Ahsante sana kwa kunisahihisha! Ila niliambiwa booster / nutrients zenye salfa ni hatari kwenye mifugo. Hivyo niliziogopa kuzitumia.Kwanza nutrients ulo tumia inaitwa DI grow green na sio ID grow.
Zingatia tu hali ya hewa na joto ya mahali unapozalishia ndo jambo la msingi Sio lazima hutumie hyo unaweza tumia booster yoyote ya majan itasaidia kuyakimbiza yakue vyema mimi nastawisha na hata situmii hzo nutrients kutumia nutrients ni kujarbu kuzikimbiza tu ziwah kukua ndan ya muda mfupi ziwe kubwa.
Safi na hongera sana
unauzaje, upo mkoa ganinauza shayiri gunia mbili kwa anayehitaji
Nitasubiri kwa hamu sana, nina mpango wa kuanza hiyo system, kuna watu waliweka hadi namba za simu humu ila baada ya kuwafuatilia kwa kina hakuna aliyekua anatoa msaada, wote ni kama wapiga dili tu, huyu anakwambia nutrients 30,000/ Ltr mwingine 100,000/Ltr yani full kukatishana tamaa, mwingine kaweka namba ya mdogo wake ambaye hata hajui hydroponic fodder ni nini!!! Nitag please nahitaji kujifunza kutoka kwa mtu ambaye anafanya practical ikiwezekana nitembelee shamba darasa ili kujifunza zaidiWaungwana naamini hamjambo!
Nitangulize shukrani za dhati kwenu wote mnaoutumia mda wenu vyema katika kuhakikisha yale mnayoyaelewa mnawaelekeza wengine.
Leo nataka niwajuze kile nilichokiona baada ya kupata maelezo mazuri kuhusu Hydroponic Fooder.
Kuna mjasiriamali mmoja alitoa maelekezo mazuri kuhusu namna ya kutengeneza chakula bora na kingi kwa mifugo kwa njia ya kisasa. Kweli nilinunua mahitaji na nikajaribu kutengeneza karibia mara mbili, nikawa nakwama.
Baadaye akajitokeza mjasiriamali mwingine akaelezea kwa kina na nashukuru sana kwa sababu alinilenga mimi binafsi kwa kunitumia PM. Nilipojaribu mara hii nilifanikiwa ila changamoto ikaja kwenye nutrients.
Nilifanikiwa kutafuta nutrients na bahati nzuri nikakutana na mtaalam ambaye kweli yeye aliwahi kutengeneza na ana uzoefu; tatizo kwake ni kwamba hana muda wa kufanya kazi hizo kwa sababu ametingwa na ajira. Alinipatia nutrients aina ya ID-Grow Green.
Bwana huyo pamoja na kwamba sikufahamiana naye kabla, alionesha nia ya kutaka kunifundisha na namshukuru Mungu yale aliyonifundisha niliyaelewa vyema.
Leo ni siku ya tatu tangu nimestawisha na naona maendeleo ni mazuri sana. Kwa kila hatua nitakayopitia nitawajuza ili wale wenye nia ya kuyafanyia kazi waweze kufanya huko waliko.
Angalizo: Kuna nutrients ambazo ukizitumia zinaweza zikasababisha madhara makubwa kwa mifugo yako na walaji pia.
Baada ya siku 9 nitakuja na full habari kuhusiana na kile nitakachokuwa nimekizalisha. Wenye nia msikose kuniuliza ili twende wote sambamba kwenye zoezi hili.
