I am looking for a man

I am looking for a man

Hi Janet eti wanasema umri ni namba tu Kama upendo wa kweli upo karibu pm tuyajenge😎😎😎😎😎
 
Changanyika na jamii kama kuimba kwaya, misiba nk. ukionekana utajipatia huko wako.

Suala la kipato usilifanye kigezo cha kumkubali mwanaume; anaweza akawa na kazi leo kesho katumbuliwa ikitokea na wewe utamtumbua?
Mwambie hasisahau kuhudhuria jumuiya.
 
Kuolewa ingekua simple ivo siungeshaolewa kitambo

We unahis hii ni shortcut ya ww kufanikiwa kuolewa?
Content yako kichwani ina matter sana dunia ilisha badilika subiri kuliwa tunda kimasihara humu [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
 
wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] WtF!!!

Wewe ndo wakuolewa?hivi tu unajibizana na mtu hujui kama ni robot au kitu gani ila yanakutoka as if mko live mnajibizana,anyway humu siamini kama hutokea watu kuwa na mahusiano seriously zaidi mnachangamsha genge.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
Dah...bahati siyo yangu....Sina sifa hata moja....ila kwa replies kama hizi utaishia kudate walevi tu...ambao pombe zikiisha vichwani...wanasepaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
unaonekana ww ni jeuri na una tabia mbovu sana ndo mana hakuna mwanamme unaweza ishi nae na ndo mana hujaolewa mpaka umri huo kumbe ni hii tabia yako MBOVU. wanaume wa kwenu wameshindwa tabia yako sasa umekuja JF.

and i predict, hapo ulipo ww ni single mother yaani piga ua lazma alokuzalisha kashakukimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom