Mshikaji alikuwa na roho ngumu, [emoji23][emoji23][emoji23] mnamuita kimeo ye kaoa tuUkijua una kimeo hutangazi, mpaka iwe ni grade hasa.
Ila nilikuja kuacha hizo mambo baada ya mshikaji kuoa demu tulikuwa tunamwita kimeo. Hapo ndo akili ikaanza kuja, maana trashing haitakiwi kwa family members, I real observe that.
I don't have to! Yangeyange wangu ameniambia nisihangaike na waja, are you telling me otherwise???Usicheke.. Fight on!! You have to prove him wrong.
Remember......!
Unasemaje???
Mzee baba, za asubuhi kwanza. Hata salamu hamna???Mzee baba relax, Ila kuna mawili hapo, inawezekana umepata dhahabu Kariakoo ama umepata Kanyaboya.
Eitherway, enjoy while it last.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba, za asubuhi kwanza. Hata salamu hamna???
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Don't dare do that please. Utafanya mbaya sana
Hongera sana. Kuna wengine tulikuwa tunasifiwa tukipata hesabu zaidi ya 20%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku pekee niliyosifiwa na mzee ni baada ya matokeo ya advance kutoka, maana nilifunika shuleni na centre tuliyokuwa tunaishi. Kwa hiyo dingi watu wakawa wanamsifu mpaka yeye mwenyewe akaniambia hongera. Only that one time.
Mambo yashaanza kuwa mengi[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikuzooom kwanzaa umeanza usaliti eeeh [emoji847][emoji847][emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuwa wakwanza kwa wastani wa B au C[emoji23][emoji1][emoji1]. Ila ulikuwa unajisikia vibaya?Hahaha mzee wako alikuwa mgumu kutoa pongezi kama my sister, mimi alinipongeza mtihani wa form four huko nyuma hata ukiwa wa kwanza unaambiwa umekuwa wa kwanza kati ya wajinga na wewe unajiona wa maana hahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna nilikuwa nafanya vizuri tu sema tu alikuwa hataki kunipa moyo[emoji23][emoji23]Unakuwa wakwanza kwa wastani wa B au C[emoji23][emoji1][emoji1]. Ila ulikuwa unajisikia vibaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana. Kuna wengine tulikuwa tunasifiwa tukipata hesabu zaidi ya 20%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nifundishe kithungu kama chako aiseeDon't worry about what people think or say . Just ignore them its because they don’t know what they are talking about.
They don’t know even the things you do. If they knew, they would be so jealous. You should tell the world that she is yours.
I hope this love is only getting stronger...And yeeeeeah she will never ever leave you. Course she want you and she need you.
Hahahahaha Goodnight.!!
Basi Mimi napenda kusifiwa na inanipa nguvu ya kufanya vizuri zaidi.Na imesababisha hata ukiwa na bosi ambaye hatoi sifa unaona kawaida. Utakuta mfano Directors kila kikao lazima waitukane management hata kama imefanya vizuri. Ingawa wapo wanaosifia, lakini wahenga wengi ilikuwa ngumu kutoa sifa.
Nadhani ni kufata msemo wa "Mgema ukimsifu, tembo hulitia maji".
Mimi ningekata tamaa na kuanza kuboronga.Hamna nilikuwa nafanya vizuri tu sema tu alikuwa hataki kunipa moyo[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na personality yako, imenijengea hadi mimi leo huwa si rahisi kukatishwa tamaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najua unanitania tuu.
Kusema la ukweli sikutanii. ..nafuatilia post zako unazoandikaga kithungu zinanipaga morali ya kujifunza...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najua unanitania tuu.
Ila unajua jua kidogo ndiyo maana unaelewa nilichoandika mkuu.Kusema la ukweli sikutanii. ..nafuatilia post zako unazoandikaga kithungu zinanipaga morali ya kujifunza...
Hebu nianzishie twisheni jamani kiroho safi kabisa...
Aibu nishatupa kule[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema la ukweli nikisema sielewi nitakuwa naongopa [emoji23]..Ila unajua jua kidogo ndiyo maana unaelewa nilichoandika mkuu.
Kama ni kweli [emoji23][emoji23] tutaanza tuition.
"Kama ni kweli lakini"
Sawa mkuu basi tutakuwa tunafundishana huko tuition. Na mimi nitajifunza kutoka kwako.Kusema la ukweli nikisema sielewi nitakuwa naongopa [emoji23]..
Shughuli ipo hapo kwenye kuzichanganya hzo would mara could. Yan hapo kwenye kuzichanganya na kuzitumia kwa usahihi. .
"Nasema ukweli"
Aibu nimeshatupa kule.
Sent using Jamii Forums mobile app