Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Kipindi unawaza kitu tofauti kumbuka kuwa huyo aliyekufa ni babu wa mwanao wa kufikia halafu kingine hata wakifanya yao ni sawa tu sababu wanatumia miili yao
Kuwa na huruma basi.... Dah unatumia maneno makali[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ulimwambia hutaki aende na akienda future yenu kama wanandoa watarajiwa inafikia tamati?
Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...mimi ni mtu ambaye ilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa january...nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo..na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion...hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuw ni binti mwenye msimamao kwenye mahusiona.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi...ila wakati tukiwa mwaka watu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi...jamaa akapapanda akafanikiw kumuweka kwenye himaya yake...kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti...ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahaerisha harusi mara kwa mara ila kafaniliwa kuzaa naye mtoto...ila baadaye wakaingia kwenye misuguona wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine....na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto...anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu...anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiona akamata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe...nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba..nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake..anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyum....
Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambul8sho katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasabsbu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...

Mimi nu mtu ni kazi yangu na biashara zangu..sasa naona kwasbabu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.

Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
 
Uzinzi na umalaya ni kipaji kama ilivo kucheza mpira au basket ball na inaonekana mapema kama vipaji vingine tu toka udogoni ndio maana mkiambiwa mchague wa kuzaa naye mnakuwa na jazba na hasira,serikali hawezi kuingilia vipaji vya watu its in human nature.

WHERE THERE IS A WHEEL, THERE IS A WAY!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni will sio Wheel ....
 
Hakuna state ambayo wanawake wananyanyasika kama asipokua na kitu cha kumuingizia fedha kidg...umesema amezaa na jamaa kwahiyo hapo mwanayr amefiwa na babu...kwahiyo asiende kisa? Si anaenda kwasababu amechangia damu huko?
Mie naenda sana na huna la kunifanya[emoji57]! Unataka maisha yasimame kisa umemtangazia unamuoa? Ase!
Kwa ww mwanamke kwenda bila ruhusa ya mwanaume wako ni kosa. Kama atasema nenda bila kinyongo then haina shida kinyume chake ni kukosa heshima kwa mume wako.

Ila kama mtoto ni mkubwa then hata wazazi wote wawili mnaweza kwenda kumsindikiza msibani kama mtapenda ikiwa si sawa then mnaweza kuacha tu aende mwenyewe.

Kuhusu swala la fedha huwa sielewi hii akili wanawake aliwafundisha nani.

Kuwa na kipato sio kinga dhidi ya manyanyaso katika mahusiano. Manyanyaso ni matokeo ya tabia na sio hali ya uchumi wa mhanga wa manyanyaso au mnyanyasaji.
 
Tumechoka kuwashauri nyie wasenge, tumeshasema single maza anayepaswa kuolewa ni yule aliyefiwa tu na mumewe hao waliobaki ni wa kupiga miti na kusonga mbele.
Kama mwanaume mwenzio kamshindwa wewe ni nani umuweze?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] duh!

Msiwanyanyapae singo maza jamani. Hawakujizalisha!!!
 
Kwa ww mwanamke kwenda bila ruhusa ya mwanaume wako ni kosa. Kama atasema nenda bila kinyongo then haina shida kinyume chake ni kukosa heshima kwa mume wako.

Ila kama mtoto ni mkubwa then hata wazazi wote wawili mnaweza kwenda kumsindikiza msibani kama mtapenda ikiwa si sawa then mnaweza kuacha tu aende mwenyewe.

Kuhusu swala la fedha huwa sielewi hii akili wanawake aliwafundisha nani.

Kuwa na kipato sio kinga dhidi ya manyanyaso katika mahusiano. Manyanyaso ni matokeo ya tabia na sio hali ya uchumi wa mhanga wa manyanyaso au mnyanyasaji.
Hadi naamua kwenda lazima nimuage mume au mchumba!
Kuna wanaume wananyanyasa kisa huna pa kwenda!
 
Hiyo sio ishu kubwa ila ni ishara nzuri sana ya kukuonyesha huko mbeleni ukishamuoa utakutana na visanga vya namna gani...
 
Hadi naamua kwenda lazima nimuage mume au mchumba!
Kuna wanaume wananyanyasa kisa huna pa kwenda!
Lakini inategemea na moyo wake na historia yake ya nyuma. Hata wewe kama mwanamke ukisha experience matukio ya uzinifu kwa mtu wako wa awali inakuwa obvious kuwa hautaweza kuhandle mahusiano au ukaribu wa mume wako na wanawake wengine.

Hii hali inatokea katika eneo la hofu ila sio eneo la maamuzi binafsi au kujitakia.

So nadhani kama mwanamke unayejitambua unakuwa kwanza na jukumu la kulinda hisia na amani ya mwanaume wako. Sababu kwetu sisi wanaume upendo kutoka kwenu wanawake unakuja katika sura ya kuheshimiwa na kusikilizwa maamuzi na malekezo tunayotoa. Kinyume chake inakuwa ngumu kuishi na mwanamke. Hii ni kwa wanaume wote waliokamilika kiuumbaaji kwa asili yao.
 
Huwaga hawaachani hao watu kiporo kupashwa ni lazima, kikubwa tuliza akili jipe muda utapata tu mwanamke sahihi kwako.
 
Back
Top Bottom