Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Mshikaji alikuwa na roho ngumu, [emoji23][emoji23][emoji23] mnamuita kimeo ye kaoa tuUkijua una kimeo hutangazi, mpaka iwe ni grade hasa.
Ila nilikuja kuacha hizo mambo baada ya mshikaji kuoa demu tulikuwa tunamwita kimeo. Hapo ndo akili ikaanza kuja, maana trashing haitakiwi kwa family members, I real observe that.
Sent using Jamii Forums mobile app