dtj
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,333
- 1,379
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ahh kakuvutia sioDada sina desturi ya kuponda wanaotafuta wapenzi ila wewe umenivutia kukuponda
Unatuletea uKenya kitu ambacho tunakipinga, aisee sisi huku HATUKIPENDI KINGEREZA ila wewe unataka kutaghushi tukitumie kwa kuwa tu una mapenzi nacho
Pia kingereza chako duuuhh ni KIIBAYA hakifanani na commands zako
Halafu mimi nimekuponda slightly sana subiri mapovu konki yaje
Best wishes kumpata siriasi, maana mimi siko siriasi