Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Tafuta malaika umuoe

kampeleka mwanae msiba wa Babu yake na kakujulisha.,

Labda kama unajua lingine hujaweka wazi hapa
 
Tafuta malaika umuoe

kampeleka mwanae msiba wa Babu yake na kakujulisha.,

Labda kama unajua lingine hujaweka wazi hapa
inabidi wanawake mujaribu kufikiria hiki kitu from men's perspective msifikirie from your Women's perspective ya huruma

Mnashindwa kutuelewa hapa sababu ya namna mind zenu zilivyo kuwa programmed kufikiria

Baadhi ya wanawake wachache ambao wana thinking like a man wamemuelewa mtoa mada
 
Hata akienda kama demu anataka kutiwa na huyo mzazi mwenziye atatiwa tu. Mwanamke hachungwi!
 
Uongo ni mwingi kwenye hii story yako wewe mzee wa "university"

Anyway, Endelea kujikosha..!
 
Kama ukitaka amani katika maisha yako kamwe USIOE...
 
Ulikubali kuoa single mother basi ni lazima unajua mtoto wa mkeo mtarajiwa ana ndugu upande wa babaake! Yeyote akifa upande ule lazima mtoto aende. Na kama ni mdogo anaenda na mama yake. Pia hata kama ni mkubwa lazima asindikizwe na mama yake.

Itakuwa roho mbaya kama mtoto amefiwa halafu mama haendi. Sio sawa. Hili inabidi ujifunze kukubaliana nalo.

Hata hivyo, ukioa asiye na mtoto pia akienda kwao msibani peke yake anaweza liwa na kaka zake wa mtaani. Usiumize sana kichwa kwa mambo ambayo huyaoni.

Kama huyo mtoto atazuiwa kwenda na mama yake msibani kwa babu yake kwa sababu yako hutakuwa umewatendea haki wote wawili. Jaribu kuvaa viatu vya huyo mtoto anaenda msibani bila mama akikua itakuwaje kama akiwa mtoto bado mama yake anazuiwa.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,umeshawahi kuona mechi ikianza tayari upande mmoja ushafungwa goli moja? Akili kichwani hapo
 
Ingekuwa wewe ndo huyo Dada ungefanyaje au ungemshaurije?.

labda jamaa ana tukio lingine msiba umempa hofu zaidi tu
 
Kuoa mwanamke mwenye mtoto, Inahitaji Akili zimekwisha kabisa sawa na kukikumbatia chuma kilichotiwa kwenye moto hadi kikawa chekundu.
 
Tumechoka kuwashauri nyie wasenge, tumeshasema single maza anayepaswa kuolewa ni yule aliyefiwa tu na mumewe hao waliobaki ni wa kupiga miti na kusonga mbele.
Kama mwanaume mwenzio kamshindwa wewe ni nani umuweze?
Kmmmmk, punguza hasira mkubwa 🀣 πŸ˜…πŸ˜…
 
Yaani hata kosa silioni amuache haraka huyo dada tena kwa kumwambia ukweli nimekuacha kwa sababu hii maisha yaendelee
Kosa lipo akienda lazima jamaa ataomba mzigo, na single mother hawa wez kukataa kabisa.
 
Nikwel Mimi mpenz wangu aliolewa na jamaa, lakin bado alikuwa ana niambia tuzae nae kisiri wakati yeye yupo ndan ya ndoa , na wakati tuna achana nilikuwa sija mzalisha
 
Hamna kosa hapo. Kama hutaki aende mkataze ajue moja sio unamruhusu una kinyongo. Mwanaume lazima uwe na msimamo....

Wewe huna msimamo.
 
Nilipoumia ni kwamba anataka amuache na mtoto mwingine
 
Singo maa ni sehemu ya kupashia kiporo tu vinginevyo unatafuta matatizo
 
Afadhali umesema, huo muunganiko ndio tatizo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…