Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Ndio walikuwa alert lakini umeona walikuwa 'concerned' naye? Wamemtizama kwa sekunde kadhaa, hizo sekunde zimekuwa destruction kwao
Wamemfukuzilia mbaali, tatizo aliloonyesha trafiki ni utoto. Kwa nafasi yake hakupaswa kufanya vile.
 
Huyu jamaa inaelekea ni mnazi sana wa mama.

Sitaki kuamini kama ni pombe.

Yeye ni mzalendo wa kweli.
 
Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?

Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena kupita nyuma ya hao Walinzi wenye silaha nje nje, kwa akili zangu za kawaida naona hatari maana kama mtu mbaya na mwenye mafunzo anapita karibu hivyo anaweza kuwapokonya hao akafanya fujo

Lakini pia baada ya kuambiwa huku usipite pita huko akamgusa huyu afisa mmoja kiunoni kwa nyuma kiasi anaweza kugusa silaha iliyofichwa mfukoni.

Na kuonesha kuwa halikuwa jambo la kawaida, amevuta attention ya karibu wana usalama wanne mpaka watano mpaka waliokuwa karibu kabisa na Rais, kiasi wamegeuka na kumtizama kwa sekunde kadhaa wakati anaondoka, hata huyo Kamanda aliyepigiwa saluti hajamuelewa kabisa huyo askari kamuangalia kwa mashaka.

Hiyo haiwezi kuitwa Security Breach au ni kawaida tu



View attachment 1846143



mbona walikuwa makini nae, ila akupaswa kabisa kuachwa kukatiza pale,
 
Hilo lisoja lililomuelekeza apite kwingine lilipwe posho mara mbili. Limenikosha kwa maamuzi ya haraka na sahihi. Wengine walikuwa wamevaa barakoa wanaangaliana tu huku mtu anapenya
Yap na ndio kafanya kazi yake kwa wakati hao wengine walikua hawaelewi elewi jamaa anazungukua tuu eneo lao
 
Huyo ni askari kweli, mbona kama kuanzia kutembea hadi kimuonekano sio askari, hawa watu ni hatari, walinzi wa Mh. Rais wawe makini na askari wa aina hii..
 
Hilo lisoja lililomuelekeza apite kwingine lilipwe posho mara mbili. Limenikosha kwa maamuzi ya haraka na sahihi. Wengine walikuwa wamevaa barakoa wanaangaliana tu huku mtu anapenya
Hakuna soja pale,wale ni PSU wanaovalia military attire.
 
Hakuna soja pale,wale ni PSU wanaovalia military attire.
Tangu umefahamu kaneno PSU basi unaona unajua kila kitu. Unajua recruitnent huanzia ngazi gani mpaka mtu kuwa mwana PSU? HUYO JAMAA NI MWANAJESHI TENA MWANAJESHI HASWA. tatizo unachanganya kati ya JWTZ Na neno soldier. A soldier anaweza kuwa mkui wa mkoa mwalimu usalama wa taifa kamishina wa tra lakini haibadilishi kitu kuwa yeye ni SOLDIER.
 
Huyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.

Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Tatizo wanadharaulika sana 😀 yaani Traffic ndio wanamsafishia njia afu wanabaniwa kumsogelea! jamaa kamaindi sana hasira kamalizia kwa Usalama
 
Tangu umefahamu kaneno PSU basi unaona unajua kila kitu. Unajua recruitnent huanzia ngazi gani mpaka mtu kuwa mwana PSU? HUYO JAMAA NI MWANAJESHI TENA MWANAJESHI HASWA. tatizo unachanganya kati ya JWTZ Na neno soldier. A soldier anaweza kuwa mkui wa mkoa mwalimu usalama wa taifa kamishina wa tra lakini haibadilishi kitu kuwa yeye ni SOLDIER.
Sipo kubishana mkuu,najua vingi sana.
 
Blaza punguza pombe we, somesha mtoto shule ,atakusaidia maishani mwako.
 
Tangu umefahamu kaneno PSU basi unaona unajua kila kitu. Unajua recruitnent huanzia ngazi gani mpaka mtu kuwa mwana PSU? HUYO JAMAA NI MWANAJESHI TENA MWANAJESHI HASWA. tatizo unachanganya kati ya JWTZ Na neno soldier. A soldier anaweza kuwa mkui wa mkoa mwalimu usalama wa taifa kamishina wa tra lakini haibadilishi kitu kuwa yeye ni SOLDIER.
[emoji3577]
 
Back
Top Bottom