Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Kumbe mmeshaona single mother's ni watu wa hovyo, wasio na mapenzi ya kweli. Swali kwenu kwanini bado mnawatongoza? Mnawaoa? Kwa akili yangu, kitu kama ni hatari nakiepuka kabisa. Waacheni, mdate na wasiozaa halafu tuone, je hao ni Malaika na hamtalalamika tena? Tuko hapa...
Watamu kwa matumizi...lakini sio wa kuwaoaaa..
 
Naona nikwambie kitu

Nyinyi wanawake mna kawaida ya kurudi mlipotoka ipo hivi

Niliwahi kua na mahusiano na dada mmoja na mahusiano yetu yalikua km utani tu mara tukaanza kulana, sasa kuna wakati tukawa kila mmoja anaishi mbali na mwenzie mimi nilienda Mbeya kufanya shughuli zangu yeye akawa yuko Kilimanjaro na shughuli zake, kuna kipindi tukapoteana na mimi nilipoteza simu nikapoteza hadi namba zake

Ikapita miaka 3 nikapokea namba ya voda ngeni kumhoji anasema yeye ni fulani nikashtuka sana maana ni mda mrefu umepita, akaanza story nikamhoji hivi na vile tukafika point akaniambia amepata watoto na mtu mwingine amejifungua mapacha, nikampa hongera zake sasa cha kustaajabu ananiambia anahitaji kua na mimi nikamwambia wewe una matatizo gani si umeolewa wewe? Akachukia

Naomba niishie hapo ila unaposema single mother hua hawarudi kwa ma-ex, ukweli ni kwamba hua wanarudi hata kwa wale ambao hawajazaa nao wanarudi kwenda kupigwa mashine
Sasa ndugu yangu labda nikuulize kitu kimoja.
Umesema single mothers huwa wanarudi kwa ma-ex wao baada ya muda.
Na wewe ambaye ni ex ukikubaliana nae akarudi huoni kwamba tabia zenu ni moja na wewe umerudi? Kwanini usikatae kumrudia ili tuamini kwamba wewe huwa hurudi kwa ma-ex zako?

Na unataka kusema kuwa hakuna mwanaume anayemtafuta ex wake amrudie?
Mbona wapo tunawaona?

Huu mtindo wa kumuangushia matabia mwanamke wakati nyingine hazina jinsia inashangaza sana.

Hizi ni tabia za kibinadamu.
 
Dada ntakujipu line yako moja baada ya nyingine

Hivi unajua kwanin tunawakataa singl m?
Sio sababu amezaa mtoto!
Hakuna mwanaume kamili hapa duniani anaekimbia majukumu
Ukiona mwanaume anakimbia majukumu huyo ni mwenzenu!!
Mwanaume ni kupambana na yaliyo mbele yake
Hi ndio nature harisi ya mwanaume!

Hivi unadhani sisi tunachokwepa ni wew kuzalishwa? Kama unadhani ndio hivyo basi ushakosea
Sisi tunachokimbia ni kukuowa wewe na kisha kuendeleza na mzazi mwenzio..
Ndio maana popote ukiomba ushaul wa kuowa s mother swali utakaloulizwa na ndugu/jamaa na rafiki ni ...Yupo wapi baba wa mtoto?
Hawaulizi jinsia,idadi,elimu,miaka au chochote kuhusu mtoto au mama
Wanauliza uwepo wa mzazi mwenza!!
Kwanini? Kwasababu yakuhofia ukaribu wao baada ya wew kuowa!

Asilia ya mwanaume ni kutamani!
Wewe ulishazakishwa...akakuacha hi inamaana hakuona thamani yako
Me nmekuchukua nmekuowa nmekutunza kama mke wangu mimi
Yeye anakuja tena unamkubalia hiv hili ni tatizo la mwanaume anaekufata au lakwako?
Watakuja wangapi? Kwanini ukubali wakati tayari unajua wewe n mke wa mtu? Kwanini hakuiona thamani yako wakati ule?
Unadhan baada ya kulala na wew tena atakuowa kama anavyokudanganya?
Hilo ni tatizo lako na sio wanaume.

