I am looking for a man

I am looking for a man

This thread is good. I look forward to seeing you getting married soon. Wishing you all the best.
 
Janet huku ni ngumu kumsoma mtu, matapeli wengi sana huku,
Toka out za maana kulingana na kipato chako,
Jitahidi sana kutoka out na kujichnganya na watu tofauti tofauti, pia usiwe na dharau halafu be smart my Dia.
 
27 vipi mama mi niko serious


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa staili hiii ukipata wa kukuoa sijui tuu wanaume skuiz tumekuwa wajanja sana hatutaki kulea wanawake wasio na faida unalea walau mtu anapata buku na ww buku au ww jero yeye buku ila ukileta kwamba awe na kazi inakula kwako utazeeka ukitamani kuolewa na skuizi waowaji hawapo na wakiwepo kubali kushare
unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi

Sent using kvant
 
am female age 29, am looking for a man who is serious, to get married this year guys help me find the best man in the world, awe na miaka 30 nakuendelea mwenye kazi yake na mwenye kujitambua
omg kila la heri
 
Back
Top Bottom