Uchaguzi 2020 Huyu siyo Abood ninayemjua. Huwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni

Uchaguzi 2020 Huyu siyo Abood ninayemjua. Huwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni

Kwa Mema ambayo Abood huwa anawafanyia wana Mkoa wa Morogoro hasa pale wakiwa na Shida ( Misiba ) na mpaka wakati wa Furaha ( Ndoa ) ambayo hata Mimi GENTAMYCINE nimeshawahi Kufaidika nayo kwa namna moja au nyingine nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Abood hafai kuwa Mbunge au Kuzipokea hizi Shutuma za Kisiasa dhidi yake.

Mapungufu yake haya hayaondoi Ukweli kwamba Jamaa ( Abood ) ni Mtu wa Watu sana na pia ni Mwema mno tu na asiyebagua wana Morogoro.
Una uhakika unacho kinena?
 
Kwa Mema ambayo Abood huwa anawafanyia wana Mkoa wa Morogoro hasa pale wakiwa na Shida ( Misiba ) na mpaka wakati wa Furaha ( Ndoa ) ambayo hata Mimi GENTAMYCINE nimeshawahi Kufaidika nayo kwa namna moja au nyingine nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Abood hafai kuwa Mbunge au Kuzipokea hizi Shutuma za Kisiasa dhidi yake.

Mapungufu yake haya hayaondoi Ukweli kwamba Jamaa ( Abood ) ni Mtu wa Watu sana na pia ni Mwema mno tu na asiyebagua wana Morogoro.
Nyie ndionwake mliosaidiwa kibaba cha unga nakuuza utu wenu umaskini mbaya sana
 
Kasaidie wananchi misiba, ndoa na sherehe utarajie kupewa Jimbo mikoa ya Arusha na kilimanjaro.
Asante kwa kuweka wazi kuhusu kupewa Jimbo, lakini unataka kuwaaminisha watanzania kuwa sisi watu wa Kilimanjaro hatuna shukurani tukitendewa mazuri?. Wachangiaji misiba na harusi tunawapa heshima sana tuu.
 
Back
Top Bottom