Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

Mimi nimezalisha wawili na wote wameolewa ila sasa tatizo dogo tu napigiwa simu ohhoo mwanaume hajui kunitunza kwanza hata kitandani ni mbovu yaaan makolo kolo kibao wakifanya safari ya kuja dar lazima watake nikawakamue sasa ndipo nilipogundua kuoa single mother inatakiwa uwe na roho ya kusamehe...
 
Sawa Nafaka but hiyo ni akili ya mtu, si kwasababu amezaa. Msihalalishe kuwa kila aliyezaa huwa anarudi kwa aliyezaa naye. Kuna watu wana misimamo yao. Hata ambao hawajazaa huwa wanarudi kwa ma ex.
Ni bora awe na msimamo,wengi hawana hiyo misimamo ndio maana hapa wengi wanazungumzia maumivu...
 
Kuna muda wanawake hatuna akili masikini hadi huruma....Sasa wewe rafiki yake mshauri
Coz mwanzo alikiwa anatumia simu yangu kwasiliana na huyo mzazi, nikaona hili litaniletea shida nikamwambia tu ukweli unachokifanya sio vizuri mumeo akijua itakuwaje? Nikamwambia nyie ndiyo mnaosababisha walio na watoto wanaonekana sio wa kuolewa kwa hayo mambo,,

Now kanunuliwa simu kubwa na huyo bwana,

Kubwa kuliko kasema amemuambia ampe mimba nyingine[emoji16]
 
Mimi nimezalisha wawili na wote wameolewa ila sasa tatizo dogo tu napigiwa simu ohhoo mwanaume hajui kunitunza kwanza hata kitandani ni mbovu yaaan makolo kolo kibao wakifanya safari ya kuja dar lazima watake nikawakamue sasa ndipo nilipogundua kuoa single mother inatakiwa uwe na roho ya kusamehe...
Umeona eeeh[emoji16]

Namuonea huruma sana kijana anaeoa singo maza,
 
Dada ntakujipu line yako moja baada ya nyingine

Hivi unajua kwanin tunawakataa singl m?
Sio sababu amezaa mtoto!
Hakuna mwanaume kamili hapa duniani anaekimbia majukumu
Ukiona mwanaume anakimbia majukumu huyo ni mwenzenu!!
Mwanaume ni kupambana na yaliyo mbele yake
Hi ndio nature harisi ya mwanaume!

Hivi unadhani sisi tunachokwepa ni wew kuzalishwa? Kama unadhani ndio hivyo basi ushakosea
Sisi tunachokimbia ni kukuowa wewe na kisha kuendeleza na mzazi mwenzio..
Ndio maana popote ukiomba ushaul wa kuowa s mother swali utakaloulizwa na ndugu/jamaa na rafiki ni ...Yupo wapi baba wa mtoto?
Hawaulizi jinsia,idadi,elimu,miaka au chochote kuhusu mtoto au mama
Wanauliza uwepo wa mzazi mwenza!!
Kwanini? Kwasababu yakuhofia ukaribu wao baada ya wew kuowa!

Asilia ya mwanaume ni kutamani!
Wewe ulishazakishwa...akakuacha hi inamaana hakuona thamani yako
Me nmekuchukua nmekuowa nmekutunza kama mke wangu mimi
Yeye anakuja tena unamkubalia hiv hili ni tatizo la mwanaume anaekufata au lakwako?
Watakuja wangapi? Kwanini ukubali wakati tayari unajua wewe n mke wa mtu? Kwanini hakuiona thamani yako wakati ule?
Unadhan baada ya kulala na wew tena atakuowa kama anavyokudanganya?
Hilo ni tatizo lako na sio wanaume.

Single mother akimludia kufanya mapenzi na mzazi mwenzie hilo sio tatizo la mwanaume yoyote kati ya hawa wawili [mention]Mshana Jr [/mention] (unaweza ni rekebisha hapa)
Ni lako na uchafu wako
Na ujinga wako
Na upumbavu wako
Kwasababu hawa wote wawili unawajua vizuri
Mtu akiona thamani yako inamaana amekuheshimu pakubwa
Ameweka imani na wewe
Amekupenda
Kiasi ameamua kupigana na fikra mbovu za jamii (ambazo kimsingi umezitengeneza mwenyewe)ili tu wewe ufurahi
Ila bado unarud huko huko
Hapa mwanaume anakosa gani?
WEKA NAMBA YA ACCOUNT HAPA... TUKUPE POLE KWA KAZI KUBWA YA KUMUELEWESHA SINGO MAZA... NA USISHANGAE HAJAELEWA... HAWAELEWAGI HAWAAA...
 
Single mother nilimpendaga sana yule. Alipigwa mimba akiwa form 2 na jamaa akamkimbia kuogopa kesi. Kaka zake yule binti wakahangaika sana mpaka akajifungua. Nikamkuta amepauka anauza karanga road, huku akiwa na katoto ka miaka 6 kamekonda sana. Binti alinivutia na alikua anaonekana yuko matured sasa kiakili.

Nikajenga nae mahusiano. Tukawa wapenzi. Kutwa kucha hakukosa kutoa lawama kwa mzazi mwenzake kwa kuwakimbia yeye na mwanae. Kwakweli niliguswa na upendo wake na ujuzi wake kitandani. Nikazama mazima. Nikamfungulia biashara kubwa na kuwekeza mtaji wa mil6.

