Huyuk kiongozi wa Chadema ndio kusema hataki panya road kudhibiwa? Au ndio kupingapinga tu. ? Mkimbizi ni mkimbizi tu.

Huyuk kiongozi wa Chadema ndio kusema hataki panya road kudhibiwa? Au ndio kupingapinga tu. ? Mkimbizi ni mkimbizi tu.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Tungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
Screenshot_20220918-183141.jpg
 
Walishindwa kuwakamata kwa kutumia mbinu za medani,wawahoji,ili mtandao mzima utiwe mikononi mwao,na mwisho watatue mzizi wa tatizo?
All in all pole kwa waathirika wa hawa vijana,jamii ijitahidi kulea watoto vizuri,ili tusiendelee kushuhudia vitendo vya kihalifu Kama vinavyotokea.
 
Kuna watu watatumia muda huo kulipiza kisasi.
 
Polisi waendelee kuwadhibiti panya road kwa kila njia necessary, ikiwemo kuwacharanga risasi pale inapobidi. Panya road sio kitu ya kuibembeleza na kuichekeachekea
 
ili tupone inabidi wengine WAUMIE.
Sitaki kujua Kama ni panya road au sio.ila ujumbe ufike TUMEWACHOKA
wafanye kazi.
 
Tungesikia malalamiko ya ndugu za marehemu kuwa haki haikufanyika sawa. Sasa hawa analalama nini?
View attachment 2360873
Think critically siyo kwasababu ameongea Godbless Lema
unaikumbuka case ya Zombe na wenzake au ulikuwa mwanza bado?
ukimbizi umeingiaje hapo? wasomi huchukia watu siyo maoni yao
 
Think critically siyo kwasababu ameongea Godbless Lema
unaikumbuka case ya Zombe na wenzake au ulikuwa mwanza bado?
ukimbizi umeingiaje hapo? wasomi huchukia watu siyo maoni yao
Mimi nakubali akina zombe waliwauwa wale akina Chigumbi na taxi driver na kuwapora, waliachiwa sababu ya rushwa na wao walikuwa polisi wanajichunguza na kujikamata na kujishtaki.
Hii haihalalishi na nyie panya road muue na mpore wasio hatia halafu muachwe kisa akina zombe waliachiwa.
Polisi piga risasi haya mapanya road sababu yakienda mahakamani yanaachiwa kama akina Zombe.
 
wala hajatetea uhalifu bali amesema tupinge uhalifu kwa nguvu zote,ila amesisitiza sheria zifatwe.
Hizo sheria hao panya road hawazifuati, wanataka nani azifuate?
Nyie panya road fateni sheria na polisi watafata sheria.
Vinginevyo kila mtu achukue sheria mkononi. Ukipatikana chuma ndo halali yako.
 
ili tupone inabidi wengine WAUMIE.
Sitaki kujua Kama ni panya road au sio.ila ujumbe ufike TUMEWACHOKA
wafanye kazi.
Wakikutwangia risasi Mtoto wako Mwanafunzi njoo usifie hapa tukuone shujaa. Mbona Leo wamesema wamekama 167 bila kusema wameua? Unakwenda kupiga risasi 20 Mtu kashika nondo? Panya road hatuwataki lakini kukamata watu 19 na kuua 6 huku yakionyeshwa mapanga 4 na nyie mnashangikia ni unyama.
 
Back
Top Bottom