Mwambie hasisahau kuhudhuria jumuiya.Changanyika na jamii kama kuimba kwaya, misiba nk. ukionekana utajipatia huko wako.
Suala la kipato usilifanye kigezo cha kumkubali mwanaume; anaweza akawa na kazi leo kesho katumbuliwa ikitokea na wewe utamtumbua?
wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,Kuolewa ingekua simple ivo siungeshaolewa kitambo
We unahis hii ni shortcut ya ww kufanikiwa kuolewa?
Content yako kichwani ina matter sana dunia ilisha badilika subiri kuliwa tunda kimasihara humu [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzaziMbona kila anaetafuta bwana anataka awe na kazi?
Mbona wewe unanipenda hivyo hivyo na sina kazi!?Heee!
Unatafuta bwana alafu unamajibu machafu hivi nani atakuoa?unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Daaaah we jeuri kweli.. Jinsi unavyojibu ni balaa.. Mwanamke lazima uwe mnyenyekevu.unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
kuna watu wanakera inabidi hiwe hvyDaaaah we jeuri kweli.. Jinsi unavyojibu ni balaa.. Mwanamke lazima uwe mnyenyekevu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli...at the age of 30 you have to be humble.Kwa kauli hizi huyo mume kazi anayo
Thats why hadi leo hujaoelewa, mdomo!unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Na enjoy sana mnanifanya siku yangu leo imeenda vzr raha sana kuwa na watu wenye majibu ya uswazi kwangu burudani tuThats why hadi leo hujaoelewa, mdomo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] WtF!!!wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
Dah...bahati siyo yangu....Sina sifa hata moja....ila kwa replies kama hizi utaishia kudate walevi tu...ambao pombe zikiisha vichwani...wanasepaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanasemaga ukijibizana na mbwa koko na ww unaonekan mbwa koko pia so domo hilo ni mali yako ropoka ukimaliza kajichunguze matatizo yako ya akili,
unaonekana ww ni jeuri na una tabia mbovu sana ndo mana hakuna mwanamme unaweza ishi nae na ndo mana hujaolewa mpaka umri huo kumbe ni hii tabia yako MBOVU. wanaume wa kwenu wameshindwa tabia yako sasa umekuja JF.unataka aje niwe na mlea kwan mm mama ake mzazi
Brother salute. Pokea salamu zangu. Umeuliza swali la msingi kwa Janet.why do you want to get married??