Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Mfumo wa ulinzi wa mama unatia shaka pakubwa sana kuna picha moja nimeona mlinzi mwanamama kavaa high heels? Hivi wapo serious kweli na uhai wa huyu mama?

Ni kawaida kwa walinzi wa kike kuvaa travolta ila huyu kanishtua kwa kweli leo, mlinzi anavaa kama anaenda ofisini.
Utazuia risasi ya mbali hata Kama hunanhigj heels? Anyway taratibu zifuatwe
 
Huyo hana muda mrefu maishani,pengine washampoteza maana ni kitendo hatarishi alichokifanya kila mtu amemind hapo
 
Sema bosi wake alimkata jicho la onyo baada ya saluti jicho lililokuwa linamwambia we mpumbavu uliamkia kilabuni nini?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli hilo jicho lina maana utaniona leo
 
Hahahaaaaaa amenichekesha Kwa jinsi alivyomsukuma huyo usalama kibabe.
Kwa jinsi ninavyomfahamu huyo Kamanda wake (Muslim) hilo jicho alilomkata hapo atakuwa na kibarua kizito
 
Kwa jinsi RPC alivyomchek lazima jamaa atakuwa sero...
 
Naona wale kina mama walikuwa wanashangaa tu na barakoa zao no reaction kabisa labda kidogo yule npambe wa raisi nimeona akishusha mikono kuelejea kiunoni labda kujiandaaa kutoa silaha yoyote (kama kweli alikuwa nayo)
Kwakweli siku zote nimeshindwa kuwaelewa hawa walinzi wa mama, sometimes wanakuwa kama ni makauzu vile. Hata mpambe nae ADC nae iko shiida kidogo, hebu tena kidogo wanaweza kuwa walinzi wazuri.

Mama akiwa anashuka au kupanda kwenye ndege ndio utaona haswaa ukauzu wao😆😆😆 to extent kwamba hawajui wanatakiwa wakae upande gani!

Hebu CDF Mabeyo na mkuu wa PSU rekebisheni hilo, lakini sio kwa kuwaondoa hao akina mama isipokuwa waongezeeni kidoogo technicalities za ulinzi kwa Kiongozi
 
Kwani nae si ni askari na ameapa kiapo cha utiifu? Kwanini iwazwe kuwa yeye tu anaweza kumdhuru Rais? Kwani walinzi wake hawawezi kumdhuru Rais? Mbona Marais kibao tu duniani wameuawa na walinzi wao?
 
Hahahaaaaaa amenichekesha Kwa jinsi alivyomsukuma huyo usalama kibabe.
Kwa jinsi ninavyomfahamu huyo Kamanda wake (Muslim) hilo jicho alilomkata hapo atakuwa na kibarua kizito
Kamanda anaona kaaibishwa
 
Sifa moja wapo ya mlinzi wa raisi ni kuwa na mwili mkubwa pia ukakamavu ukiangalia kwa makini hawa walinzi wa sasa wa mama ni kama vile ni hawana miili ya mazoezi, wale waliokuwa wanamlinda Mzee Magufuli walitoka wapi mbona walikuwa wanaonekana wapo fit tofouti na hawa wa sasa.
Wale wa Magufuli walikuwa na mavitambi kabisa
 
Ni kama alikua na jambo lake, kwa nini aeleke kule kule kwa rais...
 
Kwani nae si ni askari na ameapa kiapo cha utiifu? Kwanini iwazwe kuwa yeye tu anaweza kumdhuru Rais? Kwani walinzi wake hawawezi kumdhuru Rais? Mbona Marais kibao tu duniani wameuawa na walinzi wao?
Ndio kila mtu ana majukumu na mipaka yake ya kazi, hakutakiwa kupita karibu hivyo ndio maama walinzi wote hao hadi Kamanda wake wameshangazwa, pamoja wale waliomzuia kupita
 
Kwakweli siku zote nimeshindwa kuwaelewa hawa walinzi wa mama, sometimes wanakuwa kama ni makauzu vile. Hata mpambe nae ADC nae iko shiida kidogo, hebu tena kidogo wanaweza kuwa walinzi wazuri.

Mama akiwa anashuka au kupanda kwenye ndege ndio utaona haswaa ukauzu wao[emoji38][emoji38][emoji38] to extent kwamba hawajui wanatakiwa wakae upande gani!

Hebu CDF Mabeyo na mkuu wa PSU rekebisheni hilo, lakini sio kwa kuwaondoa hao akina mama isipokuwa waongezeeni kidoogo technicalities za ulinzi kwa Kiongozi
Wewe unaweza ulinzi kuwazidi?
 
Mambo ya ulinzi wa rais bado sana

Kama Rais wa ufaransa anapigwa makofi ije kuwa bongo bado sana

Mungu alinde viongozi wetu
Mkuu tuwe wakweli hapo walinzi wote walikuwa alert ndio maana amefukuzwa kusogea karibu.
 
Back
Top Bottom