Single mother akimludia kufanya mapenzi na mzazi mwenzie hilo sio tatizo la mwanaume yoyote kati ya hawa wawili [mention]Mshana Jr [/mention] (unaweza ni rekebisha hapa)
Ni lako na uchafu wako
Na ujinga wako
Na upumbavu wako
Kwasababu hawa wote wawili unawajua vizuri
Mtu akiona thamani yako inamaana amekuheshimu pakubwa
Ameweka imani na wewe
Amekupenda
Kiasi ameamua kupigana na fikra mbovu za jamii (ambazo kimsingi umezitengeneza mwenyewe)ili tu wewe ufurahi
Ila bado unarud huko huko
Hapa mwanaume anakosa gani?
Mkuu, hongera kwa kuandika vizuri. Well narated..
 
Pole sanaa mkuu, ila always give a woman a second chance wana chelewa kujifunza ila akijifunza anakua mke bora wa mfano.
Hahaha...usipomteze mwenzio[emoji23]...kama huyo Mwanamke alimfungulia hadi Biashara, yakatokea yaliyotokea...Yani ndo iwe mazima hiyo.
 
Single mother nilimpendaga sana yule. Alipigwa mimba akiwa form 2 na jamaa akamkimbia kuogopa kesi. Kaka zake yule binti wakahangaika sana mpaka akajifungua. Nikamkuta amepauka anauza karanga road, huku akiwa na katoto ka miaka 6 kamekonda sana. Binti alinivutia na alikua anaonekana yuko matured sasa kiakili.

Nikajenga nae mahusiano. Tukawa wapenzi. Kutwa kucha hakukosa kutoa lawama kwa mzazi mwenzake kwa kuwakimbia yeye na mwanae. Kwakweli niliguswa na upendo wake na ujuzi wake kitandani. Nikazama mazima. Nikamfungulia biashara kubwa na kuwekeza mtaji wa mil6.

Kilichofuata baada ya kuona ana uhakika wa kupiga pesa na kusimamia biashara kubwa akamtafuta mzazi mwenzake wakaendeleza walipoishia. Jamaa wa kitaa wakanisanua, wakati nipo job kumbe alimuingiza yule jamaa yake chumbani kwangu. Nikaishia kuwafumania na kumfukuza ndani kwangu.

Ile biashara nilimuachia. Matokeo yake bwana ake akaifilisi. Sasa hivi anaishia kunisumbua tu kwenye simu anataka turudiane. Kala block! Sitaki ushauri wowote kuhusu kuoa hawa single mother.
Pole mkuu...Yani hata hiyo Biashara usingemuachia.
 
Dada ntakujipu line yako moja baada ya nyingine

Hivi unajua kwanin tunawakataa singl m?
Sio sababu amezaa mtoto!
Hakuna mwanaume kamili hapa duniani anaekimbia majukumu
Ukiona mwanaume anakimbia majukumu huyo ni mwenzenu!!
Mwanaume ni kupambana na yaliyo mbele yake
Hi ndio nature harisi ya mwanaume!

Hivi unadhani sisi tunachokwepa ni wew kuzalishwa? Kama unadhani ndio hivyo basi ushakosea
Sisi tunachokimbia ni kukuowa wewe na kisha kuendeleza na mzazi mwenzio..
Ndio maana popote ukiomba ushaul wa kuowa s mother swali utakaloulizwa na ndugu/jamaa na rafiki ni ...Yupo wapi baba wa mtoto?
Hawaulizi jinsia,idadi,elimu,miaka au chochote kuhusu mtoto au mama
Wanauliza uwepo wa mzazi mwenza!!
Kwanini? Kwasababu yakuhofia ukaribu wao baada ya wew kuowa!

Asilia ya mwanaume ni kutamani!
Wewe ulishazakishwa...akakuacha hi inamaana hakuona thamani yako
Me nmekuchukua nmekuowa nmekutunza kama mke wangu mimi
Yeye anakuja tena unamkubalia hiv hili ni tatizo la mwanaume anaekufata au lakwako?
Watakuja wangapi? Kwanini ukubali wakati tayari unajua wewe n mke wa mtu? Kwanini hakuiona thamani yako wakati ule?
Unadhan baada ya kulala na wew tena atakuowa kama anavyokudanganya?
Hilo ni tatizo lako na sio wanaume.