Mimi nimelifanyia kazi na kuhusu gharama sio kubwa kivile. Nutrients nilinunua lita moja Tshs. 54,000/= Water purifier nimenunua lita moja Tshs 12,000/= Mbegu nanunua kila ninapotaka kutengeneza. Na hii ni kulingana na idadi ya mifugo niliyo nayo. Ila leo nataka kujaribisha zao jingine tofauti na chakula cha kuku na tayari nimeishapata horodha ya mahitaji.Nitasubiri kwa hamu sana, nina mpango wa kuanza hiyo system, kuna watu waliweka hadi namba za simu humu ila baada ya kuwafuatilia kwa kina hakuna aliyekua anatoa msaada, wote ni kama wapiga dili tu, huyu anakwambia nutrients 30,000/ Ltr mwingine 100,000/Ltr yani full kukatishana tamaa, mwingine kaweka namba ya mdogo wake ambaye hata hajui hydroponic fodder ni nini!!! Nitag please nahitaji kujifunza kutoka kwa mtu ambaye anafanya practical ikiwezekana nitembelee shamba darasa ili kujifunza zaidi
Kiukweli ukikutana na mtaalam wala hautatumia muda mwingi kuelewa kinachoendelea. Mimi atakayehitaji maelezo namkaribisha - tena hatua kwa hatua. Kikubwa ni kuandaa muda wa kupeana maelekezo. Ukifanikiwa wewe unakuwa umesaidia jamii.Unampigia mtu akupe maelekezo ya awali anakwambia tuma hela kwanza ya kitabu, kuna kila kitu kwenye hicho kitabu, ukinunua unakuta amecopy humuhumu kwenye hili jukwaa ameongezea tupicha twa google basi. Watu wamekua na roho ya shetani sana sijui hata kwanini
Kwa jinsi nilivyo na uhitaji wa hiyo system nitasafiri hadi unapofanyia hiyo system nijifunze kwa uzuri zaidi, uko mkoa gani?Kiukweli ukikutana na mtaalam wala hautatumia muda mwingi kuelewa kinachoendelea. Mimi atakayehitaji maelezo namkaribisha - tena hatua kwa hatua. Kikubwa ni kuandaa muda wa kupeana maelekezo. Ukifanikiwa wewe unakuwa umesaidia jamii.
Wala sio kitu cha kusema ni complicated system .. mi huwa nafanya kwa vifaa nilivyonavyo ili mradi nifate maelekezo ya kitaalam. Kwanza mpaka sasa naoteshea ndani kwa sababu sijajenga sehemu maalum kwa ajili ya shughuli hiyo.Kwa jinsi nilivyo na uhitaji wa hiyo system nitasafiri hadi unapofanyia hiyo system nijifunze kwa uzuri zaidi, uko mkoa gani?
Mkuu naomba unisaidie na mimiMimi nimelifanyia kazi na kuhusu gharama sio kubwa kivile. Nutrients nilinunua lita moja Tshs. 54,000/= Water purifier nimenunua lita moja Tshs 12,000/= Mbegu nanunua kila ninapotaka kutengeneza. Na hii ni kulingana na idadi ya mifugo niliyo nayo. Ila leo nataka kujaribisha zao jingine tofauti na chakula cha kuku na tayari nimeishapata horodha ya mahitaji.
ipo dsm nauza laki moja kila guniaunauzaje, upo mkoa gani
Nipo dsm mkuu nauza kila gunia laki moja.Uko wapi na una bei gani? mi nahitaji kwa sababu nimeanza kupata watu / wafugaji wanataka niwandalie chakula kwa ajili ya mifugo yao!
Tumia booster ambazo zipo reach in NPK ama tumia maji tu pekee bila hata booster napozungumza reach in NPK manake suphur isiwepo at all ama kwa 0.001%Ahsante sana kwa kunisahihisha! Ila niliambiwa booster / nutrients zenye salfa ni hatari kwenye mifugo. Hivyo niliziogopa kuzitumia.
Kuwa wazi / funguka, nikusaidie kwenye nni? mbegu, nutrients, procedures au nini?Mkuu naomba unisaidie na mimi
Kawaida picha huwa inabeba ujumbe mkubwa sana zaidi ya maandishi / maneno. Umefanya jambo la maana, kwangu mimi nilikuwa nawaza kununua trei ila baada ya kuona hizo picha ulopost hapo - sinunui tena trei.Hii kitu wala ainashida sana otesha kwa vifaa ulivyo navyo namatokeo yanakua mazuri sana kama mm
Naendeleea kukushukuru kwa mchango wako wa mawazo. Mawazo ni sawa na ndoanoTumia booster ambazo zipo reach in NPK ama tumia maji tu pekee bila hata booster napozungumza reach in NPK manake suphur isiwepo at all ama kwa 0.001%
[emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] ndo ivyo mkuu ukijiongeza unatengeneza vitu vya maana kwa garama ndogoKawaida picha huwa inabeba ujumbe mkubwa sana zaidi ya maandishi / maneno. Umefanya jambo la maana, kwangu mimi nilikuwa nawaza kununua trei ila baada ya kuona hizo picha ulopost hapo - sinunui tena trei.
Otesha ayo fodder yako poa sana na yana save garamaNataka kujua namna ya kutengeneza chakula kwa ajili ya nguruwe na nutrients za kufanya wakue haraka