I am depressed. Naombeni ushauri

wanawake wajanja sana kuna kale kamsemo kao sasa baba flani ukifa bila kutujengea nyumba tutaishije,sasa uwezo wa kununua uwanja unao sasa kuna haja gani ya kuitwa mwili mmoja ubinafsi hata kwenye maswala ya msingi? jamaa amekuacha makusudi tu aone utafanya nini kwanini ufungue duka la peke ako kwanza,ujue majukwaa haya yana amsha wengi,anafikiria huyu uwezo wa kununua uwanja anao afu anataka mindo niwajibike kwa faida yake na watoto wake? maana ukishasikia mkeo anazungumzia kuhusu kununua uwanja ujue anajihami ukivuta abaki na sehemu ya kuishi, kingine mtoto kama ana akili ana akili tu maana anazaliwa nayo wasomi wengi unao waona ni zao la shule za kawaida sa kwanini umpeleke mtoto shule za gharama wakati huna uwezo?
 
Siongezi
 
Wanawake wabinafsi utawajua tu na wala hawajifichi,maana chuki yao kwa Mwanaume asiyempenda huwa haijifichi!!
Acheni kukwepa majukumu wanaume
Mnataka amjengee au amsaidie kulipa Ada
 
Acha show- off.

Kwa kipato chenu inatosha kusomesha na kujenga. Shida inaanzia kwako, tafuta shule nafuu.

Mwanamke mpu***vu huivunja nyumba yake kwa ___
 
una take home ya 2.3 , mumeo ana 8 laki alafu unamwambia mmeo mkakope au muombe mtaji toka kwa ndugu yake ili mfungue business ,
kaa nae zungumza na mumeo umuulize ni wapi umemkosea au kuna shida gani kati yenu mpaka ashindwe kukuskiliza ama nini angependa au anafkiria kufanya kupata maendeleo.
NB: mara nyingi wanawake mnawakosea waume zenu kwa tabia au kitu kidogo tu kiasi wanashindwa kupanga na ninyi maendeleo.
HAKUNA MWANAUME ASIYEPENDA MAENDELEO HASA AKIPATA MKE MWENYE AKILI YA MAISHA, ila kama unatabia ya kumfosi au kumcompare kimaendeleo hata na kaka ake (jua wanaume hatupendi kulinganishwa hata kidogo) au tabia ya kujifanya mjuaji sana na hata zingine zisizopendezwa kwa mume basi hio ndio source.
 
naomba uwe mshangazi wangu nimekuwahiii😂🤣😅😇
 
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi,uliendelea kua na mumeo bila ya yeye kua na kazi kwa miaka 4 bila kinyongo,hongera sana kwa hilo,

Mume kapata mke wa maana ila mke kapata dume vivu lisilopenda kutake risk,ukimuendekeza huyo,hutafanya lolote la kimaendeleo kwenye maisha yako,fanya umafia kidogo,onyesha hali ngumu ya kimaisha hapo home ili akili imkae sawa ila huo umafia usihusu mwanao,yeye apate mahitaji yake yote.
 
Shida inaanza na umri wako 40 plus.Ni umri ambao unaanza kuwa serious kupita kiasi kama mwanmke sasa sijajua kama mume wako ni 40 plus au la.

Shida ya Pili ni wewe kumpa mume wako maelekezo ya nini ufanye hiyo ni kutangaza ugomvi wa kimya kimya wa nani anaamua mustakabali wa familia yake.

Kimsingi wewe una haiba na tabia ya SINGLE women,Independent women ambao uwa mara nyingi wanahitaji mume kwa ajili ya status symbol na mara nyingi wanankuwa na aina ya wanaume ambao wanawahitaji ikiwamo kimuonekano,kitabia,kiuchumi,kielimu n,k,

Usauri wangu ni huu.Kwanza kabisa Jaribu kumuelewa baby wako ni nini anachokitaka katika maisha yake/yenu.Tafutaeni kufanya vile ambavyo vinawapa furaha na mkumbuke kile ambaco kiliwafanya mkawa pamoja tangu mwanzoni.

Mtotot mmoja haweza kuwapa shida mapema hivyo kuhusu namna ya kumlea.

Kama kweli unaelekea kupata Depression basi tafuta mtaalamu wa Saikolojia uzungumze naye na ikiwezekana wewe na mumeo muende kwa therapy kabisa ili mtumie pesa zaidi na uzidi kumuudhi zaidi halafu muachane then labda depression yako itaongezeka ukiwa single.

Relax he will come around.
 
Reactions: rr4
Shida ni hapo yeye ni lastborn. Yaani Hawa wanatakiwa waoane wenyewe kwa wenyewe.
Total dependant, wengi wao hawajielewi hata akila kutoa chombo ni kazi au kufua hata handkerchief.
 
Last born huwa kipengele sana, namuonea huruma mwanamke atakaeolewa na mdogo wangu
 
Nimekusoma zaidi ya mara 2 ukichangia hoja kwa ukomavu wa akili na busara ya hali ya juu.
Wewe ni mwanamke bora zaidi jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…