Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Mkuu nimekumbuka baadhi ya trainings hizi ni halisi. Tunaweza kuwachukulia poa ila kumbe ni hatari. Pitia picha mojamoja hapa uone wanavyoivishwaWapo kuuza sura kuna mmoja ni mlinzi naona kavaa kiofisi na katupia kabisa high heels utafikiri yupo kwenye maonesho ya u- miss, mkuu wao ajaribu kuliangalia hili kwa upana zaidi aweke watu walio makini na kazi yao maana wengi wao wanakula posho za bure na kazi hawataki kufanya.
Hii sio muvi ni mafunzo halisi.
Cheki hapa wakila mazoezi ya pumzi