Bullet train inafaa underground [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uelewa mdogo shida sana bullet train utazisikia tuu kwa majiraniAta Nigeria bullet train Yao iko parking,lack of planning mpaka ikabidi wanunue SGR Kama zetu[emoji85]Morroco pia wanacomplain Shida Ni hiyohiyo na pia inchi Zingine kadhaa,Bullet train unafaa kujengewa underground ili iende kwa Kasi ambayo inafaa,si kupishana na watu na magari!!!The Nigeria one Sjui Ni kuharibika Lakini bado ilikuwa ilileta losses,maintainance Nayo,kusimama hovyo ikingoja wabebaji,Stima kuzuazua,Yani Ya Tanzania Kama ingeletwa bullet train wangestaajabu ya Musa na firauni,