Amos Mtatina
Member
- Jun 5, 2021
- 50
- 43
Hukuleta matokeo mkuu..!Asante sana kwa elimu hii. Nimepitia uzi wote na kutafuta taarifa zingine. Hii kitu nimegundua unaweza ifanya kwa kutumia resources ulizonazo.
Ninafanya majaribio kwa kilo mbili hizi za ngano nione matokeo yake yakoje.
Process nayotumia
1. Kuloweka ngano kwa masaa 4 ili kutoa uchafu wa nafaka isiyofaa. Ukiloweka uchafu unaelea, unautoa.
2. Vundika kwa masaa 48-INCUBATION. Unapovundika hakikisha unatumia ndoo ya plastic ili kuepusha kutu. Na iwe na matundu juu kwa ajili ya kupitisha hewa, sababu process hii inahitaji hewa ya oxygen.
3. Baada ya masaa 48. Unaanza kuotesha.
Unatumia tray ya plastic au aluminium(kuepusha kutu). Unapojaza tray, mjazo wa mbegu usizidi nusu inch, na pia tray isizidi inchi 2. Eneo halipaswi kuwa giza na lisipate mwanga wa moja kwa moja. Unakuwa unazinyunyuzia maji kila baada ya masaa matatu, day time, ili kupata unyevunyevu. Tray iwe na matundu pembeni upande mmoja ili maji yatoke. Kuepusha fungus.
Mategemeo baada ya siku Nne unaweza anza wapa kuku.
Nitatoa mrejesho kadri navyoendelea.
Nililoweka jana saa 5 asubuhi na kuvundika saa 9 mchana. So kesho saa 9 mchana masaa 24 yatakuwa yamekamilika. Nategemea kuotesha. View attachment 1783622View attachment 1783623View attachment 1783624
Niliwahi kufanya, ngoja nirudie View attachment 2123931Asante sana kwa elimu hii. Nimepitia uzi wote na kutafuta taarifa zingine. Hii kitu nimegundua unaweza ifanya kwa kutumia resources ulizonazo.
Ninafanya majaribio kwa kilo mbili hizi za ngano nione matokeo yake yakoje.
Process nayotumia
1. Kuloweka ngano kwa masaa 4 ili kutoa uchafu wa nafaka isiyofaa. Ukiloweka uchafu unaelea, unautoa.
2. Vundika kwa masaa 48-INCUBATION. Unapovundika hakikisha unatumia ndoo ya plastic ili kuepusha kutu. Na iwe na matundu juu kwa ajili ya kupitisha hewa, sababu process hii inahitaji hewa ya oxygen.
3. Baada ya masaa 48. Unaanza kuotesha.
Unatumia tray ya plastic au aluminium(kuepusha kutu). Unapojaza tray, mjazo wa mbegu usizidi nusu inch, na pia tray isizidi inchi 2. Eneo halipaswi kuwa giza na lisipate mwanga wa moja kwa moja. Unakuwa unazinyunyuzia maji kila baada ya masaa matatu, day time, ili kupata unyevunyevu. Tray iwe na matundu pembeni upande mmoja ili maji yatoke. Kuepusha fungus.
Mategemeo baada ya siku Nne unaweza anza wapa kuku.
Nitatoa mrejesho kadri navyoendelea.
Nililoweka jana saa 5 asubuhi na kuvundika saa 9 mchana. So kesho saa 9 mchana masaa 24 yatakuwa yamekamilika. Nategemea kuotesha. View attachment 1783622View attachment 1783623View attachment 1783624
Ilo zao linapatikan wap kiongozWakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Mbegu zinaoteshwa (bila udongo) BrinckbackIlo zao linapatikan wap kiongoz
Ingia university of youtube utaelewa vizuri sanaHabari, napenda kufahamu kama kuna ameshafanya installation ya hydroponic fodder kwa DSM ama Maeneo ya Kibaha, nahitaji kujifunza na ikiwezekana nione jinsi ilivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ZinaitwajeMbegu zinaoteshwa (bila udongo) Brinckback
Naitajii hydroponic fertilizer 0714779185Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Hili swali halijajibiwa, mi nataka Ntumie mtama ntakupa mrejesho.kwa kuwa ngano au shayiri imekuwa ghali sana, je naweza kutumia mahindi au mtama mweupe?
Tunaomba jibu.kwa kuwa ngano au shayiri imekuwa ghali sana, je naweza kutumia mahindi au mtama mweupe?