Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si umkamate wewe uliye macho?¿Watanzania tumelala usingizi wa pono, tunaona mwizi lakini tunamuangalia tu
Fikra za walalahoi ndio hizi. Wewe hujaweka hata kitu ulichosikia kuhusu dili anazopiga ila picha kuwa yuko Dubai ndio inafanya yako roho korosho izidi kujiviringa.Huyu jamaa ni nani ? Hii picha inamuonyesha akiwa Dubai kapokelewa kwa ajili ya negotiations
Hii siyo nchi ya kifalme, angeteuliwa tujue cheo chake kama watoto wa viongoz wengine walivyofanya lakin kwa hicho kinachofanyika siyo sahihi kwa mpuuz mmoja kusafiri kwa mgongo wa kuongelea mambo ya nchi yeye km naniso ni kosa abdul kuwepo hapo? je kama a nafanya majukumu yake ya first son je vibaya? mbona trump aliteua mwanae kuwa wazir trump jr
Hii ya wese kwenye JICHO big no.Kwani huyu bwana alivyo mtanashati tena katibu binafsi wa namba moja ndio mchezo wake.Uko tayari apake wese kwenye JICHO?
Mluguru na Mzenji Mwembesongo mojajamaa ni mtu wa Moro sio mzenji namjua.
Ni kweli. Sorry ,nilichanganya maboyaWaziri Rajani ni Private Secretary wa Rais sio Personal Secretary wa Rais.
Mbowe siyo mwizi, arudishe michango aliyowagilibu wabunge kwa miradi ya mashamba morogoro.Ukiwa hauna Mungu Nini kitakuzuia kuwa mwizi? Maccm wote wezi
Hilo na kati ya yeye na Boss wake wewe hayakuhusuKama yapi? Kaenda kumfanyia shoping??
Wewe unayejua za ndani twambieHilo na kati ya yeye na Boss wake wewe hayakuhusu
jamaa ni mtu wa Moro sio mzenji namjua.