Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Barley = shayiriHii nzuri wakuu Wa kazi ila niambie Kwa kiswaili oats ni nini na barley nini?
Oats je?Barley = shayiri
dah kwel asee. yan najilaum sana kwann cikuijua JF mapema coz mengi nimeanza kuyajuanusu ya watanzania tungekua hivi/kutumia electronics zetu kutafta maarifa haya..hakika tungekua mbali?
dah kwel asee. yan najilaum sana kwann cikuijua JF mapema coz mengi nimeanza kuyajuanusu ya watanzania tungekua hivi/kutumia electronics zetu kutafta maarifa haya..hakika tungekua mbali?
Wewe je umefanya hii kitu wapi? Hizi picha naona ni za kugoogle.Nitajaribu kutoa somo angalau wadau wapate ABC za kuanzia huu ni ujuzi
Nimejaribu hii ina Siku sita, Dar, Ahsante Chasha.....naendelea kujifunzaWewe je umefanya hii kitu wapi? Hizi picha naona ni za kugoogl e.
Siku NNE tuuKulishia kuku iwe na siku ngapi?
Hii kitu nahitaji nutrients zake kwa tz tunaweza pata wapi?Kwa anaetaka kufahamu zaidi kuhusu Hydroponic farming fungua hizo link za youtube utapata maelezo ya kutosha.
1. Bustani za mboga -2. Fodder growing: 3. Fodder: 4. Fodder : 5. Hydroponic Fodder :
Umeitengeneza mwenyewe?Ahsante sana Chasha na biashara2000 kwa maarifa mlionipa ya hydroponic fodders kuku wangu wameila kwa mara ya kwanza. View attachment 360899
Ndio mkuu....Umeitengeneza mwenyewe?
Mimi ninazo nutrients za kuzalishia hydroponics fodder.Hii kitu nahitaji nutrients zake kwa tz tunaweza pata wapi?