Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?

Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena kupita nyuma ya hao Walinzi wenye silaha nje nje, kwa akili zangu za kawaida naona hatari maana kama mtu mbaya na mwenye mafunzo anapita karibu hivyo anaweza kuwapokonya hao akafanya fujo

Lakini pia baada ya kuambiwa huku usipite pita huko akamgusa huyu afisa mmoja kiunoni kwa nyuma kiasi anaweza kugusa silaha iliyofichwa mfukoni.

Na kuonesha kuwa halikuwa jambo la kawaida, amevuta attention ya karibu wana usalama wanne mpaka watano mpaka waliokuwa karibu kabisa na Rais, kiasi wamegeuka na kumtizama kwa sekunde kadhaa wakati anaondoka, hata huyo Kamanda aliyepigiwa saluti hajamuelewa kabisa huyo askari kamuangalia kwa mashaka.

Hiyo haiwezi kuitwa Security Breach au ni kawaida tu

View attachment 1846143[/SIZE]
Jamaa amenichekesha mpaka basi! Ila kaosha sura! Ahahahahahaha!!
 
alikua ana mkwepa mwanaume mwenyewe silaha
Kajikuta anaelekezwa apite mbele yao kapita akiwa anataka kuanguka kajikuta anamsukuma mvaa suti nyeusi bila kupenda 😀😀😀😀
 
Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?

Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena kupita nyuma ya hao Walinzi wenye silaha nje nje, kwa akili zangu za kawaida naona hatari maana kama mtu mbaya na mwenye mafunzo anapita karibu hivyo anaweza kuwapokonya hao akafanya fujo

Lakini pia baada ya kuambiwa huku usipite pita huko akamgusa huyu afisa mmoja kiunoni kwa nyuma kiasi anaweza kugusa silaha iliyofichwa mfukoni.

Na kuonesha kuwa halikuwa jambo la kawaida, amevuta attention ya karibu wana usalama wanne mpaka watano mpaka waliokuwa karibu kabisa na Rais, kiasi wamegeuka na kumtizama kwa sekunde kadhaa wakati anaondoka, hata huyo Kamanda aliyepigiwa saluti hajamuelewa kabisa huyo askari kamuangalia kwa mashaka.

Hiyo haiwezi kuitwa Security Breach au ni kawaida tu

View attachment 1846143[/SIZE]
MATAGA hao na SUKM Gang!
 
Kosa la kwanza ni boss wake aliyemuita,angle aliyokuwa RPC Muslim ilikuwa kwenye kona ya gari la Rais.Trafic kajichanganya ili afike haraka kwa bosi wake.

Kosa la 2 communication yao ilikuwa poor na trafik wake,kimsingi wamepotezea tu walinzi wa Rais.

Unapita mgongoni mwa usalama wa Rais?
Hao ndio maaskari hupewa vyeo na ndugu.
 
Nimeshtuka sana kuona jamaa anapita hivyo kama kibaka alietoka kufukuzwa huku anazuga mbele ya watu

Kweli hata kama kavaa kipolisi ndio usalama wamuache hivyo na kumuelekeza pa kupita
Je kama magwanda amevaa tu na sio traffic officer? Na dhamira ilikuwa kumdhuru Rais
Najua hapo ingeingia kazi ya Snipers tu tena ana bahati angejikuna tako tu Sniper wasingesubiri
 
Nakumbuka niliwaambia watu hapa kwamba Ngoma bado mbichi mno!


Kiko wapi Sasa? Kuna tofauti Gani na ulinzi wa mtangulizi wake?
 
Nimeshtuka sana kuona jamaa anapita hivyo kama kibaka alietoka kufukuzwa huku anazuga mbele ya watu

Kweli hata kama kavaa kipolisi ndio usalama wamuache hivyo na kumuelekeza pa kupita
Je kama magwanda amevaa tu na sio traffic officer? Na dhamira ilikuwa kumdhuru Rais
Najua hapo ingeingia kazi ya Snipers tu tena ana bahati angejikuna tako tu Sniper wasingesubiri
Hukuwepo hapo Black Sniper?
 
..labda katumwa kupima umakini wa timu nzima inayomlinda raisi.

..sasa hapo kila ambaye amezembea anakwenda kuwekwa kitako.
Kama ni kweli kulitokea uzembe bila kujali nia ya huyo trafiki bila shaka watawekwa watu kitako
 
Kosa la kwanza ni boss wake aliyemuita,angle aliyokuwa RPC Muslim ilikuwa kwenye kona ya gari la Rais.Trafic kajichanganya ili afike haraka kwa bosi wake.

Kosa la 2 communication yao ilikuwa poor na trafik wake,kimsingi wamepotezea tu walinzi wa Rais.

Unapita mgongoni mwa usalama wa Rais?
Hao ndio maaskari hupewa vyeo na ndugu.
Mi naona wamejitahidi kumchomoa sio kama wale wa Macron wanaacha mpaka akatwe vibao
 
Huyo jamaa kwa vyovyote vile alikuwa na agenda yake ya siri. kuna kitendo alitaka kufanya nukta
 
Huyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.

Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Mwanausalama anasukumwa?[emoji3525]
 
KUNA KITABU HAPA NAKISOMA kinahusu mauaji ya mossad kwa kutumia kitengo chao cha mauaji kinaitwa kiddons, yaani kama wakikutana na mazingira ya kizembe hivi ni kazi rahisi sana kwao
kapenyaje hadi hapo alikuwa anaenda kufanya nini hapo hotuba inaendelea? ni traffic kweli huyo?
Weka soft copy
 
Tumsamehe bure huyo traffic, huenda kodi ya nyumba imeisha
 
Back
Top Bottom