Japan walianza kuunda bullet train 1964 sio 1994.Ndugu bullet train zimeanzia mbali.
Japan walianza kuunda train zinazowexa kukimbia 135km/hr to 180km/hr mwaka 1994 km sijakosea.
Wakaboresha now wameunda kuanzia 200km/hr kwenda 350km/hr.
Hiyo kuleta kuhusu 150miles/hour to 250 miles/hour hizo ni za sasa hv.
Ila ukitaka nakuletea hapa evidence kwamba zilianza hizo nilizokutajia.
Hiyo screenshot nilokuletea isikufanye unitoe akili kuwa sijui tofauti ya miles na kilometres Broddah.
Bali naweza sema nilikurupuka kuituma.
😂 😂 😂 😂 😂sasa ya Tanzania utaiweka kwa hiyo bracket eti? 😂 😂 😂 na maximum yenu inasemekana eti itakua160! (yaani bado, "ita") of which 160km/h haiwezi kukua average speed 😂 😂 😂 😂, yenu ni between 80-130 average, wacheni kujitekenya na kucheka wenyewe, 😂 😂 😂 bullet ni between 150 and 250 or beyond average., kama passenger train ya Morocco.,
Khaa wewe hizo zinazotembea 80km/hr to 130km/hr mbona tunazo zinaenda Arusha na kurudi tena za MGR???😂 😂 😂 😂 😂sasa ya Tanzania utaiweka kwa hiyo bracket eti? 😂 😂 😂 na maximum yenu inasemekana eti itakua160! (yaani bado, "ita") of which 160km/h haiwezi kukua average speed 😂 😂 😂 😂, yenu ni between 80-130 average, wacheni kujitekenya na kucheka wenyewe, 😂 😂 😂 bullet ni between 150 and 250 or beyond average., kama passenger train ya Morocco.,
That's why BROO nikasema "kama sijakosea".Japan walianza kuunda bullet train 1964 sio 1994.
Ndio sababu wanakufa kwa njaa, ujuaji mwingi sanaTattizo lenu Kenyans mwajifanya kila kitu mwajua.
Bullet train range yake inaanzia 150km/h and above.
Kama hutaki kunya boga.
View attachment 1959248
Ah wana wivu hawa jamaa na ukikosea wanajua kuumbua ile mbaya hasa hasa huyu MK254 anajua kuumbua.Ndio sababu wanakufa kwa njaa, ujuaji mwingi sana
Kwahiyo hiyo mitungi yenu ya chang'aa itakua na "average speed ya 30 to 70km/hr sio?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sasa ya Tanzania utaiweka kwa hiyo bracket eti? [emoji23] [emoji23] [emoji23] na maximum yenu inasemekana eti itakua160! (yaani bado, "ita") of which 160km/h haiwezi kukua average speed [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], yenu ni between 80-130 average, wacheni kujitekenya na kucheka wenyewe, [emoji23] [emoji23] [emoji23] bullet ni between 150 and 250 or beyond average., kama passenger train ya Morocco.,
Vichwa vya MGR vyenyewe vinapiga mpaka 120kph na hivi mgr yetu ni continuous welded after upgrading na axle tonnage imeongezrka tola 18 mpaka 25tons per axle at per with Kenyan SGR mbona kazi ipo.Khaa wewe hizo zinazotembea 80km/hr to 130km/hr mbona tunazo zinaenda Arusha na kurudi tena za MGR???
Na zingine zaelekea Mwanza??
Tunaziita deluxe train huku bongo na mara ya mwisho nimepanda kuelekea Tabora ilitembea mwendo wa 95km/hr km average speed.
Unachekesha ww.
Ndio nimemuelezea hapo kwamba zile deluxe train speed range yakeVichwa vya MGR vyenyewe vinapiga mpaka 120kph na hivi mgr yetu ni continuous welded after upgrading na axle tonnage imeongezrka tola 18 mpaka 25tons per axle at per with Kenyan SGR mbona kazi ipo.
Yani treni luxurious kabisa.Vichwa vya MGR vyenyewe vinapiga mpaka 120kph na hivi mgr yetu ni continuous welded after upgrading na axle tonnage imeongezrka tola 18 mpaka 25tons per axle at per with Kenyan SGR mbona kazi ipo.
Ndio nimemuelezea hapo kwamba zile deluxe train speed range yake
Yani treni luxurious kabisa.
Sipatii picha SGR ikianza kaz tren zake zitakua na ubora gani.
View attachment 1959486
View attachment 1959487
Bullet TrainKwani bullet train ni nini?
Ili train iitwe bullet train inatakiwa iwe na sifa gani?
Bullet train is a train which reaches a speed range of 150km/h-200km/h and above.
Asa ninyi mnanyekanyeka nn?
Kinachoangaliwa ni speed je ipo kwenye range?Hakiangaliwi muundo we nyangau.