Single mother akimludia kufanya mapenzi na mzazi mwenzie hilo sio tatizo la mwanaume yoyote kati ya hawa wawili [mention]Mshana Jr [/mention] (unaweza ni rekebisha hapa)
Ni lako na uchafu wako
Na ujinga wako
Na upumbavu wako
Kwasababu hawa wote wawili unawajua vizuri
Mtu akiona thamani yako inamaana amekuheshimu pakubwa
Ameweka imani na wewe
Amekupenda
Kiasi ameamua kupigana na fikra mbovu za jamii (ambazo kimsingi umezitengeneza mwenyewe)ili tu wewe ufurahi
Ila bado unarud huko huko
Hapa mwanaume anakosa gani?
Umemaliza kila kitu mkuu...
 
Hapo vip!!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma

2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...

Mimi ni mtu ni kazi yangu na biashara zangu, sasa naona kwasababu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.

Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
duh kwa hy mdada anaenda kuwa mmama wa watoto wawili na killa mmoja na baba ake
 
Kwanini usikatae kumrudia ili tuamini kwamba wewe huwa hurudi kwa ma-ex zako?
Mimi nilimkataa siku hio hio maana alinipa a/c zake za social media niende nione watoto wake, nikamuona Jamaa yake nikaona hii sio nzuri maana Jamaa alikua ni muislam na alimbadirisha hadi dini akawa amesilimu sasa nikaona hii sio sawa ila yeye akawa ananiganda nikaachana nae tu hadi leo hatuna mawasiliano yoyote na yeye, ingawa Jamaa yake walikuja wakatengana tena

Yaan huyu Jamaa alimkuta tayari ana mtoto mmoja hata mimi wakati nipo nae alikua na mtoto mmoja ambae alizaa na mhuni mmoja wa Arusha ambae baba yake anafanya Biashara za Madini

Hadi sasa amebaki kua single mother tu maana ndoa yake ilivunjika,

Nisiseme mengi acha niishie hapo tu naona kuna kitu utakua umekielewa japo kwa kidogo tu
 
Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,

na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,

sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,

namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Unamtizama kodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,

na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,

sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,

namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Ndiyo maana wanaume wanatucheka upuuzi huu, je kama mmewe anamsoma tu bila yeye kujitambua anaenda huko anakamatwa uwiii!
 
Naomba namimi nichangie kidogo huyo mwanamke anakupenda ndo maana amekuamba ruhusa angekuw mwengne asinge kuambia chochote na huyo ndo mbaya,msikilize mkeo ikiwezekana ongozana naye msibani mwanzo mwisho usisikilize maneno yawatu ila akizid kipimo nawew zaa nje na mwanamke mwengne afu uwe unajisahau unalala hko nje kwa hyo mwanamke ataingia wivu naheshima yako itarud nahapo ndo uanze kumcontrol yaan toka nitoke kisingizoo kumuona mtoto nakip wiki moja atanyoooka na kukuheshimu
 
Kuna baadhi ya wanaume ni watu wa ajabu sana, hivi anayempa mimba mwanamke ni nani? Si mwanaume, baada ya kumzalisha, akamkimbia na kumuacha kuwa single mother si ni huyo huyo mwanaume?
Akishaona mtoto kakua anamrudia si huyohuyo mwanaume? Kwanini lawama zote, zinaenda kwa mwanamke?

Mwanamke ambaye amezaa ama ambaye hajazaa, akifanya makosa kwenye mauhusiano, hiyo ni tabia yake. Kama huwa wanarudi kwa waliozaa nao, lazima mwanaume ahusike. So mseme wanaume na wanawake wenye hizo tabia. Msisakame wanawake tu.
Sijui umetumia akili ipi kucomment hapa ila nitakusaidia kuelewa kwa nguvu.

Ipo hivi, mwanamke hapo ndie mwenye maamuzi ya kuharibu au kujenga. Kupewa ujauzito na kukimbiwa na mwanaume hiyo inaweza kueleweka sababu wapo wanaume ambao hutumia uongo kurubuni mabinti na kuwaacha solemba baada ya kuwapa ujauzito huku wakiwa katika mazingira ya utegemezi.

