I ain't concerned about your past, our business is from now onwards

I ain't concerned about your past, our business is from now onwards


Precisely, huwa tunaongeza sana juhudi kuhakikisha tunazima midomo ya haters, na tunajikuta tumefanikiwa.

Nakumbuka mzee wangu hakuwahi kunisifu kwamba nimefanya vizuri darasani, kisa sijawa wa kwanza, nilipokuwa wa kwanza akasema labda nifaulu kwenda sec ndo ataniamini.
 
Nimeishi Fuoni Zanzibar miezi 8 so I'm expert. Asijali atayapata ya kimatenwe, makunduchi, Kizimkazi, paje, ,stone town, jambiani nk nk

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ohhh! Kumbe you are an expert. Salute to you
 
Precisely, huwa tunaongeza sana juhudi kuhakikisha tunazima midomo ya haters, na tunajikuta tumefanikiwa.

Nakumbuka mzee wangu hakuwahi kunisifu kwamba nimefanya vizuri darasani, kisa sijawa wa kwanza, nilipokuwa wa kwanza akasema labda nifaulu kwenda sec ndo ataniamini.
Sure! Inatoa nguvu kwa mtu kuongeza bidii ili kuku prove wrong.

Cc Relief Mirzska
 
Back
Top Bottom