passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Uzi upi ni wewe na wakenya wenzako mnalia Kwa sababu ya tuktuk yenu Sisi Watanzania tupo vizuri Kwa sababu tunafanya kitu cha uhakika only one in East afrika.Kawajibu Watanzania wameangua kilio kwenye huo uzi maana mlichowaaminisha awali na uchafu mnachowaletea haviendani kabisaaa.