Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi nimeshangaaa hili ni GENGE la majambazi ,Yale Yale ya omari mahitaWatu wenye mapanga wakawatisha askari wenye bunduki?
Wakimbizi ni wale wanaohongwa tukofia na tukanga Ili wawezeshe wizi kwenye chafuzi/chaguzi Tena twakijani 🏃🏃Tungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
KoView attachment 2360873
Hoja za polisi hazishawishi kabisa.Watu wenye mapanga wakawatisha askari wenye bunduki?
Hiwwzi kumpenda Lema daima kwani alimtabiria nduguyo Sabaya mabaya na yakatukiaTungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
View attachment 2360873
Think critically siyo kwasababu ameongea Godbless LemaTungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
View attachment 2360873
wala hajatetea uhalifu bali amesema tupinge uhalifu kwa nguvu zote,ila amesisitiza sheria zifatwe.Tungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
View attachment 2360873
Mimi nakubali akina zombe waliwauwa wale akina Chigumbi na taxi driver na kuwapora, waliachiwa sababu ya rushwa na wao walikuwa polisi wanajichunguza na kujikamata na kujishtaki.Think critically siyo kwasababu ameongea Godbless Lema
unaikumbuka case ya Zombe na wenzake au ulikuwa mwanza bado?
ukimbizi umeingiaje hapo? wasomi huchukia watu siyo maoni yao
Idugunde the witch. Bwege zoefu lililokubuhu JFTungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
View attachment 2360873
Hizo sheria hao panya road hawazifuati, wanataka nani azifuate?wala hajatetea uhalifu bali amesema tupinge uhalifu kwa nguvu zote,ila amesisitiza sheria zifatwe.
Wakikutwangia risasi Mtoto wako Mwanafunzi njoo usifie hapa tukuone shujaa. Mbona Leo wamesema wamekama 167 bila kusema wameua? Unakwenda kupiga risasi 20 Mtu kashika nondo? Panya road hatuwataki lakini kukamata watu 19 na kuua 6 huku yakionyeshwa mapanga 4 na nyie mnashangikia ni unyama.ili tupone inabidi wengine WAUMIE.
Sitaki kujua Kama ni panya road au sio.ila ujumbe ufike TUMEWACHOKA
wafanye kazi.