mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
[emoji23][emoji23][emoji23]sawa kiongoziChakula cha muumba ni sala; mambo ya sadak ni chakula cha binadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]sawa kiongoziChakula cha muumba ni sala; mambo ya sadak ni chakula cha binadamu
Endelea kutoa, watoto wao wakasome marekani; huku wa kwako wakisoma mtaani huku wakikalia matofali na kuvaa kaptula zilizotoboka[emoji23][emoji23][emoji23]sawa kiongozi
Sadaka ni lazima kanisani au msikitini?Endelea kutoa, watoto wao wakasome marekani; huku wa kwako wakisoma mtaani huku wakikalia matofali na kuvaa kaptula zilizotoboka
Uliona wapi masikini akapewa heshima zote kwenye nyumba za ibada?Sadaka ni lazima kanisani au msikitini??
Gharama za umeme, maji, nguo, vyakula, mafuta ya gari, kuwasomesha watoto wao n.k watazilipa kutoka chanzo kipi?Sadaka ni lazima kanisani au msikitini??
UmefanyajeTatizo ni moyo
Wapo banaUliona wapi masikini akapewa heshima zote kwenye nyumba za ibada?
Umeacha kazi yake ya kusukuma damu, na kuanza kupendaUmefanyaje
Huo moyo umebakiza kusukuma gunia la misumari tuUmeacha kazi yake ya kusukuma damu, na kuanza kupenda
Haa wapi, tena ukicheza vibaya, unaweza kuja kuzikwa na mwalimu wa mafundishoWapo bana
Basi tunapigwa[emoji23]Gharama za umeme, maji, nguo, vyakula, mafuta ya gari, kuwasomesha watoto wao n.k watazilipa kutoka chanzo kipi?
Kwa hiyo hutaki ukupende?Huo moyo umebakiza kusukuma gunia la misumari tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haa wapi, tena ukicheza vibaya, unaweza kuja kuzikwa na mwalimu wa mafundisho
Ndivyo ulimwengu ulivyoBasi tunapigwa[emoji23]
Miezi 3 sasaNimekutana lini na mmeanza mahusiano lini ukute mwenzio anatatizo la kisaikolojia
Yule mwenye mimba yako unaendelea kumuhudumia?Ndivyo ulimwengu ulivyo
Uko na vinasaba vya kutokuridhika anko malaikaKwa hiyo hutaki ukupende?
Wiki nzima, magoli mawili au moja, we unaweza ukavumilia?Uko na vinasaba vya kutokuridhika anko malaika
Jaribu kukaa naye chini uongee naye wanawake wakiwa free kimawazo hiyo kitu unapewa mpaka ukinai ila wakiwa na mawazo kidogo daaah tabu tupuMiezi 3 sasa