Kilichofuata baada ya kuona ana uhakika wa kupiga pesa na kusimamia biashara kubwa akamtafuta mzazi mwenzake wakaendeleza walipoishia. Jamaa wa kitaa wakanisanua, wakati nipo job kumbe alimuingiza yule jamaa yake chumbani kwangu. Nikaishia kuwafumania na kumfukuza ndani kwangu.

Ile biashara nilimuachia. Matokeo yake bwana ake akaifilisi. Sasa hivi anaishia kunisumbua tu kwenye simu anataka turudiane. Kala block! Sitaki ushauri wowote kuhusu kuoa hawa single mother.
Lazima utafakari...
Binti kapewa mimba akiwa form two...unadhani kweli akili yake itakuwa sawa baada ya hapo?
Wengine mnawalaumu bure.
 
Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,

na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,

sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,

namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Hatari hii
 
Mkuu, "single mothers are no go zone"

Kinachomfanya single mama kurudiana na mzazi mwenzie wala sio uwezo wake wa kufikiri/ haudumiwi na mpenzi wake mpya bali ni nguvu kutoka ulimwengu wa kiroho.
Uko sahihi,ni wachache wanaoamua kumrudia Mungu na kufanya toba ndio wanaosalimika,lakini wengi wao hufungwa na hivi vifungo vya kiroho na kujikuta anamrudia mtu wake bila ya kujali hali ya mahusiano yake mapya kuwa inaharibika...
 
Naona nikwambie kitu

Nyinyi wanawake mna kawaida ya kurudi mlipotoka ipo hivi

Niliwahi kua na mahusiano na dada mmoja na mahusiano yetu yalikua km utani tu mara tukaanza kulana, sasa kuna wakati tukawa kila mmoja anaishi mbali na mwenzie mimi nilienda Mbeya kufanya shughuli zangu yeye akawa yuko Kilimanjaro na shughuli zake, kuna kipindi tukapoteana na mimi nilipoteza simu nikapoteza hadi namba zake

Ikapita miaka 3 nikapokea namba ya voda ngeni kumhoji anasema yeye ni fulani nikashtuka sana maana ni mda mrefu umepita, akaanza story nikamhoji hivi na vile tukafika point akaniambia amepata watoto na mtu mwingine amejifungua mapacha, nikampa hongera zake sasa cha kustaajabu ananiambia anahitaji kua na mimi nikamwambia wewe una matatizo gani si umeolewa wewe? Akachukia

Naomba niishie hapo ila unaposema single mother hua hawarudi kwa ma-ex, ukweli ni kwamba hua wanarudi hata kwa wale ambao hawajazaa nao wanarudi kwenda kupigwa mashine
Oubobe bado nashikilia kauli yangu, siyo wote, vitu hivyo vinatokea na akili ya mtu mwenyewepia. Naomba nikupe mfano huu na useme je ni wote? Hakuna wanaume wale malaya mbwa? Si wapo ila je tunasema wanaume wote wako hivyo? Mkikutana na waliozalishwa 100 wana tabia za kurudi, walikotendwa si wote.
 
Ngoja tunyamaze tu.....
Tukiandika vidole vitauma + kuonekana tunawasagia kunguni

Mwanamke anapokuja kwako kitu cha kwanza hua anakua na Target yaje...
Inawezekana kua njema au mbovu
Mwanamke hakubali tu kua na wew yaan aanze tu
Kuna special target anazitazama hapo

Ambazo zinamfurahisha yeye na nafsi yake..
Shida ni kupambana uzijue Target hizo...

All in all me binafs hawa dada zetu wenye watoto siwez kugusa tena!!!!!!!!!!

Mdogo wangu wa kike ameshaingia huku...
Kwa makosa kidogo aliyoyafanya....
Ila hi hainizuii kuongea ukweli hu

Single mothers wengi wameshaharibika hata mfumo wao wakufikili
Wao kuna namna wana define real love
Kuna namna ukifanya atakupa hata figo yake...
Hawapambanui upendo wa mapenzi tena
Bali wanapima upendo kwa matendo yako “kwao”
Hivyo siku zote utaishi kumfurahisha yeye
Na sio wote wawili baina yenu

Najua hujanielewa....ntaelezea tena keshho
Asante mkuu upo vyema Sana when comes to discuss single mothers you have a lot of experience and I like the way you share with us
 
Huyu wa kwangu huwa namwambia arudi kwa ex wake TU....Nina roho ya kusamehe Mimi....
 
Wanawake huwa hawawasahau waliowatoa bikra Acha ujinga kaka
 
Best yangu ni singo maza kaolewa alikuwa hana mawasiliano na huyo ex baba mtoto now katafuta namba kazipata mawasiliano moto[emoji91] anakula pesa za matumizi na kamwambia mwanae huyo ni anko,

na mtoto alimuacha na miezi sita kalelewa na baba wa sasa,

sasa anapanga safari akaonane nae,amesema anamuaga mumewe anaenda kumsalimia bibi yake na anajua hawezi mkatalia,

namtizamaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Hakika inaumiuza sana,lkn litamkuta la kumkuta
 
Oubobe bado nashikilia kauli yangu, siyo wote, vitu hivyo vinatokea na akili ya mtu mwenyewepia. Naomba nikupe mfano huu na useme je ni wote? Hakuna wanaume wale malaya mbwa? Si wapo ila je tunasema wanaume wote wako hivyo? Mkikutana na waliozalishwa 100 wana tabia za kurudi, walikotendwa si wote.
Mkuu kwa tafiti zangu don't trust a single mother I mean any single mother, akipata upenyo anaenda kwa mtu wake wa kwanza hio ni nature usipingane na nature
 
Back
Top Bottom