Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Huu Uzi utapata wachangiaji wengi, single mothers utafikili walijipa mimba wenyewe in the other side na sisi tunaogopa wanaume waliozaa tayari.
Tabia za mtu zinahusiana nini na kujipa mimba mwenyewe?! Kinachozungumziwa hapa ni tabia au misimamo ya mwanamke ambaye amepata mtoto na mwanaume ambaye wameshindwa kuishi pamoja na kulea mtoto.

Hizi lawama zote hapa ni za kulaumu tabia za kuwa na maamuzi ya kukosa busara kwa kudharau mwanaume aliyejitoa kuwa na mwanamke mwenye mtoto tayari kisha kumrejea mwanaume ambaye ndie chanzo cha kuvuruga maisha yake.

Mbona kwenye mjadala mnapenda sana kuhamisha magoli as if ujumbe unakuwa unawachoma? Ina maana wewe husomi wanachoandika watu na msingi wa malalamiko upo eneo gani?!

Kwan wanawake kupewa ujauzito na kutelekezwa imeanza leo?! Si ni tokea miaka ya nyuma. Ila miaka hii wanawake wanaopata watoto na kutelekezwa wamekuwa na utomvu wa nidhamu na kutokuwa na discipline ya kujiheshimu na kumheshimisha mwanaume aliyeamua kujitoa kwaajiri yake na kubeba mizigo ya mwanaume ambaye ulimchagua wewe kwa utashi wako uzembe wako na kuamua kuazaa nae mtoto ambaye aligomea kumtunza pamoja na mama yake.

Sasa wewe unateteaje upumbavu kama huo na kugeuza geuza maneno hapa ionekane wanaume wanalaumu wanawake bila sababu yoyote
 
Sawa nakuelewa, hiyo ni kwa upande wako upo hivyo.

Je ni kweli kwamba wanaume huwa hawarudi kwa ma-ex wao na kutaka kurudiana au kuwala tu?


Mbona wapo sana tu wakibembeleza kurudi? Hiyo ni tabia tu ipo kotekote. Unaweza ukamwacha mtu ukaenda kwa mwingine ukakuta afadhali ya kule ulikotoka.
 
Sawa Nafaka but hiyo ni akili ya mtu, si kwasababu amezaa. Msihalalishe kuwa kila aliyezaa huwa anarudi kwa aliyezaa naye. Kuna watu wana misimamo yao. Hata ambao hawajazaa huwa wanarudi kwa ma ex.
Hapa unatetea nini sasa kwa mfano ukiulizwa maana its like upo guilty of something sasa unatetea.
 
Single mother matatizo yao ni Makubwa hayana tiba
 
Mkuu single mother wengine watoto wao wana kuwa na Baba wawili
Ndio hapo utaielewa vizuri akili ya single mother, ni mwekezaji anapiga huku anapiga na huku anapiga wote wanampa pesa ya matumizi ya mtoto, sio wawili tu mkiingia line mkajichanganya vibaya kwa single mother mmoja mnaweza mkajikuta mmepangwa hata watano na wote msijuane ila kila mmoja anamwambia huyu ni mwanao, na wewe kidume ukaamini

Juzi kuna mwamba alikua anagombana na single mother wake alimtoa mkoa wakaja kuishi nae huku, sasa Jamaa sijui ilikuaje akashika simu ya huyo mwanamke kuna namba alikua anataka aichukue ili awasiliane na mtu, bahati mbaya kuna meseji ikaingia Jamaa alikua hana kawaida kabisa ya kupekua simu ya huyo mwanamke

Sasa alipoona ile meseji ikabidi aingie kufuatialia nini kinaendelea, alichokikuta alijuta kwanini aliingia kusoma zile convo ikabidi amuite amuonyeshe na kumuuliza hiki nini kinachoendelea mwanamke kuona vile akaona ameyakanyaga akaondoka akamwachia Jamaa watoto hadi leo hajarudi, jamaa akampigia mama wa huyo mwanamke ili kumueleza anaambiwa binti yupo kwa mama yake na watoto kawaacha huku kwa jamaa, kamuacha mtoto mdogo ambae bado ananyonya Jamaa anashinda na mtoto ofisini kwake na kichupa cha maziwa

Wewe omba usimuliwe tu yasikukute
 
Daaah bora umesema ukweli wa rafiki yako.
 
Hana akili,atakosa vyote atazalishwa tena ataachwa hapo na ndoa itakufa.
 
vipi kuhusu single father's na wenyewe pia wasioe maana hawana tofauti na hao wakina Dada waliozalishwa wakaachwa
Wote ni wale wale tena bora hata mwanamke anakukataa kupasha kiporo lakini kwa mwanaume yupo kama kondoo anaongoza machinjioni
 
Kama una hofu ya MUNGU na unapenda haki. Tafuta namba mpya mpigie simu mwanaume ujulishe kilakitu. Halafu kaa kimya. Rafiki wa kweli huwa anatenda haki sio kumfichia madhambi mwenzake.
[emoji102][emoji102][emoji102] daa wewe embu usimshauri hivyo walikotafutana hakuwepo
 
Umesema Wana mtoto me naona yeye kwenda kwenye msiba wa Babu wa mtoto wake sio vibaya ndugu sema una gubu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…