Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Ni kweli japo hii lugha ni pana na ina maneno mengi tofauti yenye maana mojaYea ndo ninachoona hapa.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli japo hii lugha ni pana na ina maneno mengi tofauti yenye maana mojaYea ndo ninachoona hapa.
Hahahahaahahaha! Usinichekeshe rafiki
Maasha AllahExactly
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Lakini kijana ameishi Unguja
🌷🌷 one for you and one for meThank you, ooh I mean thank you very much.
It means a lot.
Kweli kabisa. I agree with youWanaume huwa hatusifiani kwenye hayo mambo, tunapondana kupeana courage ya kufight.
Vijiweni tulikuwa mpaka tunawekeana hela kwa kusema "Yule humuwezi wewe", basi unatumia mbinu zote mpaka unawaonesha wenzio kwamba wewe ni mkali wa hizo.
Kwa hiyo nina jaribu kupita huko.
Hii ni Rose eeh ? Thank you a lot[emoji255][emoji255] one for you and one for me
Hahahaahahahahhaahahahahahahhaah! The famous DemissAsantee ndo nimekuja saivi jf
[emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]I love u 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't underestimate my level of knowledge babe..
Ukijua ya mbele wangine twajua ya nyuma bob.. De nada ni kukaribisha
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Not me and her, all of "the others " are ghosts. We are angels, remember???Huwa unasema we are ghosts hapa, right.
Yeeeeeeahhh!!
Hahahaahahahahhaahahahahahahhaah! The famous Demiss
Hahaha mzee wako alikuwa mgumu kutoa pongezi kama my sister, mimi alinipongeza mtihani wa form four huko nyuma hata ukiwa wa kwanza unaambiwa umekuwa wa kwanza kati ya wajinga na wewe unajiona wa maana hahaaSiku pekee niliyosifiwa na mzee ni baada ya matokeo ya advance kutoka, maana nilifunika shuleni na centre tuliyokuwa tunaishi. Kwa hiyo dingi watu wakawa wanamsifu mpaka yeye mwenyewe akaniambia hongera. Only that one time.
Kweli kabisa. I agree with you
Really???
Yeah it is, you are welcomeHii ni Rose eeh ? Thank you a lot
Mmhhhhhh!!!!!!!Ngoja nikuzooom kwanzaa umeanza usaliti eeeh [emoji847][emoji847][emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo upo na akili za naniThanks.
Ila leo comments zako sizisomi kabisa.
Ngoja nilale, hii thread ntaipitia upya kwa kutumia akili zangu.
I hope hujapiga mbili tatu mzeeThanks.
Ila leo comments zako sizisomi kabisa.
Ngoja nilale, hii thread ntaipitia upya kwa kutumia akili zangu.