Tokaido Shinkansen - First bullet train in Japan. Built in 1964. Speed - 240 - 320kph. Najua umesoma mahali 150 - 200mph ukachanganyikiwa. mph ni miles per hr. Multiply it by 1.6 and you'll get the speed in kph.Ndugu bullet train zimeanzia mbali.
Japan walianza kuunda train zinazowexa kukimbia 135km/hr to 180km/hr mwaka 1994 km sijakosea.
Wakaboresha now wameunda kuanzia 200km/hr kwenda 350km/hr.
Hiyo kuleta kuhusu 150miles/hour to 250 miles/hour hizo ni za sasa hv.
Ila ukitaka nakuletea hapa evidence kwamba zilianza hizo nilizokutajia.
Hiyo screenshot nilokuletea isikufanye unitoe akili kuwa sijui tofauti ya miles na kilometres Broddah.
Bali naweza sema nilikurupuka kuituma.
Huo mjadala tulishaufunga na jamaa juuTokaido Shinkansen - First bullet train in Japan. Built in 1964. Speed - 240 - 320kph. Najua umesoma mahali 150 - 200mph ukachanganyikiwa. mph ni miles per hr. Multiply it by 1.6 and you'll get the speed in kph.
Na nikasahihisha usiwe unasoma kwa kukurupuka buddah.Tokaido Shinkansen - First bullet train in Japan. Built in 1964. Speed - 240 - 320kph. Najua umesoma mahali 150 - 200mph ukachanganyikiwa. mph ni miles per hr. Multiply it by 1.6 and you'll get the speed in kph.
Ah Kenya ktk miundombinu ya majengo marefu nawapa kongole.Ila wakenya wakubalii tuu walipigwa kwwnye huo mradi wao wa sgr, kidogo kwwnye vituo vyao pesa ilionekana imefanya kaz lakini huko kwinginee ni mauuaji tuu
Ah Kenya ktk miundombinu ya majengo marefu nawapa kongole.
Upangaji wa mji nawapa hongera.
Ila kaka ktk hizi sgr locomotives zao hapana hapa wajitafakari wameingia mkenge.
Mie napata update kuhusu TRC aisee bro wanaboresha kila upande na kinachofanya sisi engine tulizonazo zisiende mwendo stahiki ni kwasababu ya uchakavu wa reli.
Ila sasa hv reli inafumuliwa na inajengwa ambayo itaweza kukidhi uzito na mwendo wa engine husika.
Ukiulizia jina la KIPPAYA TRC utapewa historia yetu hapo maana ukoo mzima tumelelewa na shirika la reli ndiomaana napafuatilia na kupakubali sana.
Hakuna Maglev in operation in Japan. Wewe ndio mkurupukaji alafu unaniita mkurupukaji. The only Maglev in Japan is currently under construction. Hujielewi.Huo mjadala tulishaufunga na jamaa juu
Na nikasahihisha usiwe unasoma kwa kukurupuka buddah.
Hizo unazosema ww zakimbia kuanzia 200 mk/hr ni maglev na maglev ni contemporary invention huo mwaka Japan ilikua ina reli za Standard gauge sio magnet levelation buddah.
Hiyo 150 mile/hr to 200m/hr ni sawa na speed ya 250km/hr mpk 400+km/hr.
Na nikamwambia bro hapo kuwa nilikosea kuikopi hiyo article..
Soma hapo chini.
Nadhan maana ya "upto " unaieleweka kaka.
Maximum speed yake huko 1964 ilikua ni 200km/hr ibadilishe kwenda ktk miles itakua 125miles/hr.
View attachment 1959698
Mbona mpk Tabora ishakarabatiwa kaka?Wamefikia wapi kwwnye kuboresha relii ukoo
Kuna picha hapa kutoka blog ya reli tv .Wamefikia wapi kwwnye kuboresha relii ukoo
Halafu mzee kanionesha hii kitu kwenye blog ya reli tv asa sijui ndio tunaletewa hizi kwaajili ya EMU??Wamefikia wapi kwwnye kuboresha relii ukoo
Mkuu mbona hii kitu inajulikana tayari, vijana wanasubiri mzigo wa awali uwasili bandarini mda wowote toka sasa....Halafu mzee kanionesha hii kitu kwenye blog ya reli tv asa sijui ndio tunaletewa hizi kwaajili ya EMU??
Maana mpk chapa ya TRC imewekwa.
View attachment 1959784
Kwani ukitaka kumtapeli mtu si unamuaminisha maeneo ambayo yanaonekana sana kwa macho. Watu wakiona vile vitu wanajua mambo ni mazuri kumbe unapigwa jikoni kabisa kwenye umuhimu mkubwa. Hivyo wachina wamefanya kwenye sgr ya kenya unaweka urembo usoni lakini ndani uozo mtupu.Ila wakenya wakubalii tuu walipigwa kwwnye huo mradi wao wa sgr, kidogo kwwnye vituo vyao pesa ilionekana imefanya kaz lakini huko kwinginee ni mauuaji tuu