Sasa tatizo au kukosa akili huwa kunakuja kipindi binti amepata mtu mwingine ambaye amemkubali kwa hali yake ya kuwa na mtoto na mwanaume aliyekataa majukumu ya uzazi kwa binti huyu halafu binti kwa kulijua hili anaamua kwa makusudi kurejesha mawasiliano na mtu ambaye alishaonyesha dhamira ya wazi kabisa ya kutotaka kuwa nae kwenye maisha wala kuhudumia mtoto wake wa damu.

Ina maana hata wewe kesho ukiwa mzazi wa binti. Binti yako akapewa ujauzito na kijana usiyemjua halafu ukatelekezewa hapo nyumbani kwako, kisha miaka kadhaa akajitokeza kijana maridadi na mtanashati ambaye ana kila sifa ya kuanza maisha na binti asiye na mtoto akaamua kumuoa binti yako na kulea mjukuu wako bila shida yoyote kama mtoto wake wa kumpata na binti yako.

Halafu unakuja kusikia malalamiko ya huyo kijana kuwa binti yako ameanza vituko anajihusisha na yule kijana muribifu aliyewatelekeza na mtoto kipindi cha nyuma. Hivi kama mzazi utatetea upuuzi wa binti yako kama unavyotetea hapa?!
 
Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,

na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,

sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,

namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Kama una hofu ya MUNGU na unapenda haki. Tafuta namba mpya mpigie simu mwanaume ujulishe kilakitu. Halafu kaa kimya. Rafiki wa kweli huwa anatenda haki sio kumfichia madhambi mwenzake.
 
Mtaji wa 6milion kwa mpenzi hahaha wajinga ndio waliwao hamjazaa wala hamna ndoa ni ujinga wa kiwango cha sgr ilikupasa ufungwe jiwe la kusagia ukatupwe deep sea pumbavu
Mkuu siyo kosa lake kati ya wanawake wanao penda kuroga wanaume single mother wanaongoza yani ukitaka maisha yako yawe magumu na husipate maendeleo ya kiuchumi basi husiingie kwenye mapenzi na mwanamke aliye zalishwa.mke mwema ni yule ambaye unamuo akiwa haja zalishwa wala kutoa mimba.
 
Coz mwanzo alikiwa anatumia simu yangu kwasiliana na huyo mzazi, nikaona hili litaniletea shida nikamwambia tu ukweli unachokifanya sio vizuri mumeo akijua itakuwaje? Nikamwambia nyie ndiyo mnaosababisha walio na watoto wanaonekana sio wa kuolewa kwa hayo mambo,,

Now kanunuliwa simu kubwa na huyo bwana,

Kubwa kuliko kasema amemuambia ampe mimba nyingine[emoji16]
Duu jamani halafu akiachwa, huyo baby chakavu wake atamuoa?
 
Lazima utafakari...
Binti kapewa mimba akiwa form two...unadhani kweli akili yake itakuwa sawa baada ya hapo?
Wengine mnawalaumu bure.
Ha ha ha ha kwahiyo alipauka mpaka akili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna muda wanawake hatuna akili masikini hadi huruma....Sasa wewe rafiki yake mshauri
Na lazima ipo siku atagundulika tu na akija kuachwa na huyo baba mtoto na yeye atakimbia majukumu tena, Wanawake wana siri sana kuishi na mwanamke inabidi mwanaume tuwe majasusi bila kuwa jasusi huwezi kugundua mabaya.
 
Ha ha ha ha kwahiyo alipauka mpaka akili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
My dear..mtu anazalishwa na kutelekezwa akiwa mtu mzima anachanganyikiwa. Sembuse huyo mtoto wa form two jamani...ambaye hajafikisha miaka 18 apitie hali ya ujauzito unadhani atakuwa sawa hapo baadae?
Na ukute na malezi yake hayakuwa mazuri.
Hawezi akawa mtu mzuri kwenye mahusiano nakwambia.
 
Hii comment inaelezea jinsi akili za wanawake wengi zilivyo hususani single mother

Men ukitaka kuoa single mother hakikisha amekuonyesha kaburi la baba mtoto wake, bila hivyo hapo utakua umeoa mke wa mtu

Umenielewa lakini?
Mkuu single mother wengine watoto wao wana kuwa na Baba wawili
 
Back
Top Bottom