Huyu unaweza kuta ni Baba yake mtu au naye ana Wazazi wanasema wana mtoto wa kiume

Huyu unaweza kuta ni Baba yake mtu au naye ana Wazazi wanasema wana mtoto wa kiume

Ni aibu sana kuwa na mtu wa hivi... Aibu mpaka mwingine unawaza watu wa namna hii waliumbwa masaa yapi wakati wa uumbaji? Mtu anavaa hivi kabisa kuonesha ukada? Huyu utakuta choka mbaya amefika hapo kwa lift au kubebwa.
View attachment 3207309
Bungeni patamu asikuambie mtu, siku ukienda tu kutembelea utatamani na wewe uwe miongoni mwao
 
Wewe una chuki zisizo na Sababu, yeye anajua ana nufaika vipi kuwa kada wa Chama Cha mapinduzi.

Nawewe kama utaona inafaa tafuta Chama na uonyeshe mapenzi yaliyo tukuka kwa icho Chama.
Kuwa chukia wengine haitabadili maisha Yako na kutafuta maradhi ya Moyo sababu ya chuki.
Chuki ni Sumu.
Pole mkuu redio naona umemaindi picha yako kupostiwa humu
 
Ni aibu sana kuwa na mtu wa hivi... Aibu mpaka mwingine unawaza watu wa namna hii waliumbwa masaa yapi wakati wa uumbaji? Mtu anavaa hivi kabisa kuonesha ukada? Huyu utakuta choka mbaya amefika hapo kwa lift au kubebwa.
View attachment 3207309
Huyu jamaa mshamba sana. Aliposhinda tu ubunge akaanza kuwapigia simu wanawake( inaoneakan wale waliokuwa wamempiga chini na sura lake zito) na kuwaambia eti "wewe sasa lazima nikutafune" BURE KABISA
 
Huyu jamaa mshamba sana. Aliposhinda tu ubunge akaanza kuwapigia simu wanawake( inaoneakan wale waliokuwa wamempiga chini na sura lake zito) na kuwaambia eti "wewe sasa lazima nikutafune" BURE KABISA
Unaona....ndo akili hizi wenzie humu wanamtetea. Mtu anayevaa hivi hawezi kuwa na akili. Wanamtetea mwenzao
 
Back
Top Bottom