Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,897
- 7,074
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
Upendo wa kweli, unampendaje mtu humjui?? acha mbwembwe kijana [emoji23][emoji23]Hi Janet eti wanasema umri ni namba tu Kama upendo wa kweli upo karibu pm tuyajenge[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Dah....angalau umekuwa "mkweli"...kila siku huwa nawashangaa "watafutaji" ....Sifa za mwanaume ni mbili tu...Nguvu za uchumi na nguvu za "misuli"...msijidanganye [emoji2960]sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
😀Mungu awe Nawe Janet, you will get him
Unaenjoy nini sasa? Una 29 afu akili huna, then unatafuta mme unashindwa hata kupretend...we kweli zero IQ..[emoji23][emoji23]Na enjoy sana mnanifanya siku yangu leo imeenda vzr raha sana kuwa na watu wenye majibu ya uswazi kwangu burudani tu
Ila we demu konyo kmmk.[emoji23][emoji23][emoji23]sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
Mmh!!.. Ni kweli unamaanisha unahitaji mume au umetengeneza wenye comment nyingi,.. Haya majibu hayampi picha nzr yule mwenye nia thabiti,... Acha kujibizana na wanaokuchokoza ili wakujue ni mwanamke wa aina gani,.. Jishushe, kama hujui uko kwenye interview hapa,.. Kama uko hivi, basi Kuna tatizo....unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Hapa sasa ndo naelewa ni kwann kuna watu hawaheshimu wanawake, wanawafanya wapendavyo na kuwaacha wapambane na hali zaosababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
aiseesababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
Kwanini kijana tatizo munakwama wapi na hawa viumbeUpendo wa kweli, unampendaje mtu humjui?? acha mbwembwe kijana [emoji23][emoji23]
Kuna watu wanakera kuliko mume? Kwamimi napata picha nikikukera ndio majibu yako yatakuwa hivi, kila la kheri Muumba akupatie mume asiekerakuna watu wanakera inabidi hiwe hvy
Hahahaa! Unaogopa baadae atajiuliza " why did i get ......"One question! Are sure u want to get married? Just out of curiosity
Sent using Jamii Forums mobile app
Yo are not a wife material! masharti ya nini, you are looking for husband or mtu mwenye kazi.hiyo ndoa hata ukimpata fala mmoja haitadumu na ndio maana mpaka leo hujaolewa sishangai!!! Tupia picha yako kwanza na sisi tuone huyu dada anayeelekea miaka 30 na hana mme na mtoto ANAKOSEA WAPI kukosa MME mpaka kaamua kuanza kutongoza!!!am female age 29, am looking for a man who is serious, to get married this year guys help me find the best man in the world, awe na miaka 30 nakuendelea mwenye kazi yake na mwenye kujitambua
Wewe hujaolewa umeshaanza kuita wanaume mashetani, anza kujifunza kuchunga ulimi.Nimekupenda bure kwa kunisaidia kusafisha njia mana mashetani ni mengi hahahaah
Taratibu unaonyesha tabia zako humu, na hizi ndio zinapelekea usiwe marketable huko mtaani mpaka ukaja kujiuza humu.wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,