,idadi,elimu,miaka au chochote kuhusu mtoto au mama
Wanauliza uwepo wa mzazi mwenza!!
Kwanini? Kwasababu yakuhofia ukaribu wao baada ya wew kuowa!
Asilia ya mwanaume ni kutamani!
Wewe ulishazakishwa...akakuacha hi inamaana hakuona thamani yako
Me nmekuchukua nmekuowa nmekutunza kama mke wangu mimi
Yeye anakuja tena unamkubalia hiv hili ni tatizo la mwanaume anaekufata au lakwako?
Watakuja wangapi? Kwanini ukubali wakati tayari unajua wewe n mke wa mtu? Kwanini hakuiona thamani yako wakati ule?
Unadhan baada ya kulala na wew tena atakuowa kama anavyokudanganya?
Hilo ni tatizo lako na sio wanaume.
Single mother akimludia kufanya mapenzi na mzazi mwenzie hilo sio tatizo la mwanaume yoyote kati ya hawa wawili [mention]Mshana Jr [/mention] (unaweza ni rekebisha hapa)
Ni lako na uchafu wako
Na ujinga wako
Na upumbavu wako
Kwasababu hawa wote wawili unawajua vizuri
Mtu akiona thamani yako inamaana amekuheshimu pakubwa
Ameweka imani na wewe
Amekupenda
Kiasi ameamua kupigana na fikra mbovu za jamii (ambazo kimsingi umezitengeneza mwenyewe)ili tu wewe ufurahi
Ila bado unarud huko huko
Hapa mwanaume anakosa gani?
duh kwa hy mdada anaenda kuwa mmama wa watoto wawili na killa mmoja na baba akeHapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.
Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.
Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.
Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.
Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.
Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.
Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.
Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.
Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.
Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.
Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.
1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma
2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?
Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...
Mimi ni mtu ni kazi yangu na biashara zangu, sasa naona kwasababu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.
Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
Mimi nilimkataa siku hio hio maana alinipa a/c zake za social media niende nione watoto wake, nikamuona Jamaa yake nikaona hii sio nzuri maana Jamaa alikua ni muislam na alimbadirisha hadi dini akawa amesilimu sasa nikaona hii sio sawa ila yeye akawa ananiganda nikaachana nae tu hadi leo hatuna mawasiliano yoyote na yeye, ingawa Jamaa yake walikuja wakatengana tenaKwanini usikatae kumrudia ili tuamini kwamba wewe huwa hurudi kwa ma-ex zako?
Unamtizama kodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,
na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,
sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,
namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Ndiyo maana wanaume wanatucheka upuuzi huu, je kama mmewe anamsoma tu bila yeye kujitambua anaenda huko anakamatwa uwiii!Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,
na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,
sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,
namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Wahivyo wanashaurikaga?Kuna muda wanawake hatuna akili masikini hadi huruma....Sasa wewe rafiki yake mshauri
Sijui umetumia akili ipi kucomment hapa ila nitakusaidia kuelewa kwa nguvu.Kuna baadhi ya wanaume ni watu wa ajabu sana, hivi anayempa mimba mwanamke ni nani? Si mwanaume, baada ya kumzalisha, akamkimbia na kumuacha kuwa single mother si ni huyo huyo mwanaume?
Akishaona mtoto kakua anamrudia si huyohuyo mwanaume? Kwanini lawama zote, zinaenda kwa mwanamke?
Mwanamke ambaye amezaa ama ambaye hajazaa, akifanya makosa kwenye mauhusiano, hiyo ni tabia yake. Kama huwa wanarudi kwa waliozaa nao, lazima mwanaume ahusike. So mseme wanaume na wanawake wenye hizo tabia. Msisakame wanawake tu.
Kama una hofu ya MUNGU na unapenda haki. Tafuta namba mpya mpigie simu mwanaume ujulishe kilakitu. Halafu kaa kimya. Rafiki wa kweli huwa anatenda haki sio kumfichia madhambi mwenzake.Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,
na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,
sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,
namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Mkuu siyo kosa lake kati ya wanawake wanao penda kuroga wanaume single mother wanaongoza yani ukitaka maisha yako yawe magumu na husipate maendeleo ya kiuchumi basi husiingie kwenye mapenzi na mwanamke aliye zalishwa.mke mwema ni yule ambaye unamuo akiwa haja zalishwa wala kutoa mimba.Mtaji wa 6milion kwa mpenzi hahaha wajinga ndio waliwao hamjazaa wala hamna ndoa ni ujinga wa kiwango cha sgr ilikupasa ufungwe jiwe la kusagia ukatupwe deep sea pumbavu
Duu jamani halafu akiachwa, huyo baby chakavu wake atamuoa?Coz mwanzo alikiwa anatumia simu yangu kwasiliana na huyo mzazi, nikaona hili litaniletea shida nikamwambia tu ukweli unachokifanya sio vizuri mumeo akijua itakuwaje? Nikamwambia nyie ndiyo mnaosababisha walio na watoto wanaonekana sio wa kuolewa kwa hayo mambo,,
Now kanunuliwa simu kubwa na huyo bwana,
Kubwa kuliko kasema amemuambia ampe mimba nyingine[emoji16]
Ha ha ha ha kwahiyo alipauka mpaka akili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima utafakari...
Binti kapewa mimba akiwa form two...unadhani kweli akili yake itakuwa sawa baada ya hapo?
Wengine mnawalaumu bure.
Na lazima ipo siku atagundulika tu na akija kuachwa na huyo baba mtoto na yeye atakimbia majukumu tena, Wanawake wana siri sana kuishi na mwanamke inabidi mwanaume tuwe majasusi bila kuwa jasusi huwezi kugundua mabaya.Kuna muda wanawake hatuna akili masikini hadi huruma....Sasa wewe rafiki yake mshauri
My dear..mtu anazalishwa na kutelekezwa akiwa mtu mzima anachanganyikiwa. Sembuse huyo mtoto wa form two jamani...ambaye hajafikisha miaka 18 apitie hali ya ujauzito unadhani atakuwa sawa hapo baadae?Ha ha ha ha kwahiyo alipauka mpaka akili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu single mother wengine watoto wao wana kuwa na Baba wawiliHii comment inaelezea jinsi akili za wanawake wengi zilivyo hususani single mother
Men ukitaka kuoa single mother hakikisha amekuonyesha kaburi la baba mtoto wake, bila hivyo hapo utakua umeoa mke wa mtu
Umenielewa lakini?