2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Achague basi 1,nani muhimu kwake,mimi au huyo babu yake mtoto ambaye kashakufa.Hahahaa...eti asirudi..dah..kuna manyanyaso hapa duniani balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achague basi 1,nani muhimu kwake,mimi au huyo babu yake mtoto ambaye kashakufa.Hahahaa...eti asirudi..dah..kuna manyanyaso hapa duniani balaa
Angalau we una wazo la kwenda naye tena hilo wazo nimelipenda sana haya ni mambo ya kijamii ko wakati mwingine hayakwepeki(yule ni babu wa mwanae kumbuka kama we ni mzazi utaelewa)Binafsi kama si kwenda nae badi hakuna kwenda,kama akienda basi asirudi
Wote mna umuhimuAchague basi 1,nani muhimu kwake,mimi au huyo babu yake mtoto ambaye kashakufa.
Angekuwa na akili angeomba ruhusaMbona sioni tatizo hapo, kumbuka wawili hao wameunganishwa na mtoto/watoto, it's obvious kwamba kukiwa na tatizo upande wowote lazima wahusiane, like it or not.
Muunganiko wa wawili hao upo relevant as long as mtoto/watoto wapo kwenye equation, bear it in your SKULL...
The best solution ni wewe kutembea mbele maana sioni ukiweza kuhimili hizo purukushani.
Mfano wewe hapo mumeo na babu yako nani muhimuWote mna umuhimu
WoteMfano wewe hapo mumeo na babu yako nani muhimu
Ukiambia chagua nani atangulie kufa uttachagua naniWote
Huyo ni wa kubutua juu achana naeMbona sioni tatizo hapo, kumbuka wawili hao wameunganishwa na mtoto/watoto, it's obvious kwamba kukiwa na tatizo upande wowote lazima wahusiane, like it or not.
Muunganiko wa wawili hao upo relevant as long as mtoto/watoto wapo kwenye equation, bear it in your SKULL...
The best solution ni wewe kutembea mbele maana sioni ukiweza kuhimili hizo purukushani.
😀😀😀Ukiambia chagua nani atangulie kufa uttachagua nani
Nilijua sherehe kumbe msiba una wivu mkuu utaacha wangapi kwa sababu nyepesi hivi.inafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyum....
Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambul8sho katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?
Yaani hata kosa silioni amuache haraka huyo dada tena kwa kumwambia ukweli nimekuacha kwa sababu hii maisha yaendeleeHakuna state ambayo wanawake wananyanyasika kama asipokua na kitu cha kumuingizia fedha kidg...umesema amezaa na jamaa kwahiyo hapo mwanayr amefiwa na babu...kwahiyo asiende kisa? Si anaenda kwasababu amechangia damu huko?
Mie naenda sana na huna la kunifanya😏! Unataka maisha yasimame kisa umemtangazia unamuoa? Ase!
Na sisi tumezidi kujiweka desperate...! Single mom na huna kitu utadharaulika hadi ujute..hv huyo dada anakazi ya kumbembeleza mchumba..https://jamii.app/JFUserGuideYaani hata kosa silioni amuache haraka huyo dada tena kwa kumwambia ukweli nimekuacha kwa sababu hii maisha yaendelee
Kwani bibie hana kaziNa sisi tumezidi kujiweka desperate...! Single mom na huna kitu utadharaulika hadi ujute..hv huyo dada anakazi ya kumbembeleza mchumba..https://jamii.app/JFUserGuide
Amesema kwa uzi hana kaziKwani bibie hana kazi