Huyu singo maza anataka nifanye maamuzi magumu

Huyu singo maza anataka nifanye maamuzi magumu

Kuna majina humu nikiyaona kama ya maLEGEND Fulani hivi, Huwa nashangaa kuona wakiomba ushauri kwenye mahusiano yao.
 
Hukupaswa kufanya maamuzi magumu kisa tu hutoshelezwi kitandani . Yawezekana anapitia wakati mgumu kwenye safari yake ya maisha ilibidi kwa utulivu wa hali ya juu kabisa ungemdodosa ungejua shida iko wapi nahisi baada ya kujua chanzo cha tatizo inakuwa rahisi kumaliza ama kuliondoa tatizo. Mapenzi ni hisia utulivu zaidi unahitajika , wanawake wameumbwa tofauti sana ukilinganisha na sisi wanaume ambapo hisia zetu zipo simpo tu
 
Katika harakati zangu za mtaa kwa mtaa, nilijikuta naanzisha uhusiano na singo maza mmoja ambaye anasoma chuo A hapa mjini.

Kutokana na shepu yake, nikajikuta mwili wote umelegea na moyo ukasahau kusukuma damu, na kuanza kumpenda.

Changamoto aliyonayo, ni kutokuwa na uwezo wa kuniridhisha kimapenzi. Baada ya goli moja, anakuwa hataki tena kufanya tendo, mpaka baada ya siku 5 au zaidi.

Kwangu imekuwa kama mtihani, kwa sababu sioni umuhimu wake; mbaya zaidi nilimuahidi kumchangia gharama za chuo, pamoja na baadhi ya matumizi yake.

Nimekuwa nasita kuanza kuwekeza kiasi kikubwa kwake,kutokana na yeye kutokujua wajibu wake.

Mbaya zaidi, siku za karibuni nikimuambia tuonane, anakuwa na sababu; mara hunijali, kwa hiyo sitakuja n.k

Nimekuwa namtafutia sababu, ili ajiondoe mwenyewe kwenye mchakato.

Mbaya zaidi, leo nimemwambie aje tupige bia mbili; kakataa, anasema nimeshindwa kumuhudumia.

Sasa najiuliza, utamuhudumia mtu asiyekuridhisha? Kwa hasira, nimefanya maamuzi magumu, nimempiga chini.

Hapa nilipo, napiga pombe kali huku nikitazama viuno vizuri vikizungushwa hapa 'pub' ili kuondoa msongo wa mawazo.

Kama atapatikana, toto la kiarabu, pengo lisilozibika, litazibika.
Singo maza sida sana, wapo wanaojielewa ila wapo wanaingia kwenye mahusiano na priority zao ni maisna yao na watoto wao, utaskia mm nampambania mwanangu, kumpambania kwenyewe ndio hio sssa kukulazimisha umhudumie yeye ili nae ahudumie mwanae.

Singo maza wengi ni wabinafsi sana wanataka uwajali sao tu ila mbususu kutoa hawataki eti wanadai waling'atwa na nyoka.

Mkuu kama mbususu anatoa kwa maringo achana nae unapoteza hela zako. Kakosa sifa mbili kubwa. Moja ni singo maza, pili mbususu anakupimia.

Siku muulize kwamba anavyokupimia mbususu siku ukienda kuitafuta kwengine atajisikiaje, halafu usikie atakuambia nn. Anaonekana ana lijamaa lingine linalomchosha
 
Back
Top Bottom