Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Umeongea vizuri sana, kunywa bia kiongozi.
Baadaye , Tupo kwenye Uzinduzi wa kitaifa wa Matela ya Kuvutwa na Punda mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea vizuri sana, kunywa bia kiongozi.
Wamemfukuzilia mbaali, tatizo aliloonyesha trafiki ni utoto. Kwa nafasi yake hakupaswa kufanya vile.Ndio walikuwa alert lakini umeona walikuwa 'concerned' naye? Wamemtizama kwa sekunde kadhaa, hizo sekunde zimekuwa destruction kwao
Baadae tuonane kwa bubu tukale kuku wa kuchoma..Baadaye , Tupo kwenye Uzinduzi wa kitaifa wa Matela ya Kuvutwa na Punda mkuu.
Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?
Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena kupita nyuma ya hao Walinzi wenye silaha nje nje, kwa akili zangu za kawaida naona hatari maana kama mtu mbaya na mwenye mafunzo anapita karibu hivyo anaweza kuwapokonya hao akafanya fujo
Lakini pia baada ya kuambiwa huku usipite pita huko akamgusa huyu afisa mmoja kiunoni kwa nyuma kiasi anaweza kugusa silaha iliyofichwa mfukoni.
Na kuonesha kuwa halikuwa jambo la kawaida, amevuta attention ya karibu wana usalama wanne mpaka watano mpaka waliokuwa karibu kabisa na Rais, kiasi wamegeuka na kumtizama kwa sekunde kadhaa wakati anaondoka, hata huyo Kamanda aliyepigiwa saluti hajamuelewa kabisa huyo askari kamuangalia kwa mashaka.
Hiyo haiwezi kuitwa Security Breach au ni kawaida tu
View attachment 1846143
uyo mzee K-Vant anajulikana, unaweza kuta pale alikuwa tayari kashalipuka, maana kwa akili ya kawaida asingekatiza paleKapotea njia?
Yap na ndio kafanya kazi yake kwa wakati hao wengine walikua hawaelewi elewi jamaa anazungukua tuu eneo laoHilo lisoja lililomuelekeza apite kwingine lilipwe posho mara mbili. Limenikosha kwa maamuzi ya haraka na sahihi. Wengine walikuwa wamevaa barakoa wanaangaliana tu huku mtu anapenya
Push gange na mataga unawaamini? Watch out.Kweli kuna yeyote duniani anaweza kumdhuru mama yetu? Kuna yeyote ana uthubutu wa kunyanyua mkono na kumdhuru mama? Hamna kabisa
Hakuna soja pale,wale ni PSU wanaovalia military attire.Hilo lisoja lililomuelekeza apite kwingine lilipwe posho mara mbili. Limenikosha kwa maamuzi ya haraka na sahihi. Wengine walikuwa wamevaa barakoa wanaangaliana tu huku mtu anapenya
hahahahhahaKazi zinavuruga
Acheni tu
Huyo sio Mama Yenu.!Kweli kuna yeyote duniani anaweza kumdhuru mama yetu? Kuna yeyote ana uthubutu wa kunyanyua mkono na kumdhuru mama? Hamna kabisa
Tangu umefahamu kaneno PSU basi unaona unajua kila kitu. Unajua recruitnent huanzia ngazi gani mpaka mtu kuwa mwana PSU? HUYO JAMAA NI MWANAJESHI TENA MWANAJESHI HASWA. tatizo unachanganya kati ya JWTZ Na neno soldier. A soldier anaweza kuwa mkui wa mkoa mwalimu usalama wa taifa kamishina wa tra lakini haibadilishi kitu kuwa yeye ni SOLDIER.Hakuna soja pale,wale ni PSU wanaovalia military attire.
Tatizo wanadharaulika sana 😀 yaani Traffic ndio wanamsafishia njia afu wanabaniwa kumsogelea! jamaa kamaindi sana hasira kamalizia kwa UsalamaHuyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.
Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Rejea historia ya mama Indira Gandhi.Kweli kuna yeyote duniani anaweza kumdhuru mama yetu? Kuna yeyote ana uthubutu wa kunyanyua mkono na kumdhuru mama? Hamna kabisa
Sipo kubishana mkuu,najua vingi sana.Tangu umefahamu kaneno PSU basi unaona unajua kila kitu. Unajua recruitnent huanzia ngazi gani mpaka mtu kuwa mwana PSU? HUYO JAMAA NI MWANAJESHI TENA MWANAJESHI HASWA. tatizo unachanganya kati ya JWTZ Na neno soldier. A soldier anaweza kuwa mkui wa mkoa mwalimu usalama wa taifa kamishina wa tra lakini haibadilishi kitu kuwa yeye ni SOLDIER.
Uzalendo maana yake ni ipi?Huyu jamaa inaelekea ni mnazi sana wa mama.
Sitaki kuamini kama ni pombe.
Yeye ni mzalendo wa kweli.
Soldier maana yake ni nini?Hakuna soja pale,wale ni PSU wanaovalia military attire.
[emoji3577]Tangu umefahamu kaneno PSU basi unaona unajua kila kitu. Unajua recruitnent huanzia ngazi gani mpaka mtu kuwa mwana PSU? HUYO JAMAA NI MWANAJESHI TENA MWANAJESHI HASWA. tatizo unachanganya kati ya JWTZ Na neno soldier. A soldier anaweza kuwa mkui wa mkoa mwalimu usalama wa taifa kamishina wa tra lakini haibadilishi kitu kuwa yeye ni SOLDIER.