Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ndo hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeey, what's so funny.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaahahah. Hebu twende zetu hukoooAnaweza pia kuwa your uncle [emoji23][emoji23].
According to Ghosts theory. We don't know each other. (Except you guys)
Hahahaahaahaaaha. I know his problem already
Haha jamani, wewe ni first born eeh? Au mkubwa kwa wa kiumeMdingi alikuwa anapenda kumsifu mdogo wangu sana, kama kunipa challenge.
Dogo alikuja kuchaguliwa kwenda Mzumbe form 1 hafu mi niko day mtaani hapo hapo.
Akili ndo ilinikaa sawa, maana A level nilivyopata nafasi ya kwenda boarding nikamwambia tu mzee mwanao ntamshinda form 6, ila form 4 nishapoteza.
Na ndo ulikuja kuwa hivyo, mpaka leo madogo wote mimi ndo anawatumia kwa mfano wakati alikuwa ananiponda mpaka mama anaingilia kati
Congrats manMdingi alikuwa anapenda kumsifu mdogo wangu sana, kama kunipa challenge.
Dogo alikuja kuchaguliwa kwenda Mzumbe form 1 hafu mi niko day mtaani hapo hapo.
Akili ndo ilinikaa sawa, maana A level nilivyopata nafasi ya kwenda boarding nikamwambia tu mzee mwanao ntamshinda form 6, ila form 4 nishapoteza.
Na ndo ulikuja kuwa hivyo, mpaka leo madogo wote mimi ndo anawatumia kwa mfano wakati alikuwa ananiponda mpaka mama anaingilia kati
Hahahahaahahaha. Hatari sanaHeeey, what's so funny.
Me sijuiiiiiiJealous... Right[emoji23][emoji23][emoji23]
Akuu uende wapi na mie ghost A.K.A "KUNGURU"Hahahahaahahah. Hebu twende zetu hukooo
Nimecheka sanaaaaJealous... Right[emoji23][emoji23][emoji23]
😭😭😭😭😭Akuu uende wapi na mie ghost A.K.A "KUNGURU"
Ila ujue wewe una shida[emoji23][emoji23][emoji23] "I can't you"
Congrats man
Duh! Washkaji walikuwa wanakuchukulia huyu mwana niaje??Thanks man.
Ila imesababisha niwe na tabia ya kuponda vitu sana, mara kibao nilikuwa nagombana na washkaji kuhusu kuponda madem zao ni vimeo.
Angalau siku hizi nimebadilika, maana ilinisumbua sana hata kwenye mahusiano, zile mwenzio kavaa anaona yuko vizuri Mimi naponda. Dah.
Usicheke.. Fight on!! You have to prove him wrong.Nimecheka sanaaaa
Wewe ndio baba kwa hiyo ilikuwa lazima akupike uwe strongNi first born.
Hahaa ulikuwa umelemaaThanks man.
Ila imesababisha niwe na tabia ya kuponda vitu sana, mara kibao nilikuwa nagombana na washkaji kuhusu kuponda madem zao ni vimeo.
Angalau siku hizi nimebadilika, maana ilinisumbua sana hata kwenye mahusiano, zile mwenzio kavaa anaona yuko vizuri Mimi naponda. Dah.
Duh! Washkaji walikuwa wanakuchukulia huyu mwana niaje??
Hamna kitu kinauma kama kumkandia mtu mpenzi wake aisee. Hapo yeye kafanya machaguo yote halafu unaona ni kimeo[emoji23][emoji23][emoji23]Ukijua una kimeo hutangazi, mpaka iwe ni grade hasa.
Ila nilikuja kuacha hizo mambo baada ya mshikaji kuoa demu tulikuwa tunamwita kimeo. Hapo ndo akili ikaanza kuja, maana trashing haitakiwi kwa family members, I real observe that.