I am looking for a man

I am looking for a man

sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
Dah....angalau umekuwa "mkweli"...kila siku huwa nawashangaa "watafutaji" ....Sifa za mwanaume ni mbili tu...Nguvu za uchumi na nguvu za "misuli"...msijidanganye [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Mmh!!.. Ni kweli unamaanisha unahitaji mume au umetengeneza wenye comment nyingi,.. Haya majibu hayampi picha nzr yule mwenye nia thabiti,... Acha kujibizana na wanaokuchokoza ili wakujue ni mwanamke wa aina gani,.. Jishushe, kama hujui uko kwenye interview hapa,.. Kama uko hivi, basi Kuna tatizo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
macho kuvimba washaanza kudai kuingiliwa pm zao,by the way nipo hapa nna vigezo vyote sema ww hujaweka cv yako hapa ili tujue pa kuanzia
 
kuna kamsemo kule fb,eti kama hujaolewa mpk ss iv ebu tuma picha tujue tatizo liko wap
 
am female age 29, am looking for a man who is serious, to get married this year guys help me find the best man in the world, awe na miaka 30 nakuendelea mwenye kazi yake na mwenye kujitambua
Yo are not a wife material! masharti ya nini, you are looking for husband or mtu mwenye kazi.hiyo ndoa hata ukimpata fala mmoja haitadumu na ndio maana mpaka leo hujaolewa sishangai!!! Tupia picha yako kwanza na sisi tuone huyu dada anayeelekea miaka 30 na hana mme na mtoto ANAKOSEA WAPI kukosa MME mpaka kaamua kuanza kutongoza!!!
 
JIULIZE KWANZA NILIKUWA NAKOSEA WAPI! NA HATA HAPA KUNA MTU ATAKUINGIZA KING ATAPIGA PAPUCHI HALAFU ATAENDA KUOA MWINGINE!! NDOA HUWA INAKUJA NATURALLY TENA BAADA YA KUPIGANA PAPUCHI YA BILA MASHARTI KAMA YAKO! KAMA MTU CHEMISTRY IMEKUBALIANA MTAOANA TU NA HATA KAMA HANA KAZI.
 
wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
Taratibu unaonyesha tabia zako humu, na hizi ndio zinapelekea usiwe marketable huko mtaani mpaka ukaja kujiuza humu.

Watu wanakusoma, kama nilivyokwambia mwanzo we hakuna kitu kichwa kimejaa mifupa hakuna brain mama, unamiliki uke na mwili ila kichwani ndio ivo tena.

Saivi watu hawaoi uke na mwili we look for brains

Utapata tabu sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom