Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa stahili...'kupata' unachohitaji ni ngumu!unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Anaweza asiwe...'muolewaji' huyu!Unatafuta bwana alafu unamajibu machafu hivi nani atakuoa?
JF ni kipimo tosha...! Ukija na 'ngebe' za kuficha makucha, Wakuu/wanabodi wanakuumbua. Amekuwa 'provocked kidogo' mleta mada ...'kasasambua' kila kitu.Daaaah we jeuri kweli.. Jinsi unavyojibu ni balaa.. Mwanamke lazima uwe mnyenyekevu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema na wewe kuna jibu kalitoa hapo juu nimestaajabu. Atapata wa kufanana nae.Unatafuta bwana alafu unamajibu machafu hivi nani atakuoa?
Kwa kauli hizi huyo mume kazi anayo
kuna watu wanakera inabidi hiwe hvy
At whateva age...unatakiwa kuwa humble
sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.Mbona kila anaetafuta bwana anataka awe na kazi?
swali nzuri hilo,japo ata;ikwepawhy do you want to get married??
Hiyo 'kmmk' maana yake nini?sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Mimi Niko na uchiziam female age 29, am looking for a man who is serious, to get married this year guys help me find the best man in the world, awe na miaka 30 nakuendelea mwenye kazi yake na mwenye kujitambua
omg kila la heriam female age 29, am looking for a man who is serious, to get married this year guys help me find the best man in the world, awe na miaka 30 nakuendelea mwenye kazi yake na mwenye kujitambua